Longhorn: Usalama wa Sudi na Shada GD2 by Wekesa

KShs234.00

In stock

by Wekesa
Sudi na Shada ni wananaujali na kuudumisha usalama wao kila mahal. Wanapokuwa shuleni, Shada anaumia wakicheza uwanjani. Sudi anashirikiana na wenzake kumsaidia Shada. Je, Shada anaumiaje? Sudi na wenzake wanamsaidiaje Shada?
Hadithi Mufti za Longhorn ni mfululizo mpya wa hadithi ambazo zimeandikwa kulingana na mtaala mpya. Hizi hadithi zinalenga kukuza ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa uvumbuzi wa maarifa na zinaimarisha uelewa wao wa masuala ibuka katika jamii. Hadithi hizi sio tu za kuelimisha na kuburudisha, bali pia zimeambatanishwa na mazoezi ambayo yatawasaidia wanafunzi kuimarika kiubunifu, kimawazo na kifikra.

Compare
Category:
Be the first to review “Longhorn: Usalama wa Sudi na Shada GD2 by Wekesa”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Reviews

There are no reviews yet.

See It Styled On Instagram

    No access token
Show Buttons
Hide Buttons

Main Menu

1
Scan the code
Thank you for visiting us,

Need any help?