Soma Nasi Kusoma na Kuandika Teachers Guide Grade … by Oxford

KShs385.00

In stock

by Oxford
Soma nasi. Kusoma na Kuandika Kiswahili ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa upekee iii kutosheleza mahitaji ya mtalaa mpya wa Umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitio stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika. Aidha. vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuza umilisi utaopendekezwa. maadili na kufahamisha kuhusu masuataibuka. Soma nasi. Kusoma na Kuandika Kiswahili. Mwongozouua Mwalimu, Gredi ya 2 kina mifano hatisi na ya kutosha kumwezesha mwalimu kuwasaidia wanafunzi kukuza umilisi unaokusudiwa. Katika mwongozo huu utapata:

Compare
Category:
Be the first to review “Soma Nasi Kusoma na Kuandika Teachers Guide Grade … by Oxford”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Reviews

There are no reviews yet.

See It Styled On Instagram

    No access token
Show Buttons
Hide Buttons

Main Menu

1
Scan the code
Thank you for visiting us,

Need any help?