• EAEP Akili Pevu Kiswahili Mwongozo Grade 5

    by M.Banda and S. Otieno

    Kiswahili Angaza, Mwongozo wa Mwalimu, Gredi ya 5 ni kitabu kilichosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Kimetimiza kwa ukomo wa ukamilifu mahitaji ya Mtalaa wa Kiumilisi. Mwongozo huu unafafanua yaliyomo katika Kiswahili Angaza, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 5. Mwongozo huu unatoa mwelekeo ufaao kwa mwalimu na kumwongoza hatua kwa hatua katika ufundishaji. Mwongozo huu unajumuisha:
    • Utangulizi unaofafanua kwa kina vipengele muhimu vya mtalaa wa umilisi.
    • Kielelezo cha maazimio ya kazi pamoja na andalio la somo kwa kutumia mtindo uliopendekezwa na KICD.
    • Mapendekezo ya jinsi ya kushughulikia wanafunzi wenye mahitaji ya kipekeedarasani.
    • Utangulizi kwa kila mada. Kabla ya vipindi vyenyewe, mwalimu anaonyeshwa matokeo tarajiwa maalum ya kila mada; umilisi wa kimsingi unaokuzwa; uhusiano wa mada na masuala mtambuko, maadili na masomo mengine; mapendekezo ya shughuli za huduma za kijamii zinazochangia ujifunzaji; nyenzo za kufundishia na mbinu za kutathmini wanafunzi.
    • Mwongozo wa kutekeleza kila shughuli iliyo kwenye kitabu cha Mwanafunzi hatua kwa hatua.
    • Majibu kamili ya mazoezi pamoja na maelekezo kwa mwalimu kuhusiana na shughuli teule
    • Viwango vya mwalimu kuzingatia anapowatathmini wanafunzi wake. Mwongozo huu umeandikwa kwa utaalamu na waandish wenye uzoefu mwingi

  • EAEP Super Minds Home Science Workbook Grade 5

    by J. Maga, M. Karani, F. Muriuki

    SUPER MINDS Home Science Grade 5 Workbook has been uniquely written to provide knowledge as well as develop skills and talents in the learners. The Workbook comprehensively covers the content in the competency-based curriculum for Grade 5. Each book in this series has been well researched and creatively written to enable learners to acquire the required competencies, skills, values, pertinent and contemporary issues as well as attitudes.
    This Home Science Workbook:
    • Has a reflection section that is an introduction and a summary sub-strand section that shows what the learners have learnt in the sub-strand.
    • Uses a simple approach to language and presentation that is easy to follow.
    • Has a variety of competency-based, learner-centered activities that help the learners develop a wide range of skills.
    • Has relevant, well-drawn, full-colour illustrations that complement the activities in the book.
    • Has an assessment criterion that helps the teachers, parents, and guardians be able to assess the learner’s acquisition of the competencies learned at school and at home.
    • Has activities that allow the learners to apply the competencies that they have learnt in their daily lives.

  • EAEP Super Minds Agriculture Workbook Grade 5

    by B.Mmbaka, B. Makumbi and F. Kalei

    SUPER MINDS Agriculture Grade 5 Workbook has been uniquely written to provide knowledge as well as develop skills for sustainable agriculture in the learners. The Workbook comprehensively covers the content in the competency-based curriculum for Grade 5. Each book in this series has been well researched and creatively written to enable learners to acquire the required competencies, skills, values, pertinent and contemporary issues as well as attitudes.
    This Agriculture Workbook:
    • Has a reflection section that is an introduction and a summary sub-strand section that shows what the learners have learnt in the sub strand.
    • Uses a simple approach to language and presentation that is easy to follow.
    • Has a variety of competency-based, learner-centered activities that help the learners develop a wide range of skills.
    • Has relevant, well-drawn, full-colour illustrations that complement the activities in the book.
    • Has instructions to parents, guardians, and teachers to make them involved in the continuous learning process at home and at school.
    • Has an assessment criterion that helps the teachers, parents, and guardians be able to assess the learner’s acquisition of the competencies learned at school and at home.
    • Has activities that allow the learners to apply the competencies that they have learnt in their daily lives.

