-
Get it Right Kiswahili Kidato 1 na 2 marudio
by Kamithi
GET IT RIGHT KISWAHILI KIDATO CHA 1 NA 2 ni kitabu kilichoandikwa kwa ustadi wa kupigiwa mfano. Maarubu ya kitabu hiki ni kuwajengea wanafunzi wa kidato cha kwanza na cha pili, msingi thabiti wa kukabiliana na mtihani wa kitaifa (K.C.S.£). Aidha, ni kitabu ambacho kitawafaa pakubwa wanafunzi wa kidato cha tatu na cha nne, wanaotaka kujikumbusha stadi zilizofunzwa katika kidato cha kwanza na cha pili. Kimeandikwa kwa mtindo mwepesi na rahisi kusomeka.
Kitabu hiki kina sifa zifuatazo:
- Kimeshughulikia stadi zote zinazostahili kufunzwa katika kidato cha kwanza na cha pili kwa mujibu wa silabasi.
- Kina maelezo ya utondoti ambayo yametolewa kwa lugha rahisi inayowawezesha wanafunzi wa kidato cha kwanza na cha pili kuelewa fika vipengele vyote vya: ufahamu, muhtasari, matumizi ya lugha, uandishi wa insha na tungo za kiuamilifu, fasihi simulizi, fasihi andishi na ushairi bila usaidizi wa mwalimu.
- Kimetoa mifano maridhawa kwa kila stadi pamoja na mazoezi tele baada ya kila mada ndogo na mada kuu. Aidha, majibu ya mazoezi haya yametolewa ili kurahisisha marudio na uelewa wa mwanafunzi.
- Kina mitihani kielelezo inayolenga kunoa makali ya mwanafunzi. Majibu ya mitihani hii yamo kitabuni kwenye kurasa za mwisho.
- Mwandishi wa kitabu hiki ni mwalimu mwenye tajriba pevu ya kufundisha Kiswahili. Amefundisha katika shule mbalimbali humu nchini na kupata matokeo bora katika mitihani ya kitaifa.
ISBN: 9789966193421
KShs750.00Get it Right Kiswahili Kidato 1 na 2 marudio
KShs750.00 -
Chemchemi za Kiswahili Kidato cha tatu by Wamitila
by Wamitila
Chemchemi za Kiswahili ni mfululizo mpya wa vitabu vya Kiswahili ambavyo vimetayarishwa kwa kufuata silabasi mpya kwa shule za upili. Kitabu cha Chemchemi za Kiswahili,
Kidato cha Tatu kimezingatia mambo yafuatayo:- Vifungu vya ufahamu vya kuvutia na kusisimua vitakavyompa mwanafunzi mafunzo na mazoezi teletele.
- Maelezo na ufafanuzi mustahili wa vipengee mbalimbali vya fasihi andishi na fasihi simulizi.
- Ufafanuzi kwa king kifaacho kuhusu uandishi wa kawaida, uandishi wa kiubunifu, uandishi wa insha na utungaji wa kisanii.
- Uwasilishaji murua na unaoeleweka wa vipengee tofauti tofauti vya sarufi pamoja na mpangilio mpya wa ngeli.
- Usomaji wa makala mbalimbali katika magazeti, majarida, vitabu n.k.
- Mafunzo na mazoezi ya kusikiliza na kuzungumza yanayoburudisha na kushadidia vipengee mbalimbali muhimu kwa kuzingatia kiwango cha mwanafunzi wa kidato cha tatu.
KShs750.00 -
Alive: A New CRE course Form 3 by Petronilla Kidakwa, Jane…
by Petronilla Kidakwa, Jane Mbugua, Evelyn Jaoko, Daniel Mirumbe
ALIVE: A New Christian Religious Education Course is a series that comprehensively addresses the objectives and requirements of the Christian Religious Education CRE Syllabus for secondary schools. Developed by a team of subject experts and experienced teachers, this innovative series combines knowledge acquisition with fun elements and real-life occurrences to deliver on exciting top-notch learning experience. This series aims at moulding learners into role models in society by instilling positive behavioural change. It also helps them to develop a good attitude and life skills that will enable them to effectively deal with emerging issues. The Student’s Book for Form 3 is skilfully written to enhance the learners’ understanding of the main concepts of the CRE course. It also guides the learners on how to incorporate the concepts and lessons learned in their daily lives.KShs750.00 -
KShs750.00
-
Secondary Maths Form 3 Teachers’ guide KLB
This is the third students’ title in the KLB Secondary Mathematics series. It has been extensively updated so as to cater adquately for the new Form Three Secondary Mathematics syllabus. In this edition, Mathematics is presented in a student-friendly manner, with elaborate examples preceding wide-ranging exercises. Mixed exercises are also given to further assist the student in self-assessment on the topics so far met. Each title of the series is accompanied by a teachers’ guide which equips the teacher with vital tips on methodology and provides answers to the revision exercises.
