-
Kielekezi cha Marudio ya Kiswahili 3
by A.litinyu, C.Kiini, M.Kemunto, N.Musyimi.
KIELEKEZI cha Marudio ya Kiswahili 3 kimeandikwa Hi kuwasaidia wanafunzi wa shule za msingi nchini Kenya kufanya marudio ya silabasi ya Kiswahili ya darasa la tatu.KIELEKEZI cha Marudio ya Kiswahili 3:Kimezingatia kikamilifu silabasi ya Kiswahili ya darasa la tatu kama ilivyoandikwa na Taasisi ya Ukuzaji Mitalaa ya Kenya.Kimewasilisha yaliyomo katika lugha nyepesi ambayo mwanafunzi anaweza kuelewa kwa urahisi. Kimetumia michoro mbalimbali ya kuvutia na inayofafanua yaliyomo.Kina zoezi moja au zaidi mwishoni mwa kila mada ili kumsaidia mwanafunzi kufanya marudio ya mada hiyo.Kina zoezi moja la jumla mwishoni mwa kila sura ili kumsaidia mwanafunzi kufanya marudio ya sura yote.Kina karatasi nne za marudio kumsaidia mwanafunzi kufanya marudio ya silabasi yote ya darasa la tatu na kujiandaa vilivyo kwa mtihani wake.Kimepangwa kwa utaratibu na ubunifu mkubwa ili kunasa akili za mwanafunzi.Kina majibu katika kijitabu tofauti ambacho kinajumuisha majibu ya maswali yote ya Somo la Kiingereza, Somo la Kiswahili, Somo la Hisabati, Somo la Sayansi, Somo la Jamii na Somo la Dini. Lengo la hatua hii ni kumsaidia mwanafunzi kufanya kazi yake bila ya au kabla ya kutazama majibu na wala sio kunakili majibu tu.
-
Storymoja Fun with Science and Technology Grade 6
by STORYMOJA
Fun with Science and Technology Grade 6 is a unique product that is packed with exciting experiments and projects that help learners to create or experiment, discover, explore and learn.
The books in this series, in a fun way guide the learner to:
-Carry out competency-based curriculum projects and experiments in a more simplified way.
-Use locally available materials to carry out experiments and to make useful innovative items.
-Apply their knowledge in Science and Technology to solve day to day problems at home or in school.
-Interact with various exciting Science and Technology experiments and projects.
-Enjoy Learning.
-
Longhorn Marudio ya Kiswahili Grade 5
by LONGHORN
Longhorn Marudio ya Kiswahili – Gredi ya 5 ni kitabu chenye mazoezi ainati ya marudio yaliyokusudiwa kumsaidia mwanafunzi wa Gredi ya 5 kudurusu kwa urahisi. Kimezingatia kikamilifu maelekezo ya mtaala wa umilisi katika uandishi wake. Vilevile, kimejikita katika vipengele vinne vikuu vya ufunzaji wa lugha ya Kiswahili. Kuna:
-Majaribio ya kufungua, kati na mwisho wa mihula yenye muundo mpya wa mtihani wa kitaifa kwa kuzingatia mtaala wa umilisi,
-Mazoezi yanayohusu kusikiliza na kuzungumza, kusoma, sarufi na kuandika,
-Michoro inayovutia na vielelezo vya kuwasaidia wanafunzi kuelewa dhana mbalimbali kwa urahisi,
-Maelezo mafupi ya dhana mbalimbali muhimu.
Waandishi wa kitabu hiki wana tajriba pana ya ufundishaji na utahini wa somo la Kiswahili. Kwa mwalimu, mzazi au mlezi, kitabu hiki chenye mazoezi ya marudio na majaribio ya mitihani ni nyenzo muhimu ya kumboresha na kumwandaa mwanafunzi kwa mitihani ya somo la Kiswahili.
-
Longhorn Science & Technology Revision Grade 5
by LONGHORN
Longhorn Science & Technology Revision = Grade S isa new, concise and comprehensive revision book written for Grade 5 learners. It is developed in line with the Kenya Competence-Based Curriculum (CBC).The aim is to give learners Opportunities to do more practice on the competencies envisaged in the curriculum.
The book has the following key features:
-Appealing and eye-friendly design for ease of reading.
-Clear and coloured illustrations to ease the understanding of concepts.
-Well thought-out and engaging activities.
-Numerous assessments to enable learners test their understanding of concepts.
-Presentation of content using the Bloom’s taxonomy with the following skills being tested: knowledge, comprehension, application, analysis, synthesis and evaluation.
The book is written by seasoned authors who are both subject specialists and conversant with the CBC system.
-
Spotlight Science and Technology Teacher’s Guide 5 (Approved)
by D. Arapai, R.Mwarangu, D. Kamoce, j. Asenje and P. Wasonga
Spotlight Science and Technology Teacher’s Guide Grade 5 has been uniquely designed to help the teacher in covering Science and Technology concepts as per the Competency-Based Curriculum. It also helps the teacher to easily interpret the content of the Curriculum Design for use in the classroom.
Key features of the guide:
• Clearly outlined Table of Content and accurate cross-references for easy use with the Learner’s Book.
• Has comprehensive background information for each sub-strand to give an insight on what is to be learnt.