  • EAEP Super Minds Art And Craft Workbook Grade 5

    by W.KAMAU

    SUPER MINDS Art and Craft Grade 5 Workbook has been uniquely written to provide knowledge as well as develop skills and talents in the learners. The Workbook comprehensively covers the content in the competency-based curriculum for Grade 5. Each book in this series has been well researched and creatively written to enable learners to acquire the required competencies, skills, values, pertinent and contemporary issues as well as attitudes.
    This Art and Craft Workbook:
    • Has a reflection section that is an introduction and a summary sub-strand section that shows what the learners have learnt in the sub strand.
    • Uses a simple approach to language and presentation that is easy to follow.
    • Has a variety of competency-based, learner-centered activities that help the learners develop a wide range of skills.
    • Has relevant, well-drawn, full colour illustrations that complement the activities in the book.
    • Has an assessment criterion that helps the teachers, parents, and guardians be able to assess the learner’s acquisition of the competencies learned at school and at home.
    • Has activities that allow the learners to apply the competencies that they have learnt in their daily lives.

  • EAEP Super Minds Music Workbook Grade 5

    by J. Mutaaru and S. Adoyo

    Super Minds Music Grade 5 Workbook, has been uniquely written to provide knowledge as well as nurture the musical talents in the learners. This Workbook comprehensively covers the content in the competency-based curriculum for Grade 5. Each book in the Super Minds Workbooks Series has been well-researched and creatively written to enable learners to acquire the required competencies, skills, values pertinent and contemporary issues as well as attitudes.
    This Music Workbook:
    • has introduction and summary sections in each sub-strand
    • uses a simple approach to language and presentation that is easy to follow.
    • has a variety of competency-based, learner-centered activities that help a learner to develop a wide range of skills.
    • has relevant, well-drawn, full colour illustrations that complement the questions in the book.
    • has instructions to parents, guardians, and teachers to make them involved in the continuous learning process at home and at school.
    • has an assessment criterion that helps the teachers, parents, and guardians to be able to assess the learner’s acquisition of the competencies learned at school and at home.
    The authors of this workbook are Music teachers with vast experience. Teachers, parents, and guardians will be of great help to the learners as they use this workbook.

  • EAEP Super Minds Mathematics Workbook Grade 5

    by L. Nyaranga, A. Olwande and B. Mwendo

    Super Minds Mathematics Grade 5 Workbook is a comprehensive supplementary book based on the new Competency-Based Curriculum, 2018 for primary schools. This Workbook has been creatively written to give the learner adequate practice that will reinforce the competencies they have acquired from their interaction with the course book. The authors of this book have used a simple and easy approach to present content. The learner will certainly enjoy using it The key features of this book include:
    • use of simple language that is to the level of the learner
    • relevant, well-drawn, and full colour illustrations that will arouse the learner’s desire to learn
    • systematic arrangement of tasks to cater for learners who have different learning abilities
    • a variety of practice learning tasks to help the learner grasp a wide range of concepts in Mathematics;
    • relevant and detailed examples, drawn from the immediate environment, to help the learner investigate each concept;
    The authors are teachers with long-standing experience in teaching Mathematics. This workbook should be used alongside the Super Minds Mathematics Learner’s Book for Grade 5.

  • EAEP Super Minds English Learner’s Book Grade 5 (Approved)

    by A. Ngigi, J. Maina, C. Kimeu

    Super Minds English Grade 5 Learner’s Book comprehensively covers the English content in the new competency-based curriculum for primary schools. This book has been creatively written to enable the learner to acquire the required competencies, skills, values, pertinent and contemporary issues as well as attitudes. It is presented in a simple manner that the learner can identify with. At this level, the learner will enjoy using it as the teacher becomes a facilitator of learning and not simply a source of knowledge. The key features of this book include:
    • Use of simple language that is to the level of the learner.
    • Uniquely written to develop oral, reading, and writing skills, as well as competencies in grammar use.
    • Relevant, well-drawn, full colour illustrations.
    • A variety of competency-based, learner-centered activities that help the learner to develop a wide range of skills.
    • Learning points that define all concepts that have been taught.
    • Additional activities including Summary: Test yourself and Assess
    yourself at the end of every theme. The book has an accompanying Teacher’s Guide. The authors are teachers of English with vast experience.

