-
KCSE Made Familiar: Mathematics Workbook 1995-2021 (New Edition)
by Caroline Njenga
KC.S.E Made Familiar workbooks are a series of revision books meant to make K.C.S.E. familiar to leaners.
The benefits of these workbook to learners are immense and always result in improved grades. Some of the benefits include:
* provision of past K.C.S.E. questions in their original form, arranged in topics,
and in the respective forms in which the topics are taught.
* provision of answers, which help learners to work independently.
* exposure of learners to exam-type questions in various topics, thus helping
learners to :
✓ internalize concepts by practicing questions from topics already taught in class.
✓ relate what they are taught in class with K.C.S.E. thereby making K.C.S.E. questions familiar.
✓ identify their weak areas and aim to continually improve in these areas.
✓ build confidence through answering/working out questions in any given topic.
* Helping teachers make revision easy and interesting to learners.ISBN: 9789966055071
-
Primary Mathematics Std 8
This new edition is the eighth book in the new series of Primary Mathematics. The coursebook is intended for use by Standard 8 pupils. It has been revised and expanded to reflect new development and it is therefore more exhaustive, more useful than ever before, The unique strength of the book lies in the following areas:
- Adequate coverage of the syllabus concepts and skills with a strong activity orientation,
- A variety of examples enclosed in coloured frames to promote self-study and ease of use.
- A variety of exercises that test the understanding of every concept and skill learnt.
- Revision exercises consolidating the topics covered and supplementary exercises for remedial work.
The book comes with a separate, comprehensive teacher’s guide and a Standard 8 mathematics workbook,
-
Kiswahili Mufti Kioo cha Mtihani Mwongozo wa Mwalimu by Joseph Mwamburi, Wallah …
by Joseph Mwamburi, Wallah Bin Wallah
Kiswahili Mufti 8: Mwongozo we Mwalimu unampa mwalimu maelezo kamili kuhusiana na mbinu mwafakaza kutayarisha, kuendesha na kutathmini vipindi vya Kiswahili darasani. Mwongozo huu mpana sana unampa mwalimu maelekezo mwafaka yatakayomwezesha kuviandaa na kuviendesha vizuri vipindi vinavyoshughulikia vipengele vifuatavyo:
Mwongozo huu una mifano mwafaka ya maazimio ya kazi na ratilp ya vipindi itakayomwongoza mwalimu kuzingatia mbinu zifaazo za kutekeleza malengo yote ya somo. Pia, una majibu ya maswali yote yaliyomo kwenye kitabu cha wanafunzi. -
Kiswahili Mufti Darasa la 8 by Wallah
by Wallah
Toleo hili la Kiswahili Mufti 8 linatimiza kikamilifu mahitaji na mada zote za silabasi mpya iliyoanza kutekelezwa shuleni kuanzia 2003. Kitabu hiki kimeandikwa kwa uangalifu mkubwa ili kiweze kueleweka vizuri zaidi na wanafunzi wote kutoka mazingira mbalimbali. Msamiati uliotumika katika vifungu vya ufahamu unaafikiana vyema zaidi na uwezo wa lugha wa wanafunzi katika kiwango hiki. Toleo hili limeshughulikia kikamilifu maswala ibuka kama vile teknolojia ya habari na mawasiliano, katiba, rajua ya 2030, ufisadi na athari zake mbaya, mazingira, haki za watoto, UKIMWI, jinsia na maadili. -
Get it Right Kiswahili Kidato 1 na 2 marudio
by Kamithi
GET IT RIGHT KISWAHILI KIDATO CHA 1 NA 2 ni kitabu kilichoandikwa kwa ustadi wa kupigiwa mfano. Maarubu ya kitabu hiki ni kuwajengea wanafunzi wa kidato cha kwanza na cha pili, msingi thabiti wa kukabiliana na mtihani wa kitaifa (K.C.S.£). Aidha, ni kitabu ambacho kitawafaa pakubwa wanafunzi wa kidato cha tatu na cha nne, wanaotaka kujikumbusha stadi zilizofunzwa katika kidato cha kwanza na cha pili. Kimeandikwa kwa mtindo mwepesi na rahisi kusomeka.
Kitabu hiki kina sifa zifuatazo:
- Â Kimeshughulikia stadi zote zinazostahili kufunzwa katika kidato cha kwanza na cha pili kwa mujibu wa silabasi.
