OUP Kiswahili dadisi Mazoezi ya Lugha gredi 3 … by Waititu/Matei/Mbugua

In stock

by Waititu/Matei/Mbugua
Kiswahili Dadisi. Mazoezi ya Lugha ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa upekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa mpya wa Umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza. kuzungumza, kusoma na kuandika. Aidha. vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuza umilisi iliopendekezwa. maadili no kufahamisha kuhusu masuala ibuka.
Katika Kiswahili Dadisi, Mazoezi ya Lugha. Kitabu cha Mwanafunzl. Gredi 3. utapata:
• mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtataa mpya
• mifano halisi ya miktadha ambapo hutumika
• mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja
• jinsi ya kuwashirikisha wazazi na walezi iii kuimarisha uwajibikaji.

Compare
Category:
Be the first to review “OUP Kiswahili dadisi Mazoezi ya Lugha gredi 3 … by Waititu/Matei/Mbugua”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Reviews

There are no reviews yet.

WhatsApp us for any enquiry...

See It Styled On Instagram

    No access token

Main Menu

OUP Kiswahili dadisi Mazoezi ya Lugha gredi 3 … by Waititu/Matei/Mbugua

OUP Kiswahili dadisi Mazoezi ya Lugha gredi 3 … by Waititu/Matei/Mbugua

Select at least 2 products
to compare