  • EAEP Super Minds English Workbook Grade 5

    by J. Maina, A. Ngigi and C. Kimeu

    Super Minds English Grade 5 Workbook has been uniquely written to provide knowledge as well as develop proficiencies in the learner. This workbook comprehensively covers the content in the competency-based curriculum for Grade 5. Each book in this series has been well-researched and creatively written to enable the learner to acquire the required competencies, skills, values, pertinent and contemporary issues as well as attitudes.
    This English Workbook:
    • has been uniquely written to develop oral, reading, and writing skills, as well as competencies in grammar use
    • uses a simple approach to language that is to the level of the learner
    • has reflection questions at the beginning of each strand to stimulate the learner’s mind
    • has a wide variety of practice questions to help the learner grasp a broad range of concepts in the English language
    • is creatively designed to enable the learner to write all answers to the questions in the workbook spaces easily
    • has attractive, well-drawn, full colour illustrations that will arouse a learner’s desire to learn
    The authors of this workbook are teachers of English with vast experience. This workbook should be used alongside the Super Minds English Learner’s Book for Grade 5.

  • EAEP Kiswahili Angaza Kitabu cha Mazoezi Grade 5

    by M. Banda na S. Otieno

    Kiswahili Angaza, Kitabu cha Mazoezi, Gredi ya 5 ni kitabu kilichoandikwa kwa ubunifu ili kuimarisha maarifa ya mwanafunzi kupitia mazoezi. Mazoezi kwenye kitabu hiki yamewasilisha kikamilifu mahitaji ya Mtalaa wa Umilisi. Mazoezi haya yatamwezesha mwanafunzi kukuza stadi zinazohitajika, maadili na kukabiliana na masuala mtambuko.
    Kitabu hiki kimezingatia mambo sita muhimu katika ujifunzaji wa lugha:
    • Mazoezi mbalimbali yanayopalilia na kushadidia umilisi wa mwanafunzi
    • Kimeangazia stadi zote za kujifunza lugha ambazo ni: Kusikiliza, kuzungumza, Kusoma na kuandika.
    • Picha ya muhtasari inayoeleza yale yatakayoshughulikiwa kwa kila stadi ya ujifunzaji.
    • “Sasa ninajua’ na Jitathmini’ ambavyo ni vidokezo vya kujifunzia na kuimarisha umilisi baada ya mazoezi.
    • Kimetumia lugha nyepesi iliyokomaa na inayoweza kueleweka na mwanafunzi kwa urahisi.
    • Picha zilizotumika zimechorwa vizuri na kikamilifu. Kila mada imeanza kwa picha ambayo inasisimua hamu ya mwanafunzi ya kujifunza.

    Waandishi wa kitabu hiki ni wale wale waandishi wa vitabu maarufu uvipendavyo vya Kiswahili Angaza Gredi ya 1, 2, 3, 4 na 5, na wana uzoefu mkubwa na wamekiandika kitabu hiki kwa utaalamu mkuu.

  • EAEP Akili Pevu Kiswahili Angaza Grade 5 (Approved)

    by S.Otieno, M.Banda

    Kiswahili Angaza, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 5 ni kitabu kilichosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Kitabu hiki kimetosheleza mahitaji ya mtalaa wa umilisi. Kinakuza umilisi uliopendekezwa kwenye mtalaa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka. Kitabu hiki kimeandikwa kwa mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi na kumfanya mwalimu awe mwelekezi tu wala si mtoaji wa elimu. Kitabu hiki kitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia kwa stadi za kusikiliza na kuzungumza, Kusoma, Kuandika na Sarufi.

    Kitabu hiki kimezingatia:
    • Lugha nyepesi iliyokomaa na inayoweza kueleweka na mwanafunzi kwa urahisi.
    • Mada zilizopangwa kwa kuzingatia mtalaa. Kila mada inaanza kwa picha ambazo zimechorwa vizuri na kikamilifu. Picha hizi zitasisimua hali ya mwanafunzi ya kujifunza.
    • Shughuli mbalimbali ambazo zinawashirikisha wanafunzi wakiwa peke yao, wawiliwawili au katika vikundi. Shughuli hizi zinakuza stadi nyingi za kufikiria kama vile kuchanganua, kutambua, kubainisha na kuhakiki.
    • Ushirikisho wa wazazi na walezi ambao unaimarisha uwajibikaji wa wanafunzi.
    Waandishi wa kitabu hiki wana uzoefu mwingi na wamekiandika kitabu hiki kwa utaalamu mkuu.

Main Menu