-
-
Access Kiswahili Sahili GD4 (Approved)
Kiswahili Sahili, Gredi ya 4, ni kitabu kinachompa mwanafunzi fursa nzuri kutangamana na Mtaala wa Kiumilisi kupitia
mada na shughuli alizoandaliwa. Lengo hasa la mtaala huu mpya ni kumwezesha mwanafunzi kupata maarifa pamoja na kumjengea
umilisi mzuri wa masuala na maaarifa mbalimbali ili aweze kuyatumia katika maisha yake ya kila siku.
Kitabu hiki kinampa mwanafunzi nafasi ya kujenga umilisi wake katika lugha ya Kiswahili kupitia stadi zilizoshughulikiwa
humu.Kitabu hiki kinashughulikia kusikiliza na kuzungumza kwa namna inayomwezesha mwanafunzi wa Gredi ya 4 kujenga
matamshi, kutumia lugha vizuri kulingana na muktadha. Sehemu ya kusoma inampa mwanafunzi mbinu za kusoma kwa ufahamu,
kusoma kwa kina na kusoma kwa mapana na hivyo kumwezesha kujenga ufasaha wake, wa lugha. Kitabu hiki kinaangazia
stadi ya kuandika ambapo mwanafunzi anaongozwa hatua kwa hatua jinsi ya kuandika tungo za namna mbalimbali.
Sehemu ya sarufi inampa mwanafunzi fursa ya kujenga umahiri wake wa kutumia lugha kwa ufasaha.KSh620.00Access Kiswahili Sahili GD4 (Approved)
KSh620.00 -
KSh620.00
-
Access Tuchangamkie Kusoma Grade 6
by ACCESS
Tuchangamkie Kusoma ni mfululizo wa vitabu vya rejea kuhusu stadi ya kusoma. Chini ya mfumo wa Mtaala wa Kiumilisi (CBC), stadi ya kusoma imepewa nafasi mahususi ambapo mbinu na aina za kusoma vinatiliwa mkazo,ili kutosheleza mahitaji haya ya mtaala wa Kiumilisi, vitabu vya Tuchangamkie Kusoma_ vimeandikwa kukidhi haja ya wanafunzi wa Gredi ya 4, 5 na 6 kuambatana na mahitaji hayo ya Mtaala wa Kiumilisi.
Kitabu hiki kinashughulikia aina zote za kusoma: kusoma Kwa ufasaha, kusoma kwa kina, kusoma kwa ufahamu na kusorma kwa mapana kwa nijia rahisi na nyepesi kueleweka. Kina mifano ya kutosha na mazoezi maridhawa yanayompa mwanafunzi umilisi ufaao kuyakabili maisha na kumwandaa vyema kwa ajili ya mitihani yake.
KSh500.00Access Tuchangamkie Kusoma Grade 6
KSh500.00 -
Adhesive Book Cover A4 10 pcs CK-5036 50x36cm
Small capacity packaging, no waste
Environmental CPP material
Suitable for most sizes of books
Anti-folding
Wear-resistant
Waterproof
Tear-resistant
KSh295.00 -
Advancing in English Form 1 by Vikiru
by Vikiru
KSh702.00Advancing in English Form 1 by Vikiru
KSh702.00 -
Advancing in English Form 2 by Vikiru
by Vikiru
This ground-breaking course is the first comprehensive English course specially written in the new syllabus for secondary schools. The structures and functions of English in this course are taught through imaginative and stimulating reading passages, value-adding illustrations and activities, which are carefully graded and which reflect the rich cultural variety of the world students live in . The Practical Secondary English course emphasizes that language is primarily for communication and must be both integrated and contextualized.The course makes teaching enjoyable and captivating by:- presenting sequentially well-organised skills: speech,reading, grammar and writing.
- integrating text and illustrations to boost understanding.
- giving numerous highly educative indoor and outdoor activities.
- providing activities and exercises at the end of each sub-topic.
- employing a user-friendly approach which is well-centred on the learner’s own environment to ease understanding.
- covering emerging and contemporary issues such as gender, corruption, the environment, HIV/AIDS among others.
KSh702.00Advancing in English Form 2 by Vikiru
KSh702.00 -
Advancing in English Form 3 by Vikiru
by Vikiru
This is a ground-breaking and comprehensive English course specially written in line with the new syllabus for secondary schools. The structure and functions of English in this course are taught through imaginative and stimulating reading passages, value-added illustrations and activities which are carefully graded and reflect the rich cultural variety of the world students live in. The Advancing in English course emphasizes that language is primarily for communication and must be both integrated and contextualized.
The course makes teaching enjoyable and captivating by;- presenting sequentially well -organised skills: speech, reading, grammar and writing.
- integrating text and illustrations to boost understanding.
- giving numerous highly educative indoor and outdoor activities.
- employing a user-friendly approach which is well-centred on the learner’s own environment to ease comprehension.
- covering emerging and contemporary issues such as gender, corruption, the environment, HIV and AIDS among others.
KSh702.00Advancing in English Form 3 by Vikiru
KSh702.00 -
Advancing in English Form 4 by Vikiru
by Vikiru
KSh702.00Advancing in English Form 4 by Vikiru
KSh702.00 -
KSh690.00
Advancing in Mathematics Form 1 by Mugo
KSh690.00 -
Advancing in Mathematics Form 4
Advancing in Mathematics is a new course that fully covers the new Kenya Secondary School Mathematics Syllabus. The series: Uses a learner-centered approach, emphasizing on activity and discovery by students. Uses simple language, appropriate to the level of the learner. Approaches concepts in a simplified manner. Provides a variety of well graded exercises for each subtopic. Provides highlights (in screens) of the main concepts and formulas, for easy reference, especially quick revision. Provides points of interest, wherever possible, such as a short history behind a given concept, in order to make the learning of mathematics even more enjoyable. Has a comprehensive teacher’s guide, providing, among other things, guidelines on how to teach the various concepts and answers to exercises. Advancing in Mathematics Form 4 is the fourth title in a series of four titles. It provides a comprehensive coverage of the new Mathematics Syllabus for Form 4.
KSh754.00Advancing in Mathematics Form 4
KSh754.00 -
Advancing in Maths Form 2 by Mugo
by Mugo
Advancing in Mathematics is a new course that fully covers the new Kenya Secondary School Mathematics Syllabus .Advancing in Mathematics Form 2 is the second title in a series of four titles. It provides a comprehensive coverage of the new Mathematics Syllabus for Form 2.KSh655.00Advancing in Maths Form 2 by Mugo
KSh655.00