OUP Kiswahili dadisi Mazoezi ya Lugha gredi 3 … by Waititu/Matei/Mbugua

KShs500.00

In stock

by Waititu/Matei/Mbugua
Kiswahili Dadisi. Mazoezi ya Lugha ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa upekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa mpya wa Umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza. kuzungumza, kusoma na kuandika. Aidha. vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuza umilisi iliopendekezwa. maadili no kufahamisha kuhusu masuala ibuka.
Katika Kiswahili Dadisi, Mazoezi ya Lugha. Kitabu cha Mwanafunzl. Gredi 3. utapata:
• mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtataa mpya
• mifano halisi ya miktadha ambapo hutumika
• mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja
• jinsi ya kuwashirikisha wazazi na walezi iii kuimarisha uwajibikaji.

Compare
Category:
Be the first to review “OUP Kiswahili dadisi Mazoezi ya Lugha gredi 3 … by Waititu/Matei/Mbugua”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Reviews

There are no reviews yet.

See It Styled On Instagram

    No access token
Show Buttons
Hide Buttons

Main Menu

1
Scan the code
Thank you for visiting us,

Need any help?