Kielekezi cha Shughuli za Kisw Mwalimu GD4 (Appr)
KSh760.00
by OBUKI
KIMEIDHINISHWA NA KICD
Mwongozo huu wa mwalimu umetengenezwa kwa lengo la kumwelekeza mwalimu anapotekeleza na kuafikia malengo
‘maalum ya Mtaala Mpya unaozingatia umilisi na kukuza maadili bora. Mwongozo huu utamsaidia mwalimu katika kukuza stadi
zote za lugha ambazo ni; Kusikiliza na kuzungumza, Sarufi, Kusoma na kuandika. Mwongozo huu umerejelea kikamilifu Kitabu
cha mwanafunzi hivyo basi, kuufanya rahisi kwa mwalimu kuutumia. Mwalimu anashauriwa kujiandaa mapema na ipasavyo ili
kutekeleza shughuli za ujifunzaji.
Reviews
There are no reviews yet.