-
Chemchemi za Kiswahili kidato cha 1 Mwongozo wa Mwalimu… by G.Waihiga,K.W.Wamitila
Mwongozo huu unapiga hatua pana zaidi ukilinganishwa na vitabu vingine vya aina yake ambavyo aghalabu huishia kuwa vitabu vya majibu tu.
Mwongozo huu wa mwalimu umenuiwa na bila shaka utafaulu katika:
- Kutoa maelezo yenye uketo kuhusu jinsi ya kufunza mada na vipengee mbalimbali katika kidato cha kwanza.
- Kumwongoza, kumwelekeza na kumpendekezea mwalimu jinsi ya kuendesha mafunzo mbalimbali.
- Kumpendekezea mwalimu vifaa mbalimbali vya kutumia katika kufunza mada tofauti tofauti, ambavyo vyapatikana kwa urahisi katika mazingira ya mwalimu na mwanafunzi wa kidato cha kwanza. Kumnasihi mwalimu namna ya kufaulu katika kuziwasilisha mada ambazo huenda zikawawia changamano wanafunzi wa kidato cha kwanza.
- Kumpa mwalimu tafsili na mazoezi ya ziada kwa wanafunzi wenye uwezo unaotofautiana
-
Kamusi ya Karne ya 21
by EMAC BAKITA
Kamusi inayoakisi Maendeleo na Masuala Ibuka ya lugha ya Kiswahili
Vidahizo vipatavyo 42,000. -
Golden Bells 2nd Edition 2014
by Scripture Union of Kenya
Working with churches, Scripture Union of Kenya aims to make God’s word known to children, young people and families, and to encourage people of all ages to meet God daily through the Bible and prayer.
Vision:
To see children and young people following Jesus Christ, filled with hope and transforming their families and communities in Kenya.
Mission:
We exist to nurture children and youth, strengthen family life and help people engage with God through the Bible.
Shop By Categories
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books