Mbinu za Kisasa za kufundishia Walimu by Musau

In stock

Hakuna kitabu kimoja cha Kiswahili kinachoshughulikia mbinu na mikakati ya kufundisha mada mbalimbali za lugha na fasihi. Mbinu za Kisasa za Kufundishia Kiswahili ni kitabu kinachoshughulikia ufundishaji wa Kiswahili. Kitabu hiki kinabainisha na kufafanua mbinu za kisasa za kufundishia mada kama: matamshi, sarufi, msamiati, ufahamu, insha na fasihi. Dhana muhimu katika ufundishaji wa lugha na fasihi zinafafanuliwa na kutolewa mifano mwafaka inayotokana na tajriba ndefu ya waandishi wa kitabu hiki katika ufundishaji wa Kiswahili. Kitabu hiki kitawafaa walimu wa shule za msingi, za upili na vyuo.

Compare
Category:
Be the first to review “Mbinu za Kisasa za kufundishia Walimu by Musau”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Reviews

There are no reviews yet.

WhatsApp us for any enquiry...

See It Styled On Instagram

    No access token

Main Menu

Mbinu za Kisasa za kufundishia Walimu by Musau

Mbinu za Kisasa za kufundishia Walimu by Musau

Select at least 2 products
to compare