Misingi ya Sarufi ya Kiswahili by John Habwe

In stock

Misingi ya sarufi ya lugha yoyote ile huwa katika Mofolojia (muundo wa maneno), Fonetiki (sauti), Sintaksia (muundo wa sentensi), Semantiki (maana) na Isimu (dhana ya lugha) yake. Kitabu hiki kimeishughulikia misingi hii katika muktadha wa Kiswahili. Kwa mara ya kwanza vipengele vyote husika vimeelezwa na kuchambuliwa kwa Kiswahili. Matokeo ni johari ambayo itawafaa wanafunzi wa Shule za Upili, Vyuo vya Walimu na Vyuo Vikuu. Vilevile, wapenzi wa lugha watanufaika kutokana na maelezo mwafaka ya muundo na ufanyikazi wa Kiswahili.

Compare
Category:
Be the first to review “Misingi ya Sarufi ya Kiswahili by John Habwe”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Reviews

There are no reviews yet.

WhatsApp us for any enquiry...

See It Styled On Instagram

    No access token

Main Menu

Misingi ya Sarufi ya Kiswahili by John Habwe

Misingi ya Sarufi ya Kiswahili by John Habwe

Select at least 2 products
to compare