• Mentor Environmental Activities Learner’s Grade 3 by Mentor

    by Mentor

    Mentor Environmental Activities Grade 3 workbook is fully in line with the New Competency-Based Curriculum. The book is easy to use and contains a variety of learning activities. It makes learning fun for the learner.

  • Soma nasi: Kusoma na Kuandika Gredi 3 by Hellen Inyega, Evans Oso…

    by Hellen Inyega, Evans Osoro, Jackline Ndege, Doris Kachipela, Anduvate Mwavali
    Soma nasi, Kusoma na kuandika Kiswahili ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa upekee iii kutosheleza mahitaji ya mtalaa mpya wo Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza. kuzungumza, kusoma na kuandika. Aidha. vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuza umilisi utiopendekezwa. maaditi na kufahamisha kuhusu masuala ibuka. Katika Soma nasi, Kusoma na kuondika Kiswahili, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi 3. utapata: • mada zilizopangwa kwa kuzingatia mtalaa mpya • mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika • mazoezi nje ya darasa ili kuendeleza ujifunzaji na kuwashirikisha wanafunzi katika shughuli za kijamii zinazokuza ujifunzaji • mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja • jinsi ya kuwashirikisha wazazi na walezi ill kuimarisha uwajibikaji • sehemu ya ‘Tujifurahishe inayolenga kuwasisimua wanafunzi wanapotumia lugha. Soma nasi, Kusoma na kuandika Kiswahili. Kitabu cha Mwanafunzi kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwaltmu atahitaji ili kumwongoza mwanafunzi aweze kufaulu katika mtalaa huu mpya wa Umilisi.

  • Longhorn IRE Activities Grade 3 by Menza

    by Menza
    Longhorn IRE activities Grade 3 Learner’s Book, is the first competency-based book to be developed. This book categorically follows the New Competence-based Curriculum.
    This book actively engages the learner in class, in the school, at home, at the Mosque and elsewhere in the society. The learner freely and easily interacts with the book.
    This book comprehensively covers all the strands and sub-strands highlighted in the Grade 3 syllabus. It also has some unique features such as:
    Accompanying this Activity Book is a comprehensive Teacher’s Guide with competence-based Teaching Guidelines and assessment techniques.

  • Longhorn English Literacy Grade 3 Teacher’s Guide (Approved) by Longhorn

    by Longhorn
    Longhorn English Literacy Activities Grade 3 Teacher’s Guide is a book that guides the teacher on the best teaching and learning methods to apply in the teaching of each lesson in line with the competency-based curriculum and how to develop each lesson in a learner-centred way. It also gives suggestions on the assessment methods to be used and guides the teachgr by giving examples of assessment questions and expected answers.
    This Guide has been written in line with the new competency-based curriculum which promotes learning by discovery. The teacher is guided lesson by lesson through appropriate teaching guidelines and suggestions on how to make learning activities enjoyable and beneficial to the learners.

  • Longhorn Music Activities GD3 Teachers by Adongo

    by Adongo
    Longhorn Music Activities is a new series of books based on the new competency-based curriculum. The books promote the acquisition of core competencies, relevant skills, positive attitudes and values for life and practical application of the knowledge gained in class.
    Pertinent and Contemporary Issues (PCIs) are captured in the book as given in the curriculum. The content is organised in simple but thought-provoking activities that promote critical thinking and problem-solving skills as well as acquisition of important life skills among learners for a responsible response to t.heir needs in the society.

  • Distinction Mathematics Workbook Grade 3

    by DISTINCTION

    Distinction Mathematics Grade 3 Workbook has been authored by competent and experienced teachers in Kenya. The authors organised the Mathematical concepts and skills systematically to provide logical understanding to the user.

    The language used in this book is simple and precise. The learning experiences in this book are within the level of the learner. It provides the right prerequisite skills, values and attitude to prepare the learner for subsequent level of learning.

  • Longhorn Movement Activities GD3 Teachers

    by NJERI. GATHII

    Longhorn Movement Activities is a new series of books based on the new competency-based curriculum. The books promote the acquisition of core competencies, relevant skills, positive attitudes and values for life and practical application of the knowledge gained in class.

    Pertinent and Contemporary Issues (PCIs) are captured in the book as given in the curriculum. The content is organised in simple but thought-provoking activities that promote critical thinking and problem-solving skills as well as acquisition of important life skills among learners for a responsible response to t.heir needs in the society.

  • Longhorn Kusoma Na Kuandika GD3 Mwalimu

    Longhorn Kusoma na Kuandika katika Kiswahili, Mwongozo wa Mwalimu – Gredi 3 ni kitabu ambacho kinampa mwalimu maelezo na maelekezo kamili kuhusiana na mbinu mwafaka za kutayarisha, kuendesha na kutathmini uwezo wa utendaji wa wanafunzi na umahiri wao katika somo la Kuandika na Kusoma katika Kiswahili.
    Mwongozo huu umeandikwa kwa kuzingatia mtaala mpya unaokusudiwa kujenga ujuzi wa mwanafunzi kupitia utendaji na uvumbuzi wa maarifa. Pia, mwongozo huu umetimiza kikamilifu mahitaji ya mada zote za silabasi mpya ya somo la Kusoma na Kuandika katika Kiswahili kwa wanafunzi wa gredi ya kwanza. Vilevile, mwongozo huu una mifano mwafaka ya miazimio ya kazi, mpangilio wa funzo na ratiba ya vipindi itakayomwongoza mwalimu kuzingatia mbinu zinazofaa za kutekeleza malengo yote ya somo la Kusoma na Kuandika katika Kiswahili kwa gredi ya kwanza. Pia, mwongozo huu una majibu ya mazoezi na maswali ya marudio yote yaliyomo katika kitabu cha mwanafunzi.

  • OUP Read with us Literacy GD3 (Approved) by Mwangi

    by Mwangi
    Read with us Literacy Activities is a new series specially written to provide practical experiences that support acquisition of literacy skills for the new competency-based curriculum. Books in the series provide a range of exciting activities. The activities are aimed at acquisition of core competencies, values, and pertinent and contemporar issues (PCIs).
    The Learner’s Book ensures coverage of the new competency-based curriculum by providing:

    Together, the Learner’s Book and the Teacher’s Guide provide learners and teachers with all they need to succeed in the new competency-based curriculum.

  • OUP Kiswahili Dadisi Grade 3 Workbook

    Kiswahili Dadisi Mazoezi ya Lugha Workbook ni mfululizo wa kipekee wa vitabu vyo mazoezi katika mtalaa mpya wa umilisi. Kila kitabu katika mfululizo huu kimefanyiwa utafiti wa kina na kuandikwa kwa ustadi ili kuwasaidia wanafunzi kupata umilisi wa kimsingi, ujuzi, maadili na kuwa na mitazamo bora maishani. Vitabu hivi vinatoa utaratibu mwafaka wa kufanya mazoezi ya lugha kwa njia nyepesi na ya kueleweka.

  • OUP Everyday Hygiene & Nutrition Grade 3 Workbook

    Everyday Hygiene and Nutrition Activities Workbook is a unique fun-filled series that comprehensively covers the new competency-based curriculum. Each book in the series is well-researched and skillfully written to aid acquisition of the core competencies, skills, values and attitudes.

  • OUP Growing in Christ CRE Grade 3 Workbook

    Growing in Christ CRE Activities Workbook is a unique fun-filled series that comprehensively covers the new competency-based curriculum. Each book in the series is well-researched and skillfully written to aid acquisition of the core competencies, skills, values and attitudes.

Main Menu