OUP Kiswahili Dadisi Mazoezi Gradi 1 (Toleo Jipya)

KShs500.00

In stock

by OXFORD

Kiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vilivyoandikwa kwa utaalamu na upekee ili kufanikisha ufundishaji na ujifunzaji wa mahitaji ya Mtaala wa Umilisi. Vitabu hivi vitawawezesha wanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika, na vilevile Sarufi, kupitia mazoezi murua ambayo pia yanakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na
kufahamisha kuhusu masuala mtambuko.

Katika Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya1 utapata:

-mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtaala.

-mifano halisi ya matumizi ya lugha kimuktadha.

-mazoezi ya kuchangamsha na kufikirisha ambayo yanawashirikisha wanafunzi moja kwa moja.

-vifungu vya kuburudisha na vinavyoendeleza ujifunzaji.

-nyimbo za kusisimua ambazo zitawachangamsha na kuwaburudisha wanafunzi.

-picha za rangi, zenye mvuto wa kipekee na ambazo zinachangia pakubwa katika ujifunzaji wa mwanafunzi.

-mazoezi ya kuwahamasisha wanafunzi kuendeleza ujifunzaji nje ya darasa.

-mazoezi ambayo yatawashirikisha mwanafunzi kutumia vifaa vya kidijitali katika ujifunzaji.

-jinsi ya kumshirikisha mzazi au mlezi kuimarisha ujifunzaji.

ISBN: 9789914441383

Compare
Be the first to review “OUP Kiswahili Dadisi Mazoezi Gradi 1 (Toleo Jipya)”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Reviews

There are no reviews yet.

See It Styled On Instagram

    No access token
Show Buttons
Hide Buttons

Main Menu

1
Scan the code
Thank you for visiting us,

Need any help?