• Guidance on how to handle learners with special needs has been provided.
• Highlights the lessons according to the topics and sub-topics in the Learner’s Book.
• Content has been presented in a friendly layout that guides the teacher on how to handle various core competences, sub-topics, and lessons in a learner-centered approach.
• There are relevant additional notes for the teacher in each lesson to help the teacher in covering activities and content given in the Learner’s Book.
• Highlights ways of conducting experiments, practical activities, projects, and incorporating ICT in learning.
• Offers guidance on how to handle Pertinent and Contemporary Issues (PCls) as well as how to incorporate values and skills in learning.
• Clear guidelines on how to conduct formative and summative assessments have been provided.
• Contains answers to all Assessment Activities in the Learner’s Book. -
Spotlight Music Teacher’s Guide Grade 5 (Approved)
by P.Kimathi and J.Omare
Spotlight Music Teacher’s Guide Grade 5 has been uniquely designed to greatly benefit the teacher in handling the Grade 5 Music Curriculum. It guides the teacher to comprehensively cover the Grade 5 Music Curriculum Design as per the CompetencyBased Curriculum. It is presented in a clear, simple, and precise language that makes teaching and learning both stimulating and interesting.
Key features of the guide:
• Covers all the strands, sub strands, and learning outcomes of the Music Grade 5 Competency-Based Curriculum Design.
• Relevant learning experiences are stated for all learning activities that are within the level of the learners.
• Suggested teaching and learning steps are included for all Music concepts and competences as per curriculum demands.
• Encourages authentic and realistic understanding of Music concepts by suggested use of practical and group work activities with examples.
• Suggests instructional materials that are related to learner’s environment.
• Guides the teacher on ways of using ICT devices to make learning enjoyable.
• Suggests relevant assessment modes for all activities and feasible guidance on practical activities. Suggested teaching and learning methods use learner-centred approaches, discovery-based, and inquiry-based to enhance development of concepts, core competences, values, and PCls.
• Provides approaches per sub-strand to cater for different learning abilities including slow and fast learners, as well as learners with special education needs following regular schooling.
• All answers have been provided for all assessment tools in the Learner’s Book. -
OUP Kiswahili Dadisi Grade 5 Mwalimu (Approved)
by J. Ndege, E. Osoro and Z. Mucheria
Kiswahili Dadisi Mwongozo wa Mwalimu, Gredi ya 5
Kiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa njia ya kipekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata umilisi wa lugha kupitia stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika, na vilevile sarufi kama ilivyopendekezwa katika mtalaa.
Vitabu katika msururu huu vina mazoezi murua ambayo yatamchangamsha mwanafunzi na kumpa hamu ya kujifunza lugha. Mazoezi haya yanakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka.
Huu Mwongozo wa Mwalimu, Gredi ya 5, una mifano halisi na ya kutosha kumwezesha mwalimu kuwasaidia wanafunzi kukuza umilisi unaokusudiwa. Katika mwongozo huu, utapata:
• utangulizi wa kina kuhusu mtalaa wa umilisi
• muhtasari wa umilisi, maadili, masuala ibuka na shughuli nyinginezo zilizoratibiwa ufundishaji katika kila sura
• matokeo maalumu, maandalizi ya somo na shughuli za ufunzaji wa kila somo mapendekezo ya majibu ya takribani maswali yote katika kitabu cha Mwanafunzi
• mapendekezo ya shughuli za kutekelezwa na wanafunzi ili waendelee kujifunza wakiwa nje ya darasa
• maswali ya ziada ili kukuwezesha kutathmini zaidi uelewa wa wanafunzi wako
• maelekezo ya kina kuhusu jinsi ya kutathmini wanafunzi.Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi pamoja na Mwongozo wa Mwalimu vina shughuli, mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwanafunzi na mwalimu wanahitaji ili kufaulu katika mtalaa huu wa umilisi.
-
MTP Agriculture Learner’s Grade 5 (Approved)
by N.GITONGA
By the end of upper primary, the learner should be able to:
• Participate actively in agricultural activities for environmental conservation.
• Use scarce agricultural resources through innovative practices to contribute towards food security.
• Rear small domestic animals as a profitable agricultural enterprise for self-sustainability and economic development.
• Apply technological skills, digital and media resources to enhance sustainable agricultural practices.
• Appreciate agriculture as a worthy niche for hobby, career development, further education and training. -
Longhorn Agriculture Learner’s Book Grade 5 (Approved)
by P.Sigei, D. Kemei, B. Ndumia
Longhorn Agriculture Grade 5 Learner’s Book is a book that comprehensively and exhaustively covers the new CompetencyBased Agriculture Curriculum for Grade 5. It promotes the acquisition of core competences, relevant social skills, positive attitudes, and values. It also promotes the practical application of knowledge gained in the classroom.
The content in the book is based on the general experiences of the learner as well as Pertinent and Contemporary Issues (PCIs) covered in the curriculum. The book promotes social skills and values through activities and tasks which are organised within content areas, and that reflect the learner’s environment and social realities in a simple but thought-provoking way.
The activities and tasks also promote critical thinking and problem-solving skills as well as the acquisition of important life skills among learners for a quick and careful response to challenges in society.
Shop By Categories
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books











