• JKF Nyota ya Kiswahili GD2 Trs (Approved) by Salim

    by Salim
    Huu ni mwongozo unaompa mwalimu mbinu za kumwezesha kuchochea ujifunzaji miongoni mwa wanafunzi kuambatana na mtalaa mpya. Mtalaa huo unampa mwanafunzi uwezo wa kujifunza mwenyewe huku mwalimu akiwa msaidizi woke.
    Kitabu hiki kinampa mwalimu mapendekezo ya hatua anazoweza kufuata ili kumwongoza mwanafunzi aweze kujifunza kila mada ndogo kuambatana na maarubu ya mtalaa wa kiwango husika.
    Ili kumwezesha mwalimu ayatimize malengo yake, mwongozo huu umemwandalia ratiba ya mafunzo ya mwaka mzima kwa mtiririko ufuatao:
    ° Matokeo maalumu yanayotarajiwa mwanafunzij kuweza kuyafanya kufikia mwisho wa mada husika
    ° Umilisi wa kimsingi
    ° Maadili ya kimsingi
    ° Masuala mtambuko
    ° Uhusiano na masomo mengine
    ° Uhusiano na shughuli za huduma za kijamii zinazochangia ujifunzaji
    ° Uhusiano na shughuli nyingine zilizoratibiwa za ujifunzaji
    ° Nyenzo
    ° Tathmini
    Kitabu hiki pia kinatoa mazoezi ya ziada ambayo wanafunzi watapewa na mwalimu ili wajifunze zaidi.
    Waandishi walioandika mwongozo huu ni wenye tajiriba kubwa. Wamehusika na uandishi wa vitabu vya kiada kwa muda mrefu. Vitabu vyao vinaendelea kutumika hadi leo.

  • JKF Primary Mathematics GD2 Trs (Approved) by “Waichanguru,Ndungu”

    by “Waichanguru, Ndungu”
    This guide has been written for use with the corresponding Primary Mathematics Learner’s Activities Book for Grade 2. It offers guidance on how to effectively deliver competence-based curriculum.
    Its special features include:
    ° Comprehensive teacher’s notes to assist the teacher in lesson planning.
    ° An easy-to-follow approach to delivering desired learning outcomes.
    ° Pupils’ pages are reproduced in the guide to ease cross-reference.
    ° Answers to exercises.
    ° A practical guide to making and using learning resources.
    ° A section dedicated to relevant mathematical games.
    The book is an ideal reference and learning resource for researchers, teachers and parents.

  • Longhorn CRE Activities GD2 (Approved)

    Longhorn CRE Activities Grade 2 Learner’s Book, is the second competence-based book to be developed. This book categorically follows the New Competence-based Curriculum. This book actively engages the learner in class, in the school, at home, at church and elsewhere in the society. The learner freely and easily interacts with the book. This book comprehensively covers all strands and sub-strands highlighted ‘in the Grade 2 syllabus. It also has some unique features
    such as:
    * Individual, pair and group learning activities in all strands.
    » Songs, poems and Bible quotes that enable the learner to easily understand the sub-strands being taught.
    * Pertinent and contemporary issues in an interactive and learner-friendly manner.
    * Full-colour illustrations, photographs and an attractive design to make the book appealing.
    * Summary notes to various concepts in the different strands.
    * Summarised content at the end of each strand, titled ‘What I have learnt’ and ‘What I will do’
    Accompanying this Activity Book, is a comprehensive Teacher’s Guide with competency-based Teaching Guidelines and assessment techniques.

  • Phoenix Hatua za Kiswahili Rasmi GD2 (Approved) by Momanyi,Mutuku”

    by Momanyi, Mutuku”
    Hatua za Kiswahili Rasmi, Kitabu cha mwanafunzi ni mfululizo wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa ufundi kwa kufuata mtalaa mpya unaosisitiza umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kukuza weledi wake katika stadi za kusikiliza na kuzungumza, sarufi na matumizi ya lugha, kusoma na kuandika. Vitabu hivi vina sifa zifuatazo:
    Mada kuu zilizopangwa kwa kuzingatia ruwaza ya mtalaa ya Kiswahili Gredi ya 2 ili kurahisisha utumiaji.

  • Longhorn English Activities GD2 (Approved) by Okeyo,Wangusi

    by Okeyo, Wangusi
    Longhorn English Activities is a series that comprehensively and exhaustively covers the new competence-based English curriculum for primary schools.
    The competence-based series is appropriate as it:

  • Moran Living Health Hygiene and Nutrition GD2 by Okeyo,Wangusi

    by Okeyo, Wangusi
    Living Health Hygiene and Nutrition Activities is a lower primary school course developed in line with the requirements of the competency-based curriculum. The course employs an inquiry-based approach to learning, an approach which equips learners with appropriate skills, competencies, knowledge, values, attitudes and the quest to explore and discover by themselves.
    The course:

  • Spear Sharp kids Environmental Act G2 by Vaati,Esi

    by Vaati, Esi
    Sharp Kids Series is designed to ensure that learners have rigorous activities, exercises and assignments that cover all the learning outcomes for the new competency-based curriculum.
    The course books embrace short notes for each topic to aid in recall of course work covered. The notes are followed with numerous topical tasks that evaluate the learner’s competency in each strand, sub-strand; both at home and in school.
    This is a course of its kind that will enrich your regular classroom work, making learners enjoy and love school work and life.

