Kiswahili Sanifu Darasa la 8 by Bakhressa

In stock

by Bakhressa
Kiswahili Sanifu (toleo jipya) ni kozi inayotokana na utafiti wa kina kuhusu mahitaji ya wanafunzi wa shule za msingi katika kujifunza lugha ya Kiswahili. Kozi hii itawawezesha wanafunzi kuinua viwango vyao vya msamiati. Pia itawapa fursa ya kupata na kutumia katika maisha yao maarifa mbalimbali watakayojifunza. Isitoshe, kozi hii itawapa nafasi ya kusoma kwa matengo anuwai na kujieleza kikamilifu wakitumia lugha ya Kiswahili sanifu.

Compare
Category:
Be the first to review “Kiswahili Sanifu Darasa la 8 by Bakhressa”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Reviews

There are no reviews yet.

See It Styled On Instagram

    No access token

Main Menu

Kiswahili Sanifu Darasa la 8 by Bakhressa

Kiswahili Sanifu Darasa la 8 by Bakhressa

Select at least 2 products
to compare