-
Q & A KCPE Revision Mathematics 2nd Edition. by Benter Awuor,peter Kahoro
Q & A KCPE Revision is a new series that comprehensively covers the new primary syllabus. Each book in the series is skillfully written by a team of experienced authors, examiners and teachers to enable the candidates to prepare for KCPE examnations.Why do you need this book?
- Q & A KCPE Revision Mathematics:
- Has a simple design that makes it easy to use.
- Provides a summary of all the topics covered.
- Has a revision exercise at the end of each topic
- Has ten skilfully graded practice exercises.
- Has ten KCPE model test papers which follow the KCPE examination format.
- Is packed with relevant hints, examination lllf; tips and examples.
- Provides answers to all the questions in the book.
-
Collins Gem English Dictionary by Collins
All the words and definitions you need in this comprehensive compact dictionary. Tips to help with spelling grammar and usage. Guidance on practical writing
-
Shajara yangu ya klabu ya usomaji ya storymoja
Ikiwa unataka kuwa mwerevu zaidi, mjuzi na mwenye kuvutia, soma vitabu vingi zaidi vya hadithi. Ikiwa unapania kuwa mbunifu zaidi ili siku moja uweze kuwa mvumbuzi au mjasiriamali, soma vitabu vingi Zaidi vya hadithi. Ikiwa unataka kazi yenye mapato mazuri na kuchangia katika maendeleo ya taifa katika siku za usoni, soma vitabu vingi zaidi vya hadithi.
Jaza shajara yako kila wakati unaposoma. Onyesha wazazi au mlezi shajara yako na uwaambie kuhusu vitabu ambavyo umevisoma. llinganishe shajara yako na za marafiki zako kisha msherehekee usomaji wenu iwapo mmesoma vitabu vingi. Kusoma kunawezesha! Kusoma ni poa. Kusoma kuna manufaa kwako!
MZAZI: SOMA PAMOJA NA MTOTO WAKO
Furahia uhondo wa kusoma pamoja na mtoto wako. Mtoto wako atavipenda vitabu maishani mwake na atajifundisha kwa wepesi endapo utazingatia hoja kumi rahisi zilizoorodheshwa hapa chini.
1. Soma pamoja na mtoto wako katika mazingira yaliyotulia kama vile kwenye chumba cha kulala.
2. Mhimize mtoto wako awe na mazoea ya kusoma hadithi nzima kwa kutumia viziada vya lugha kama vile kupandisha sauti.Asome hadithi nzima kwanza akilenga kuifurahia tu kisha aisome tena ili ajue yaliyomo. |
3. Mhimize mtoto wako ayaashirie maneno kwa vidole hasa anaposoma hadithi aliyokwisha kuisoma awali.
4. Chunguza kama mtoto wako anaelewa aliyoyasoma kwa kumuuliza maswali kuhusu michoro, wahusika na hadithi mara kadhaa.
5. Kuwa na mtazamo chanya kuhusu hatua anayopiga mtoto wako katika usomaji wake. Usimvunje moyo bali umsifu kwa kila hatua anayopiga.
6. Hakikisha kwamba mtoto wako anaisoma hadithi mara kadhaa.
7. Baada ya mtoto wako kuzoea kusoma hadithi fulani, mhimize ajaribu kukusomea baadhi ya maneno ya hadithi hiyo au hadithi nzima.
8. Mnunulie mtoto wako vitabu tofauti tofauti vya kuburudisha kama vile vitabu vya picha, vya kuchekesha na vya kuelimisha.
9. Mwonyeshe mtoto wako kwamba una nia ya kufuatilia na kujua hadithi anazozisoma kwa kumuuliza maswali kuhusu hadithi hizo. Pia mhadithie hadithi ulizosoma kwenye vitabu ulivyo navyo.
10. Uwe kielelezo bora kwa mtoto wako ili avithamani vitabu. Mwache mtoto wako akuone wewe ukisoma vitabu vingi
-
My First Peak Dictionary fully Illustrated
This dictionary is the only one of its kind for many reasons. In the first place, it is an English-Kiswahili dictionary. Secondly, it has a full-colour illustration for every entry. Third, it targets the early childhood learner as well as the lower primary school pupil. In addition to this, the dictionary focuses on what a child at this Level interacts with on a daily basis. It will surely make a big difference in the learning of both English and Kiswahili at that early age.
-
Mbinu za Kisasa za kufundishia Walimu by Musau
Hakuna kitabu kimoja cha Kiswahili kinachoshughulikia mbinu na mikakati ya kufundisha mada mbalimbali za lugha na fasihi. Mbinu za Kisasa za Kufundishia Kiswahili ni kitabu kinachoshughulikia ufundishaji wa Kiswahili. Kitabu hiki kinabainisha na kufafanua mbinu za kisasa za kufundishia mada kama: matamshi, sarufi, msamiati, ufahamu, insha na fasihi. Dhana muhimu katika ufundishaji wa lugha na fasihi zinafafanuliwa na kutolewa mifano mwafaka inayotokana na tajriba ndefu ya waandishi wa kitabu hiki katika ufundishaji wa Kiswahili. Kitabu hiki kitawafaa walimu wa shule za msingi, za upili na vyuo.
Shop By Categories
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books