-
Nyota ya Kiswahili Grade 2 by Obura Odhiambo, Bwanaher…
by Obura Odhiambo, Bwanaheri A. Salim, Dorothy K. Nganje, Nelly Kitonga
Kitabu hiki kimedhamiriwa kutumika kama mfululizo wo vitabu vya kiada kwa Gredi yo Pili. Kimeandikwo kuombotana no mtoloo mpyo. Kitobu hiki kimelenga kumwongoza mwonafunzi katika masomo yoke yo lugha ya Kiswahili kwa kutimiza moarubu yo mtolao wa kiwango husika. Ndani yoke mno mbinu bora za ujifunzaji ambazo zitawaelekeza wanafunzi kuhusu njia bora za kutimiza malengo yoo. Kimezingatia stadi zote zo kujifunza lugha, rani: (i) Kusikiliza (ii) Kuzungumza (iii) Kusoma (iv) Kuondika (v) Msamiati
(vi) Sarufi Mwanafunzi amepewa nafasi ya kujifunza mwenyewe kutokana na picha maridhawa, hadithi, mashairi na michezo murua. Ili kuzidisha hamasisho la ujifunzaji, mwongozo maalumu umeandaliwa iii kuwapa walimu mbinu thabiti za kuuchochea ujifunzaji miongoni mwa wanafunzi. Ili kutathmini kiwango cha ujifunzaji miongoni mwa wanafunzi kitabu hiki kimetoamazoezi ya kutosha yatakoyowowezesho kupato: • Umilisi wa kimsingi • Maadili ya kimsingi • Uwezo wa kuyashughulikia masuala mtambuka Zaidi ya hayo uchochezi huo huwafahamisha namna ya kulinganisha uhusiano wa modo watiyojifunza;
Kitabu hiki kimeandikwa na waandishi wenye tojiriba pevu. Womekomaa kwenye stadi ya uondishi wa vitabu vya kiado. -
Nyota ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi Grade 1
by Bwanaheri, A Salim, Dorothy K.Nganje
Kitabu hiki kimedhamiriwa kutumika kama mfululizo wa vitabu vya ziada kwa Gredi ya Kwanza. Kimeandikwa kuambatana na mtalaa mpya. Kitabu hiki kimelenga kumwongoza mwanafunzi katika masomo yake ya lugha ya Kiswahili kwa kutimiza rnaarubu ya mtalaa wa kiwango husika. Ndani yake mna mbinu bora za ujifunzaji ambazo zitawaelekeza wanafunzi kuhusu njia bora za kutimiza malengo yao.
Kimezingatia stadi zote za kujifunza lugha, yaani:
(i) Kusikiliza
(ii) Kuzungurnza
(iii) Kusoma
(iv) Kuandika
(v) Msamiati
(vi) Sarufi
-
Nyota ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi Grade 1
by Bwanaheri A.Salim, Dorothy K
Kitabu hiki kimedhamiriwa kutumika kama mfululizo wa vitabu vya ziada kwa Gredi ya Kwanza. Kimeandikwa kuambatana na mtalaa mpya. Kitabu hiki kimelenga kumwongoza mwanafunzi katika masomo yake ya lugha ya Kiswahili kwa kutimiza rnaarubu ya mtalaa wa kiwango husika. Ndani yake mna mbinu bora za ujifunzaji ambazo zitawaelekeza wanafunzi kuhusu njia bora za kutimiza malengo yao.
Kimezingatia stadi zote za kujifunza lugha, yaani:
(i) Kusikiliza
(ii) Kuzungurnza
(iii) Kusoma
(iv) Kuandika
(v) Msamiati
(vi) Sarufi
-
Of Mice and Men (Longman-Hard Back)
by John Steinbeck
“Guys like us, that work on ranches, are the loneliest guys in the world. They got no family. They don’t belong no place …With us it ain’t like that.We got a future …because I got you to look after me and you got me to look after you.” George and Lennie are migrant American labourers –the one alert and protective and the other strong, stupid and potentially dangerous. This is the powerful story of their relationship and their dreams of finding a more stable and less lonely way of life. This hardback educational edition contains notes to help students’ understanding.
This is a Hard Back book
ISBN: 9780582461468
Shop By Categories
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books