-
KLB Visionary Mazoezi ya Kiswahili GD2 Trs (Appro) by Mutahi Miricho
by Mutahi Miricho
KLB Mazoezi ya Kiswahiil Gredi ya Pili (Mwongozo wa Mwalimu) ni kitabu mojawapo kati ya vitabu vinavyochapishwa na Kenya Literature Bureau vya msururu wa KLB Visionary. Msururu huu wa vitabu umezingatia Mtalaa wa kiumilisi wa mwaka wa 2017 wa masomo ya shule za msingi. Kitabu hiki kimekusudiwa kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wa kutumia stadi zote nne za lugha ya Kiswahili; Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika. Kupitia stadi hizi, mwanafunzi anakuza uwezo wake wa lugha.
Toleo hili limejumuisha mambo muhimu ambayo yanachangia ujifunzaji wa sasa ambayo ni masuala mtambuko, maswali dadisi, masuala ya jinsia, utendaji wa mwanafunzi, picha murua za kuchangamsha na kuibua hamu ya kudadisi kwa mwanafunzi na mbinu tofauti za kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wake wa kujifunza. Mazingira halisi ya mwanafunzi yamezingatiwa katika kukuza kazi hii. Hili linamwezesha mwanafunzi kujifunza katika hali halisi. Lugha sahili imetumika ili kurahisisha kuelewa kwa mada zote katika kitabu.
Msururu huu wa KLB Visionary umeshughulikiwa na jopo la walimu stadi wenye tajriba_ maalum katika kiwango cha shule ya msingi cha ujifunzaji. Kitabu hiki kimetolewa pamoja na Kitabu cha Mwanafunzi ambacho kitamwezesha mwalimu au msaidizi wa mwanafunzi kushughulikia kikamilifu mada zote zilizoko kwenye mtalaa. -
KLB Visionary Mathematical Act GD2 Trs (Approved) by Samuel
by Samuel
KLB Visionary Mathematical Activities Teacher’s Guide for Grade Two is a guide developed by a team of experts with long standing experience in teaching and curriculum development.
This teacher’s guide equips the teacher with vital tips on methodology. The guide should be used alongside mathematical activities workbook one to effectively cater for the new mathematicas design. -
Oxford New Progressive Primary Teachers Guide Grade 2 by Oxford
by Oxford
New Progressive Primary English Activities is a series specially written to provide practical experiences that support acquisition of language skills for the new competency-based curriculum. Books in the series provide a range of activities that learners will find exciting and motivating. The activities are aimed at acquisition of the core competences. values. and pertinent and contemporary issues (PCIs).The Teacher’s Guide has a wealth of practical activities for developing competencies in learners. It supports teachers by offering the following:
Together. the Learner’s Book and the Teacher’s Guide provide learners and teachers with all they need to succeed in the new competency-based curriculum. Oxford, your companion for success! -
KLB Visionary Movement Activities GD2 Trs (Apprvd) by Kahiga
by Kahiga
KLB Visionary Movement Activities 2 Teacher’s Guide is designed to assist the teacher deliver the new grade 2 Competence Based Curriculum. It provides the most suitable approach in the coverage of the Strands and Sub-strands prescribed in the curriculum design through a wide and varied range of activities to ensure all the core values and links to other activity areas are brought out as spelt out in the curriculum design. The teacher’s guide has clearly highlighted all the pertinent and contemporary issues that are of relevance to the activity area. The whole approach is aimed at equipping the learner with 21st century skills.The guide effectively assists the teacher in lesson preparation, presentation and assessment; and suggests practical activities and accompanying resources as required. The teacher will find the guide very useful in the delivery of this new inquiry based curriculum.
The logical presentation of topics and well sequenced lessons complete with lesson learning outcomes, suggested learning experiences and suggested key inquiry questions all build on the learner’s strengths creating an opportunity to acquire and apply appropriate knowledge, skills, values and attitudes Competences necessary for an empowered 21st century citizen.
-
Premier Jambo Dots Activities Bk 2 by Lisa Pendo
by Lisa Pendo
Premier Jambo Dots Activity book 2 is designed to help learners develop important skills. These skills, eye-hand coordination, color concepts, and picture comprehension, form the foundation for early learning success. This book will also keep the learners stimulated and entertained as they learn.
