Kiswahili Mufti Darasa la 8 by Wallah

KSh755.00

In stock

by Wallah
Toleo hili la Kiswahili Mufti 8 linatimiza kikamilifu mahitaji na mada zote za silabasi mpya iliyoanza kutekelezwa shuleni kuanzia 2003. Kitabu hiki kimeandikwa kwa uangalifu mkubwa ili kiweze kueleweka vizuri zaidi na wanafunzi wote kutoka mazingira mbalimbali. Msamiati uliotumika katika vifungu vya ufahamu unaafikiana vyema zaidi na uwezo wa lugha wa wanafunzi katika kiwango hiki. Toleo hili limeshughulikia kikamilifu maswala ibuka kama vile teknolojia ya habari na mawasiliano, katiba, rajua ya 2030, ufisadi na athari zake mbaya, mazingira, haki za watoto, UKIMWI, jinsia na maadili.

Compare
Category:
Be the first to review “Kiswahili Mufti Darasa la 8 by Wallah”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Reviews

There are no reviews yet.

See It Styled On Instagram

    No access token
Show Buttons
Hide Buttons

Main Menu

1
Scan the code
Thank you for visiting us,

Need any help?