  • Spotlight Kurunzi ya Kiswahili GD2 Mwalimu by Matei

    by Matei
    Kurunzi ya Kiswahili Kitabu cha Mwalimu Gredi ya Pili kimeandaliwa kwa ustadi ili kumwezesha mwalimu kumudu mtaala mpya 2017 unaolenga umilisi kwa mwanafunzi haswa katika shughuli za ufunzaji na ujifunzaji.
    Kitabu hiki

    • Kimeshughulikia mada kwa namna ambayo inamwezesha mwanafunzi kushiriki kikamilifu katika ujifunzaji.
    • Mada na shughuli za darasani zimeteuliwa kwa uangalifu kumjengea mwanafunzi umilisi wa aina mbalimbali.
    • Kuna mazoezi na mijarabu anuwai (mazoezi, shughuli kwa mwanafunzi, miradi, mijarabu ya mwisho wa mada) kumwezesha mwalimu kupima umilisi wa mwanafunzi wa stadi mbalimbali za lugha.
    • Picha halisi na michoro ya kuvutia zinazosaidia katika uelewa wa mada.
    • Kinalenga kumsaidia mwanafunzi kutumia wifaa vya tekrrolojia kama vile video, redio, tabuleti katika kurahisisha ujifunzaji.
    • Mbinu tofauti za ufunzaji zimejumuishwa kama vile miradi shambani, shughuli nje ya darasani katika jamii (shambani, dukani, sokoni, usafi), kumwalika mgeni (wa usalama, usafi, mtaalamu), kutumia nyimbo, mashairi, kumhusisha mzazi au mlezi, uchoraji na ujifunzaji katika vikundi. Mbinu hizi zinasaidia kujenga umilisi wa mwanafunzi.
    • Masuala mtambuko na kuhusisha maadili kujenga mada tofauti imeshughulikiwa.
    • Kitabu cha mwalimu kipo ili kumpa mapendekezo katika ufunzaji.
  • Phoenix Falcon English Activities GD2 Trs (Approv) by Otieno

    by Otieno
    Falcon English Activities Teacher’s Guide is:

    • Elaborate and provides comprehensive additional information for the teacher.
    • Well organized, with clear cross referencing to the Learner’s Book.
    • Detailed, with many teaching and learning activities suggested.
    • Relevant to the teacher’s local context.
    • Appropriate and full of practical suggestions for-teaching and learning resources.
    • Unique, with useful assessment suggestions and approaches to evaluate the specific learning outcomes on learner competencies realised.
  • Spotlight English Activities GD2 Trs (Approved) by Nakholi,Kabura,Munyi,

    by Nakholi, Kabura, Munyi,
    Spotlight English Activities Teacher’s Guide Primary Grade 2 has been uniquely designed to greatly benefit the teacher in handling the New Curriculum for Primary Grade 2 English Activities. It guides the teacher to comprehensively cover the Primary Grade 2 English Activities Curriculum Designs as per the Competency-based Curriculum introduced by the Kenya Institute of Curriculum Development (KICD) in 2017. It is presented in a clear, simple and precise language that makes teaching and learning both stimulating and interesting. :
    Key Features of the Guide:

  • Phoenix Summit Hygiene & Nutrition GD2 Trs by Oracha

    by Oracha
    Summit Hygiene and Nutrition Activities Teacher’s Guide is:
    – Elaborate and provides comprehensive additional information for the teacher. Well organized, with clear cross referencing to the Learner’s Book.
    – Detailed, with many teaching and learning activities suggested.
    – Relevant to the teacher’s local context.
    – Appropriate and full of practical suggestions for teaching and learning resources.
    – Unique, with useful assessment suggestions and approaches to evaluate the specific learning outcomes on learner competencies realised.

  • Signal Hygiene and Nutrition Activit gd 2Trs (Appr by Ogilla,Ngoro

    by Ogilla, Ngoro
    Signal Hygiene and Nutrition Teacher’s Guide Book is a KICD-Approved course book authored by experienced classroom teachers who thoroughly researched and analysed the new curriculum design thus making it the best Teacher’s Guide.
    The book comprehensively covers the early year’s education hygiene and nutrition design.
    The language used is simple and attractive. The layouts are designed attractively making learner’s activity book be learner friendly.

Main Menu