The book can be used at home or in the classroom. -
Smartboost best written Composition GD1-3
Smartboost best written Composition GD1-3
-
Soma Nasi Kusoma na Kuandika Teachers Guide Grade … by Oxford
by Oxford
Soma nasi. Kusoma na Kuandika Kiswahili ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa upekee iii kutosheleza mahitaji ya mtalaa mpya wa Umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitio stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika. Aidha. vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuza umilisi utaopendekezwa. maadili na kufahamisha kuhusu masuataibuka. Soma nasi. Kusoma na Kuandika Kiswahili. Mwongozouua Mwalimu, Gredi ya 2 kina mifano hatisi na ya kutosha kumwezesha mwalimu kuwasaidia wanafunzi kukuza umilisi unaokusudiwa. Katika mwongozo huu utapata: -
Let’s do Maths Activities Teachers Guide Grade 2 by Oxford
by Oxford
Let’s Do Mathematics Activities is a new series specially written to provide practical experiences that support acquisition of numeracy skills for the new competency-based curriculum. The books in the series provide a wide range of activities that the learners will find exciting and motivating. These activities are aimed at acquisition of the core competences, values, and pertinent and contemporary issues (PCIs) as outlined in the curriculum. The Teacher’s Guide is designed to help the teacher to successfully deliver the new competency-based curriculum through:
Together, the Learner’s Book and the Teacher’s Guide provide learners and teachers with all they need to succeed in the new competency-based curriculum.Oxford, your companion for success! -
Phoenix Summit Environmental Activities Teachers Guide Grade2 by Zilpher Oracha, Zachary …
by Zilpher Oracha, Zachary Oduri & Violet Nkatha
Summit Environmental Activities Teacher’s Guide is: • Elaborate and provides comprehensive additional information for the teacher. • Well organized, with clear cross-referencing to the Learner’s Book. • Detailed, with many teaching and learning activities suggested. • Relevant to the teacher’s local context. • Appropriate and full of practical suggestions for teaching and learning resources. • Unique, with useful assessment suggestions and approaches to evaluate the specific learning outcomes on learner competencies realised. Summit Environmental Activities Series is written by experienced teachers with a track record of assisting learners to realise excellent performance and learning outcomes. Zilpher Oracha is a renowned SMASE-trained teacher of Science, trainer and facilitator with a wealth of over 30 years’ experience teaching Science in primary schools. She has facilitated several training workshops in the country and participated in the review of the Science Curriculum. She has also authored Summit Revision Science. Zachary Oduri is an experienced teacher with over 15 years’ experience in teaching and examining Science and Mathematics. He has taught in various public and private schools. He is currently a teacher and Head of the Science Panel at the Sony Complex Primary School. He has also authored Summit Revision Science. Violet Nkatha is a trained graduate teacher and a SMASE lead facilitator with 20 years’ teaching experience. She is currently teaching at Milimani Primary School. Her vast experience in Drama and Music activities complement interactive teaching that forms the basis for the competency-based curriculum. -
Storymoja Know More Hygiene & Nutrition Activities Grade2 by Joy Kasandi & Josephine …
by Joy Kasandi & Josephine Kavochi
Know More Hygiene and Nutrition Activities Learner’s Workbook for Grade 2 is written in conformity to the new competency-based curriculum design to assist learners to carry out various interactive environmental learning activities and experiences.This will, in turn, provide learners with opportunities to develop core competences, core values, skills and attitudes. Key features • A detailed coverage of all the required curriculum design strands and sub-strands. • Interactive learner-centred learning activities and experiences. • Learner-centred activity questions for each learning experience. • Choice of learning activities that take care of learners with special needs. • Use of clear, varied, relevant and well-captioned illustrations to support text. • Interactive activity questions for each learning experience. • Community service learning activities that help in building collaborative relationships between schools and families. • Integration of Information and Communication Technology (ICT) in the learning activities. • Promotion of inclusivity and gender parity through text and illustrations. The authors of this book have taught young learners for many years.They have vast and tested experience in handling learners of this level. -
Longhorn Kusoma na Kuandika Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi … by Hezekiel Gikambi,Henry T…
by Hezekiel Gikambi, Henry T. Indindi, Danson Khasiani, Rachel Maina.
Kusoma na Kuandika katika Kiswahili, Gredi 2 ni kimoja miongoni mwa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa kuzingatia mtaala mpya unaokuza ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa utendaji na uvumbuzi wa maarifa. Kitabu hiki kinawawezesha wanafunzi kupata maarifa ya kimsingi, stadi zifaazo za kusoma na kuandika, mienendo miema na maadili ya kimaisha pamoja na utumizi kamili wa maarifa wanayoyapata darasani. Shughuli na mazoezi katika kitabu hiki zimejikita kwenye uzoefu wa wanafunzi wa kila siku pamoja na masuala ya kisasa na ibuka kama yalivyofafanuliwa kwenye mtaala mpya. Kitabu hiki kimeandikwa kwa lugha rahisi na inayoibua tafakari tanduizi iii kukuza ujuzi wa kutafakari na kuimarisha stadi za kimaisha za usuluhishaji wa matatizo iii kukidhi mahitaji ya wanafunzi katika jamii.
Shop By Categories
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books