-
Masomo ya Msingi Darasa la 8 by Waweru
by Waweru
Masomo ya Msingi 8 ni kitabu cha none katika mfululizo wa vitabu vinane vya Kiswahili katika Shute za Msingi. Kilo kimoja cha vitabu hivi Kinakuza masomo ya kitabu kinachofuata. Vitabu hivi vimeandikwa kulingana na matarajio ya ratiba iliyotolewa na taasisi ya elimu (2002). Michoro iliyomo katika kitabu hiki ni ya kupendeza kwa kilo mwanafunzi anayejifunza Kiswahili. Kitabu hiki kinafundisha lugha kutegemea stadi na maarifa kama inavyopendekezwa na taasisi ya Elimu ya Kenya. Mifano iliyotolewa ni ile ambayo mwanafunzi anakumbana nayo katika maisha yoke ya kila siku. Masomo yaliyomo katika Masomo ya Msingi 8 yamepangwa kulingana na mgawo wa stadi zilizoko kwenye silabasi. Kila sura katika kitabu hiki imegawika kama ifuatavyo: A. Ufahamu B. Sarufi C. Msamiati D. Kusikiliza no kuongea E. Kuandika Kitabu hiki kimejengwa katika misingi thabiti ya hatua kwa hatua, hali ambayo itamwezesha mwanafunzi kusoma taratibu na katika hali ya kujiendeleza. Mna pia mazoezi ya kutosha ya kumjenga mwanafunzi ipasavyo. Waandishi wa mfululizo huu wa Masomo ya Msingi ni wenye tajriba kuu katika ualimu na wanayafahamu mahitaji ya wanafunzi waiiowaandikia. Ni matumaini yetu kwamba mfululizo wa masomo haya utakuwa mwangaza kwa wote.KShs200.00Masomo ya Msingi Darasa la 8 by Waweru
KShs200.00 -
-
English graded exercises in grammar comprehensions and compositions VIII … by IS patel,Virginia Wachan…
by IS patel, Virginia Wachanga
English graded exercises in grammar comprehensions and compositions with answers.KShs232.00 -
-
Thorough Homework Social Studies 8 by House of Knowledge
by House of Knowledge
Thorough Homework Social Studies 8 new constitution incorporated with detachable answersKShs280.00 -
Thorough Homework Mathematics 8 by Kangethe
by Kangethe
KShs280.00Thorough Homework Mathematics 8 by Kangethe
KShs280.00 -
Adventure in Nakuru by Juma Bustani
by Juma Bustani
The Junior Readers series has been specifically designed to encourage reading for pleasure and to meet the supplementary needs of upper primary school children. Wide and repeated reading of books in the series should enable pupils to automatically improve their written and spoken English. Adventure in Nakuru is the first of Juma Bustani’s adventure series. It is an exciting story in which the trio of Abia, Frank and Truphosa help Lake Nakuru from pollution by a band of international “industrialists”.KShs281.00Adventure in Nakuru by Juma Bustani
KShs281.00 -
The Ring and the Bush by Sasa Sema
by Sasa Sema
When three youngsters: Masha, Sidi, and Salim come together to form a drama group, We-3, they never expected to get involved in real live drama. This changes when policemen-in hot pursuit of robbers- raid We-3’s performance base, Animalia Club. What follows is a nerve-wracking ordeal in the bush. The three assist the police in arresting notorious gangsters who had been terrorising the residents of Mtaa village. The Ring In The Bush is the second story in a series of supplementary class readers to be used with Keynote English series, our rewarding Primary English course designed for the new syllabus. The class readers will be useful with any course book and can also be read for pleasure outside the classroom setting.KShs315.00The Ring and the Bush by Sasa Sema
KShs315.00 -
-
-
Learning IRE Std 8 by Salim M. Abdulrehman
by Salim M. Abdulrehman
Salim M. Abdulrehman is a retired tutor with a bank of experience in the teaching of Islamic Religious Education. He is a member of Kenya Institute of Education (K.I.E.) I.R.E. Panel. He is the author of I.R.E. Primary Course Book Series 1- 8.KShs360.00Learning IRE Std 8 by Salim M. Abdulrehman
KShs360.00 -
Tales From the Amazon by EAEP
by EAEP
The Junior Readers Series has been specifically designed to encourage reading for pleasure and to satisfy the supplementary reading needs of children in Upper Primary School. Wide and repeated reading of books in the Series will help improve both their written and spoken English.KShs365.00Tales From the Amazon by EAEP
KShs365.00