-
OUP Kiswahili Dadisi Mazoezi Gradi 1 (Toleo Jipya)
by OXFORD
Kiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vilivyoandikwa kwa utaalamu na upekee ili kufanikisha ufundishaji na ujifunzaji wa mahitaji ya Mtaala wa Umilisi. Vitabu hivi vitawawezesha wanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika, na vilevile Sarufi, kupitia mazoezi murua ambayo pia yanakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na
kufahamisha kuhusu masuala mtambuko.Katika Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya1 utapata:
-mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtaala.
-mifano halisi ya matumizi ya lugha kimuktadha.
-mazoezi ya kuchangamsha na kufikirisha ambayo yanawashirikisha wanafunzi moja kwa moja.
-vifungu vya kuburudisha na vinavyoendeleza ujifunzaji.
-nyimbo za kusisimua ambazo zitawachangamsha na kuwaburudisha wanafunzi.
-picha za rangi, zenye mvuto wa kipekee na ambazo zinachangia pakubwa katika ujifunzaji wa mwanafunzi.
-mazoezi ya kuwahamasisha wanafunzi kuendeleza ujifunzaji nje ya darasa.
-mazoezi ambayo yatawashirikisha mwanafunzi kutumia vifaa vya kidijitali katika ujifunzaji.
-jinsi ya kumshirikisha mzazi au mlezi kuimarisha ujifunzaji.
ISBN: 9789914441383
-
Dira ya kiswahili Marejeleo Kamili ya Kiswahili 5
by Wafula Wa Wafula, Vidijah Dalizu
DIRA YA kISWAHILIÂ Kimeandikwa kumsaidia mwanafunzi na mwalimu. Kimezingatia stadi za lugha tano:
Kusikiliza na kuongea, Kusoma, Sarufi, Msamiati na Kuandika.
Katika kiwango hiki, ni muhimu mwanafunzi kujenga na kukuza stadi za lugha ili kujiamini na kukomaa katika Kiswahili.
muundo wa kitabu
1. Kuna sura 15: Kila sura ina sehemu ya Kusikiliza na kuongea, kusoma, Kuandika, Sarufi na Msamiati.
2. Baada ya kila sura kuna kibindo cha maswali. Sehemu hii imejumlisha maswali kutoka sehemu mbalimbali na yanakuza stadi za lugha.
3. Mwisho wa kila sura kuna Majaribio.
4. Kuna mihula mitatu.
5. Mwisho ni Malibu ya mazoezi na majaribio ya mitihani yote.
-
Longhorn Mathematics Learner’s Book Grade 5 (Approved)
by T. Opul, I. Ochoo, T. Mukhuri
Longhorn Mathematics Grade 5 Learner’s Book is a book that comprehensively and exhaustively covers the new Competency-Based Mathematics Curriculum for Grade 5. It promotes the acquisition of core competences, relevant social skills, positive attitudes, and values. It also promotes the practical application of knowledge gained in the classroom.
The content in the book is based on general experiences of the learner as well as Pertinent and Contemporary Issues (PCIs) covered in the curriculum. The book promotes social skills and values through activities and tasks which are organised within content areas, and that reflect the learner’s environment and social realities in a simple but thought-provoking way.
The activities and tasks also promote critical thinking and problem-solving skills as well as the acquisition of important life skills among learners for a quick and careful response to challenges in society. -
MTP Science and Technology Learner’s Grade 5 (Approved)
by MOUNTAIN TOP PUBLISHERS
By the end of upper primary the learner should be able to:
• Interact with the environment for learning and sustainable development.
• Apply digital literacy skills appropriately for communication, learning and enjoyment.
• Appreciate the contribution of science and technology in the provision of innovative solutions.
• Use scientific knowledge to observe and explain the natural world.
• Make functional discoveries that have impact on individuals and the wider society.
• Use innovative approaches as well as critical thinking and problem solving skills to stimulate scientific inquiry, at the local, national and global levels for lifelong learning. -
Spotlight Islamic Religious Education Learner’s Book Grade 5 (Approved)
by B. Ali, S. Mumin, S. Muhamed and A. Leyla
Spotlight Islamic Religious Education Learner’s Book Grade 5 has been uniquely designed to equip the learner with skills, values, and competencies that will enable him or her to grow spiritually and morally. The book will greatly prepare the learner to grow as a responsible citizen who is at peace with Allah (S.W.T), self, others, and the environment.
Key features of the book:
– Covers all the strands, sub-strands, and learning outcomes of the Islamic Religious Education Grade 5 Competency-Based Curriculum.
– Relevant learning experiences are provided in form of activities within the level of the learners.
– Has enough digital activities where links have been provided for learners to watch videos. The videos provide more information, engage learners, bring about easier understanding of concepts and make learning of Islamic Religious Education interesting.
– Attractive full-colour illustrations are used to clarify Islamic Religious Education concepts.
– Develops concepts by using the learner’s environment and real-life experiences to foster skills, attitudes, and values in learners.
– Revision exercises are provided for each sub-strand for formative assessment.
– Learner-centred approaches, discovery-based and inquiry-based activities have been applied to develop concepts, core competencies, values, and Pertinent and Contemporary Issues (PCls).
– A Teacher’s Guide is available for this title.
Shop By Categories
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books











