-
Phoenix Summit Hygiene & Nutrition GD2 Trs by Oracha
by Oracha
Summit Hygiene and Nutrition Activities Teacher’s Guide is:
– Elaborate and provides comprehensive additional information for the teacher. Well organized, with clear cross referencing to the Learner’s Book.
– Detailed, with many teaching and learning activities suggested.
– Relevant to the teacher’s local context.
– Appropriate and full of practical suggestions for teaching and learning resources.
– Unique, with useful assessment suggestions and approaches to evaluate the specific learning outcomes on learner competencies realised. -
Tafakari ya Babu by Moran
by Moran
Tafakari ya Babu ni mkusanyo wa visa vifupivifupi ambavyo Bwana Mdoe ameshasimulia ama atasimulia wakati wa kusoma habari. Visa vilivyomo katika kitabu hiki vinasheheni mafunzo mengi mbali na ucheshi wa kuvunja mbavu. Watu wengi wametaka kujua, “Je, huyu babu yako Bwana Mdoe ni mtu halisi anayeishi ama ni mhusika wa kubuni?” Huenda msomaji akang’amua jibu la swali hili na mengineyo baada ya kusoma kitabu hiki… -
Moran Integrity Readers: Secret garden by Moran
by Moran
Ochome has discovered a place. It has many ripe and delicious mangoes that people fear to eat. Today, he just wants to get one. Will he get it? -
KLB Tusome Early Years Education Mathematics Grade 2
by KLB
This book is for use by learners in Grade 2.
This book has:
-Covered all the concepts in the mathematics curriculum design for grade 2.
-Identified lessons for each week
-Variety of examples and activities
-Variety of strategies for working out questions
-Clear illustrations
-
EAEP Fun With Language Activities PP2 (Appr)
by WANJIKU KIRAGU
Fun with Language Activities Pre-Primary 2 Pupil’s Book is a comprehensive course based on the new Competency-Based Curriculum, 2018 for Pre-Primary schools. This course has been developed to enable learners to apply the listening, speaking, reading and writing skills in their daily use of language. This Pre-Primary 2 book is presented in a simple manner. Learners at this level will enjoy using it. Here, the teacher becomes a facilitator of learning and not simply a source of knowledge.
The key features of this book include:
• A simple approach to language and presentation that is easy to follow.
• Relevant, well-drawn full-colour illustrations that are exciting to the children.
• A variety of competency-based learner-centred activities that help the learners to develop a wide range of skills.
• Suggestions for parents and guardians to be involved in the continuous learning process at home.
• Songs, poems and games that help the learners to understand the content within this book.
• Indoor and outdoor activities that learners do in pairs and in groups as they help each other to learn.
The book has an accompanying Teacher’s Guide. The author is an English Language teacher with vast experience. -
Spear Sharp kids CRE Grade 2 (Approved) by Vaati,Esi
by Vaati, Esi
Sharp Kids Series is designed to ensure that learners have rigorous activities, exercises, and assignments that cover all the leaming outcomes for the new competency-based curriculum The course books embrace short notes for each topic to aid in recall of course work covered. The notes are followed with numerous topical tasks that evaluate the learner’s competency in each strand, sub-strand, both at home and in school
This is a course of its kind that will enrich your regular classroom work making learners enjoy and love school work and life. Pauline Vaati, Anne Gakil, Dishon Kamau, Juliet Ndanu, and Esi King Esi are experienced teachers and experts in the new curriculum approach. They write with care and interest to impart the right values in the child’s future. -
Urafiki wa Chanda na Pete by KLB
by KLB
Urafiki wa Chanda na Pete ni hadithi inayopatikana katika mfululizo mpya wa hadithi za Kiswahili za Nasaha Zetu zinazochapishwa na K LB. Hadithi hii ni ya wanafunzi wa darasa la pili. Marafiki wema hushirikiana kutenda wema. Pia, hufunzana tabia njema. Je, Amino na Zawadi ni marafiki wema? -
Kalulu na Mti Mkavu 4e
by TANGUKO
Kalulu anampeleka ng’ombe wake sokoni kumuuza. Njiani, anapata mnunuzi wa ajabu ambaye ni mti wa mbuyu uliokauka.
Itakuwaje mti uuziwe ng’ombe?
Kalulu na Mti Mkavu ni kitabu cha wanafunzi wa darasa la nne katika shule za msingi. Kitabu hiki kinalenga kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma.
Mradi wa kusoma ni vitabu vya ziada ambavyo vinaambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu. -
Made Familiar: Siku Yenye Vituko Level 2
by VICTOR
Taji na Furaha wana furaha. Familia yao inaenda safarini pamoja. Je, watashuhudia mambo gani njiani? Jiunge na familia ya kina Taji na Furaha katika safari iliyojaa vituko.
-
Made Familiar: Ali apigania haki yake Level 2
by MWANGI
Ali, mvulana mwenye umri wa miaka kumi, anatamani kusoma hadi chuo kikuu. Hata hivyo, nyanya yake anamwagiza kumchungia
mbuzi badala ya kwenda shuleni. Ali anabuni mbinu za kurejea shuleni na wakati huo huo kuendelea kumsaidia nyanya yake. Je, juhudi
zake zitazaa matunda?
Shop By Categories
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books