- Kina maelezo ya utondoti ambayo yametolewa kwa lugha rahisi inayowawezesha wanafunzi wa kidato cha kwanza na cha pili kuelewa fika vipengele vyote vya: ufahamu, muhtasari, matumizi ya lugha, uandishi wa insha na tungo za kiuamilifu, fasihi simulizi, fasihi andishi na ushairi bila usaidizi wa mwalimu.
- Kimetoa mifano maridhawa kwa kila stadi pamoja na mazoezi tele baada ya kila mada ndogo na mada kuu. Aidha, majibu ya mazoezi haya yametolewa ili kurahisisha marudio na uelewa wa mwanafunzi.
- Kina mitihani kielelezo inayolenga kunoa makali ya mwanafunzi. Majibu ya mitihani hii yamo kitabuni kwenye kurasa za mwisho.
- Mwandishi wa kitabu hiki ni mwalimu mwenye tajriba pevu ya kufundisha Kiswahili. Amefundisha katika shule mbalimbali humu nchini na kupata matokeo bora katika mitihani ya kitaifa.
ISBN: 9789966193421
-
Q & A KCPE Revision Mathematics 2nd Edition. by Benter Awuor,peter Kahoro
Q & A KCPE Revision is a new series that comprehensively covers the new primary syllabus. Each book in the series is skillfully written by a team of experienced authors, examiners and teachers to enable the candidates to prepare for KCPE examnations.Why do you need this book?
- Q & A KCPE Revision Mathematics:
- Has a simple design that makes it easy to use.
- Provides a summary of all the topics covered.
- Has a revision exercise at the end of each topic
- Has ten skilfully graded practice exercises.
- Has ten KCPE model test papers which follow the KCPE examination format.
- Is packed with relevant hints, examination lllf; tips and examples.
- Provides answers to all the questions in the book.
-
Mentor Topical KCPE Encyclopedia by “Mugo, Maina”
by J.Mwangi, P.M. Warutere, L.N, Mwaura
The MENTOR Topical KCPE Encyclopedia:
– ls a comprehensive revision series that has questions covering classes 4 to 8-syllabus as set out by the Kenya Institute of Curriculum Development (KICD).
– Has involved extensive research by the contributing authors, thus includes revision questions covering contemporary issues in the current society.
– Systematically covers topical questions to help the learners thoroughly revise for the KCPE examinations.
– Has presented the questions in a simplified language that is easy for the learner to understand. -
Mazoezi na Marudio Mufti ya Kiswahili 8 by Wallah Bin Wallah
by Wallah Bin Wallah
Mazoezi na Marudio Mufti ya Kiswahili, Darasa la 8 ni kitabu kilichoandikwa kwa weledi mkuu kwa madhumuni ya kumwandaa na kumnoa mwanafunzi anayejitayarisha kwa mtihani wa somo la Kiswahili – K.C.P.E. Kitabu hiki kimeandikwa kwa kuzingatia silabasi mpya ya shuleza msingi. Kinalenga kuhamasisha na kupiga msasa usasa wa kutoa mazoezi na marudio kwa wanafunzi na wote wanaosoma lugha ya Kiswahili katika Afrika Mashariki, ujirani wake na kote ulimwenguni.Kitabu hiki kimezingatia msamiati mwafaka na sahihi, miundo, mitindo na mbinu zinazotumiwa katika kuandaa na kutahini somo la Kiswahili katika ngazi ya K.C.P.E.Kwa mwalimu, kitabu hiki chenye karatasi themanini (80) za maswali ya mazoezi ya K.C.P.E pamoja na majibu yake ni nyenzo ya kipekee ya kuwatathmini, kuwaboresha na kuwaandaa wanafunzi kwa mtihani wa kitaifa. Katika maswali haya mna mazoezi ya mazoea, uzoefu na kuzoesha ili mwanafunzi au yeyote akitumiaye kitabu hiki apate kichocheo, mwamko na hamu kiasi cha kwamba akimaliza zoezi moja aendelee kufanya jingine na jingine hadi ajikute amekuwa mzoefu wa mazoea ya kufanya mazoezi ya Kiswahili Mufti.Vivuto na vivutio halisi katika kitabu hiki ni jinsi maswali yalivyoulizwa kwa namna ya kuchangamsha na kudadisisha. Fauka ya hayo, vifungu vya ufahamu vina upekee kwa maana ya kuhekimisha, kushajiisha, kunasihi na kuarifisha, kwa maarifa kemkemu.
Shop By Categories
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books