KShs750.00Secondary Maths Form 3 Teachers’ guide KLB
KShs750.00 -
Kiswahili Kitukuzwe Kidato Cha 3
Hili ni toleo la nne la Kiswahili kwa Kidato cha Tatu, Kitabu cha Wanafunzi. Kitabu hiki ni cha tatu katika mfululizo wa vitabu vinne vya Kiswahili kwa shule za upili.
Kitabu hiki kimefuata mfumo wa elimu wa 8-4-4 na kufanyiwa marudio kulingana na silabasi mpya ya Kiswahili ya Kidato cha Tatu
KShs750.00Kiswahili Kitukuzwe Kidato Cha 3
KShs750.00 -
Marudio Hima Hima Kiswahili kidato cha 2 (maswali,Majibu,Mazoezi … by Dinah S.Osango
by Dinah S.Osango
Marudio Hima Hima Kiswahili Kidato cha 2 ni kitabu cha pili cha marudio katika msururu wa vitabu vinne vya kidato cha kwanza hadi cha nne vya marudio.Vitabu hivi vimetungwa kwa kuzingatia mahitaji ya silabasi pamoja na kumwelekeza mwanafunzi na mwalimu katika kuyaelewa mahitaji kamili ya kila swali. Kinyume na kawaida katika vitabu vya mazoezi na marudio, msururu wa Marudio Hima Hima unazingatia:
Huu ni msururu wa vitabu ambavyo ni kama vito vya thamana katika kumtayarisha mwanafunzi kukumbana na mtihani wa Kiswahili katika ngazi ya KCSE.Waandishi wa msururu huu ni walimu waliobobea na wenye tajriba. Wamefundisha Kiswahili kwa miaka mingi pamoja na kushiriki katika utungaji na utahini wa mtihani wa Kiswahili wa KCSE.KShs750.00 -
Chemchemi za Kiswahili Kidato cha pili
9889966495211 KShs748.00Chemchemi za Kiswahili Kidato cha pili
KShs748.00 -
Excelling in English Form three Teachers’ Guide by Prof Henry Indangasi, Dr…
by Prof Henry Indangasi, Dr Phyllis Mwangi, Mr Charles Gecaga, Mr Muchiri Mukunga
Excelling in English Teachers’ Guide 3 is a manual designed to help the teacher use the Students’ Book effectively. It sets out with extreme lucidity, objectives for each individual item to be taught in each unit, thereby placing the teacher on the right road to seeing the desired knowledge and attitudes more clearly. Useful tips are also given on how to involve the students in the activities and exercises in the Students’ Book. The guide further contains additional notes and makes the teacher well equipped to handle the lessons successfully. Diagnostic exercises are given to ensure that complete learning takes place. Answers to the exercises and samples for the writing tasks are provided to assist the teacher evaluate the students’ total progress. The guide further sensitizes the teacher on how to accommodate students with special needs and thus ensure multi-ability learning. This is one book that everybody wishing to use Excelling in English series cannot do without.KShs744.00 -
Alive: A New CRE course Form 2 by Petronilla Kidakwa, Jane…
by Petronilla Kidakwa, Jane Mbugua, Evelyn Jaoko, Daniel Mirumbe
ALIVE: A New Christian Religious Education Course is a series that comprehensively addresses the objectives and requirements of the Christian Religious Education CRE Syllabus for secondary schools. Developed by a team of subject experts and experienced teachers, this innovative series combines knowledge acquisition with fun elements and real-life occurrences to deliver on exciting top-notch learning experience. This series aims at moulding learners into role models in society by instilling positive behavioural change. It also helps them to develop a good attitude and life skills that will enable them to effectively deal with emerging issues. The Student’s Book for Form 2 is skilfully written to enhance the learners’ understanding of the main concepts of the CRE course. It also guides the learners on how to incorporate the concepts and lessons learned in their daily lives.KShs744.00 -
KShs743.00
-
High Flyer Series Combined Art Form 3 by Hellen Muga
by Hellen Muga
Contains short topical notes and question,Past KCSE questions sourced from form 3 syllabus with answers,Topical revision questions with answers,Topical practical homework questions without answers,Reasoned out answers and solutionKShs740.00