-
High Flyer Series KCPE Combined Encyclopaedia Std 8
High Flyer Series KCPE Combined Encyclopaedia Std 8
-
Kiswahili kwa darasa la 8
Hili ni toleo la pili la Kiswahili kwa Darasa la Nane. Kitabu hiki. cha wanafunzi ni cha nane katika mfululizo wa vitabu vinane vya lugha ya Kiswahili kwa shule za msingi. Kitabu hiki kimezingatia kwa kina na kwa namna ya kipekee mada zote zilizomo katika silabasi ya Kiswahili ya 2002 kwa Darasa la Nane. Katika toleo hili, masuala nyeti yameshughulikiwa kwa uketo na usasa kama vile utaratibu wa ngeli kwa kuzingatia upatanisho wa viambishi kisarufi. Masuala ibuka kama vile haki za watoto, mazingira, UKIMWI, uadilifu, jinsia, ajira za watoto na afya yameshughulikiwa kwa upana na utaalamu wa kupigiwa mfano. Mifano, michoro ya rangi na picha nyingi zimetumiwa ili kulifanya somo hili liwe la kuvutia zaidi. Mazoezi kemkem yanayozingatia vipengele vyote katika silabasi yamejumuishwa ili kumhusisha mwanafunzi kikamilifu. Kitabu hiki kinawalenga wanafunzi kutoka mazingira na jamii mbalimbali. Vilevile kitabu hiki kina mitihani ya majaribio ili kumwandaa mwanafunzi ipasavyo kwa mtihani wa K.C.P.E.
-
Spotlight quick Revision Science 8
Spotlight quick Revision Science 8Â has been uniquely designed to be of great help to Class 8 pupils in revising the Class 8 Syllabus as well as preparing for the KCPE examination. The book is a very useful tool for teachers who need an appropriate variety of questions for Continuous Assessment Tests, End-of-Term examinations and Model Test Papers.
-
Spotlight Quick Revision CRE 8
has been uniquely designed to be of great help to Class 8 pupils in revising the Class 8 Syllabus as well as preparing for the KCPE examination. The book is a very useful tool for teachers who need an appropriate variety of questions for Continuous Assessment Tests, End-of-Term examinations and Model Test Papers.
-
English Aid Standard 8 – New edition by M.S. Patel
by M.S. Patel
English Aid Standard 8 the New edition 2014. These are Text books suitable for Primary School level courses with illustrations that make learning quick and easy. -
Spotlight Quick Revision Maths 8
Spotlight Quick Revision Mathematics 8 has been uniquely designed to be of great help to Standard 8 pupils in revising the Standard 8 syllabus as well as preparing for the KCPE examination. The book is a very useful tool for teachers who need an appropriate variety of questions for Continuous Assessment Tests, End-of-Term examinations as well as KCPE Model Test Papers. The book is structured as follows:
- There are 8 units covering the entire Class 8 Mathematics syllabus. Each unit has subtopics in which examples, and in some cases brief notes, are given to spotlight key points in the topic.
- An Exercise is given at the end of each subtopic. In addition, 11 Revision Exercises are given based on a number of subtopics and in some cases a topic. These two assessment tools comprehensively test and revise the topic.
- Tips and hints are given at various instances to instruct, guide and appropriately explain a concept at hand to the pupil.
- Topics are spread into three terms — Terms 1,11 and Ill — to guide both the pupil and the teacher in managing the syllabus content.
- Three ModelTest Papers at the end of eachTerm exhaustively cover topics taught up to that term. I 0 KCPE Model Test Papers at the end of the Term III work, covering the entire Mathematics syllabus, help to effectively prepare pupils for the ultimate KCPE Mathematics paper.
- With 813 topical structured questions and 1,266 multiple-choice questions, this is the most comprehensive Mathematics revision book you need.
- Â Answers to all the questions in the book are provided at the back pages of the book.
-
Kiswahili Mufti Darasa la 8 by Wallah
by Wallah
Toleo hili la Kiswahili Mufti 8 linatimiza kikamilifu mahitaji na mada zote za silabasi mpya iliyoanza kutekelezwa shuleni kuanzia 2003. Kitabu hiki kimeandikwa kwa uangalifu mkubwa ili kiweze kueleweka vizuri zaidi na wanafunzi wote kutoka mazingira mbalimbali. Msamiati uliotumika katika vifungu vya ufahamu unaafikiana vyema zaidi na uwezo wa lugha wa wanafunzi katika kiwango hiki. Toleo hili limeshughulikia kikamilifu maswala ibuka kama vile teknolojia ya habari na mawasiliano, katiba, rajua ya 2030, ufisadi na athari zake mbaya, mazingira, haki za watoto, UKIMWI, jinsia na maadili.
Shop By Categories
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books