-
Moran Primary CRE Std 8 by Wanaswa
by Wanaswa
Moran Primary CRE has been written specifically to cover the new Christian Religious Education syllabus. It sensitises primary pupils to the major issues involved in spiritual and character development in a new, tailor-made way. This eight-level course comprehensively covers the syllabus. Topical emerging issues such as HIV/AIDS, anti-corruption, child and human rights are infused carefully and sensitively. -
Tenzi Tatu za Kale by MM Mulokozi
by MM Mulokozi
Kitabu hiki ni mkusanyo wa tenzi tatu za kale maarufu: Fumo Liyongo, uliotungwa na Muhamadi Kijumwa; Al Inkishafi, uliotungwa na Sayyid Abdalla bin Ali; na Mwanakupona, uliotungwa na Mwana Kupona binti Mshamu. Kitabu kimehaririwa na M.M. Mulokozi, profesa mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kilichapishwa na Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili mwaka 1999.Hizi ni kati ya tenzi maarufu kabisa katika ki-Swahili. Kwa msingi wa sanaa na maudhui, tenzi hizi zina hadhi kamili ya kuwemo katika orodha ambayo kwa ki-Ingereza huitwa “classics.”Fumo Liyongo ni hadithi inayomhusu shujaa Fumo Liongo, ambaye mimi, kutokana na utafiti wangu wa miaka mingi, napendelea kumwita Liongo Fumo. Huyu ni shujaa wa kale, labda miaka elfu moja iliyopita, na ndiye anayesifika kuliko wote tangu zamani katika jamii ya wa-Swahili.Alikuwa pandikizi la mtu, mwenye vipaji kadhaa: kuwashinda maadui, shabaha katika kutumia upinde na mshale, ufundi wa kutunga nyimbo na mashairi. Juu ya yote, alikuwa muungwana sana, mfano wa kuigwa. Lakini alifanyiwa visa na ndugu yake ambaye alikuwa mfalme, hadi hatimaye akauawa na kijana mdogo, ambaye alikuwa mpwa wake.Al Inkishafi ni utenzi wa tafakuri na falsafa kuhusu maisha, ambao umejikita katika kuuliza maana ya maisha ni nini. Mtunzi alilishughulikia suali hili kwa kuzingatia jinsi ustawi na utukufu wa wa-Swahili, hasa wa mji wa Pate, ulivyoanguka. Pate ulikuwa mji maarufu, wenye hadhi na mali, lakini kutokana na masaibu mbali mbali, ullipoteza hadhi hiyo na kuishia kuwa magofu.Hii dhamira imeshughulikiwa tangu zamani na waandishi wengi wa pande za Arabuni, Uajemi, Ulaya na sehemu zingine duniani. Wanafalsafa pia wamehoji maana ya maisha, hasa wanafalsafa wa mkondo wa “existentialism.”Mwana Kupona ni utenzi uliotungwa na mama kumuusia binti yake kuhusu maisha ya ndoa, wajibu wake katika maisha hayo, na wajibu wake kwa watu kwa ujumla. Huu ni utenzi maarufu sana, ambao ni chimbuko la tungo za waandishi wengine, kama vile Shaaban Robert. -
One in Christ Std 8 Teacher’s book
The ONE IN CHRIST TEACHERS’ GUIDES are the joint effort of the Kenya Catholic Secretariat (KCS), The Christian Churches’ Educational Association (CCEA) and The Seventh Day Adventist (SDA) Church. The books are designed to guide the teacher in covering the recommended Primary Christian Religious Education Syllabus. They provide the recommended teaching procedure for each lesson and suggestions on pupils’ activities. The books use the Life Approach Method, which helps the pupils to apply whatever they learn to their daily lives. The guides have the following key features: General aims of the course which will assist the teacher in making schemes of work. Objectives which guide the teacher in lesson planning. Suggested lesson development sequence. Cover all the lessons in the pupils’ book and more. Songs and stories which make C.R.E. fun and interesting.
-
Quick Reading Mathematics 8 by Okello
by Okello
Quick Reading Mathematics Pupil’s Book 8 series has been prepared to teach primary Mathematics in an exciting and entertaining approach to captivate the learner. It strictly follows the syllabus. The series uses various styles to teach the content.
They include:- Short and precise notes to summarise content;
- Numerous examples and activities to guide the learner;
- Tips that remind the learner of the key concepts learnt;
- Exercises and 2 unit tests that test understanding of content in each topic:
- Term based opening, Midterm and Endterm testpapers for continous evaluation;
- 10 End of year testpapers to prepare learners early for examples:
- Answers to the exercises and test papers.
-
New Primary English 8 Teachers guide
New Primary English teachers guide, covers the most recent developments in language learning theories and approaches. It offers you lots of practical suggestions on selecting materials, lesson planning, managing the classroom and using resources effectively.
-
Kamusi ya picha by K w wamitila
Kamusi ya Picha ni kitabu muhimu kwa wanafunzi wanaojifunza lugha ya Kiswahili kwa sababu ya upekee wake. Kamusi hii imejumuisha picha safi na vielelezo vingi na vya kupendeza. Picha halisi zimetumiwa katika baadhi ya sehemu ili msomaji aweze kusawiri vizuri picha ya kitu halisi. Aidha imepangiliwa kwa namna ambayo itawafaa wanafunzi wachanga. Kamusi hii, bila shaka, ni nyenzo muhimu kwa wanafunzi wa shule za msingi na za sekondari pia.
-
Growing up: A Girl’s through puberty by Wambui
by Wambui
Puberty – it’s crazy time.
Pimples, breast, hair “in new places”, and your mood is swinging all over the place. “What in the world is happening”? Are you suddenly feeling too short or too tall compared to your friends, and you feel like the odd one out? It just doesn’t seem fair! Welcome to Puberty. Puberty can be an exciting period. It can also be confusing, uncomfortable and even anxiety provoking at times. Some girls dread it, others cannot wait and yet others feel both ways! But nevertheless, all girls go through puberty. This handbook equips young girls with the information they need to navigate puberty. It is based on the questions and concerns young girls have about the physical and emotional changes that are associated with this stage of development.
Shop By Categories
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books