-
Shajara yangu ya klabu ya usomaji ya storymoja
Ikiwa unataka kuwa mwerevu zaidi, mjuzi na mwenye kuvutia, soma vitabu vingi zaidi vya hadithi. Ikiwa unapania kuwa mbunifu zaidi ili siku moja uweze kuwa mvumbuzi au mjasiriamali, soma vitabu vingi Zaidi vya hadithi. Ikiwa unataka kazi yenye mapato mazuri na kuchangia katika maendeleo ya taifa katika siku za usoni, soma vitabu vingi zaidi vya hadithi.
Jaza shajara yako kila wakati unaposoma. Onyesha wazazi au mlezi shajara yako na uwaambie kuhusu vitabu ambavyo umevisoma. llinganishe shajara yako na za marafiki zako kisha msherehekee usomaji wenu iwapo mmesoma vitabu vingi. Kusoma kunawezesha! Kusoma ni poa. Kusoma kuna manufaa kwako!
MZAZI: SOMA PAMOJA NA MTOTO WAKO
Furahia uhondo wa kusoma pamoja na mtoto wako. Mtoto wako atavipenda vitabu maishani mwake na atajifundisha kwa wepesi endapo utazingatia hoja kumi rahisi zilizoorodheshwa hapa chini.
1. Soma pamoja na mtoto wako katika mazingira yaliyotulia kama vile kwenye chumba cha kulala.
2. Mhimize mtoto wako awe na mazoea ya kusoma hadithi nzima kwa kutumia viziada vya lugha kama vile kupandisha sauti.Asome hadithi nzima kwanza akilenga kuifurahia tu kisha aisome tena ili ajue yaliyomo. |
3. Mhimize mtoto wako ayaashirie maneno kwa vidole hasa anaposoma hadithi aliyokwisha kuisoma awali.
4. Chunguza kama mtoto wako anaelewa aliyoyasoma kwa kumuuliza maswali kuhusu michoro, wahusika na hadithi mara kadhaa.
5. Kuwa na mtazamo chanya kuhusu hatua anayopiga mtoto wako katika usomaji wake. Usimvunje moyo bali umsifu kwa kila hatua anayopiga.
6. Hakikisha kwamba mtoto wako anaisoma hadithi mara kadhaa.
7. Baada ya mtoto wako kuzoea kusoma hadithi fulani, mhimize ajaribu kukusomea baadhi ya maneno ya hadithi hiyo au hadithi nzima.
8. Mnunulie mtoto wako vitabu tofauti tofauti vya kuburudisha kama vile vitabu vya picha, vya kuchekesha na vya kuelimisha.
9. Mwonyeshe mtoto wako kwamba una nia ya kufuatilia na kujua hadithi anazozisoma kwa kumuuliza maswali kuhusu hadithi hizo. Pia mhadithie hadithi ulizosoma kwenye vitabu ulivyo navyo.
10. Uwe kielelezo bora kwa mtoto wako ili avithamani vitabu. Mwache mtoto wako akuone wewe ukisoma vitabu vingi
-
Dwarf Long Nose Moran Grade Level 6 by Fonseca
Moran Graded Readers Level 6
Charlie’s nightmare becomes reality, until he meets a kind long-nosed dwarf. Will fate be restored? Use the helpful glossary to help you to understand this illustrated story, and to answer the questions which follow.
Worldreader presents this e-book in a new series showcasing fiction from Sub-Saharan Africa. Are you a worldreader? Read more about this not-for-profit social enterprise at worldreader.org. -
Primary Science Std 8 Teachers’ guide by KLB
by KLB
The main objective of teaching science at the primary school level is to equip pupils with scientific knowledge and practical skills that they can apply in their day-to-day life. Primary Science Teachers’ Guide for Standard Eight has been written with this objective in mind.This comprehensive guide gives practical advice to the teacher on how to engage pupils in various investigations and how to help them develop life skills and positive attitudes.The incorporation of some aspects of agriculture, health and home science in the primary science course calls for an integrated teaching approach. This Teachers’ Guide prepares the teacher on how to present the activities provided in the Primary Science Pupils’ Book for Standard Eight effectively.Guidelines on how to infuse emerging issues such as conservation of environment, gender responsiveness, HIV/AIDS and drug and substance abuse in the activities have also been provided.This Guide is a must for every Primary Science teacher. Used alongside the Pupils’ Book for Standard One, it will enable the teacher to plan and teach the science course effectively. Both the Pupils’ Book and the Teachers’ Guide have been approved for use in our schools by the Ministry of Education. -
Intensive Revision CRE Std 1,2,3
This book has been written after a proper analysis of the KCPE Examination done since 1998. It is essentially formatted to guide pupils who are in class 1, 2 and 3. The K.C.P.E candidate will particularly find it very useful and simple as they prepare to sit their final examination.
The book contains Quick reminder notes, Testing exercises, Structured questions, Alternative, Model Test papers, KCPE-topically arranged papers and Answers.
-
English Aid Standard 8 – New edition by M.S. Patel
by M.S. Patel
English Aid Standard 8 the New edition 2014. These are Text books suitable for Primary School level courses with illustrations that make learning quick and easy. -
Growing up: A Girl’s through puberty by Wambui
by Wambui
Puberty – it’s crazy time.
Pimples, breast, hair “in new places”, and your mood is swinging all over the place. “What in the world is happening”? Are you suddenly feeling too short or too tall compared to your friends, and you feel like the odd one out? It just doesn’t seem fair! Welcome to Puberty. Puberty can be an exciting period. It can also be confusing, uncomfortable and even anxiety provoking at times. Some girls dread it, others cannot wait and yet others feel both ways! But nevertheless, all girls go through puberty. This handbook equips young girls with the information they need to navigate puberty. It is based on the questions and concerns young girls have about the physical and emotional changes that are associated with this stage of development. -
Kamusi ya picha by K w wamitila
Kamusi ya Picha ni kitabu muhimu kwa wanafunzi wanaojifunza lugha ya Kiswahili kwa sababu ya upekee wake. Kamusi hii imejumuisha picha safi na vielelezo vingi na vya kupendeza. Picha halisi zimetumiwa katika baadhi ya sehemu ili msomaji aweze kusawiri vizuri picha ya kitu halisi. Aidha imepangiliwa kwa namna ambayo itawafaa wanafunzi wachanga. Kamusi hii, bila shaka, ni nyenzo muhimu kwa wanafunzi wa shule za msingi na za sekondari pia.
Shop By Categories
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books