Spotlight Kurunzi ya Mazoezi ya Kiswahili Grade 5
by SPOTLIGHT
Kurunzi ya Mazoezi ya Kiswahili Gredi ya 5 ni kitabu kilichoandaliwa kwa ustadi ili kumrahisishia mwanafunzi uelewa wa mfumo mpya wa elimu wa umilisi. Sifa za kitabu hiki:
-Maswali yote ya Tathmini na Majaribio yanafuata muundo na ruwaza ya Baraza la Kutunga Mitihani Kenya (KNEC); hivyo yanampa mwanafunzi sura kamili ya tathmini ya shuleni na kitaifa.
-Kinafuata kikamilifu mfumo mpya wa umilisi.
WhatsApp us for any enquiry...
Reviews
There are no reviews yet.