• Siri Sirini mtihani wa mwanamke kitabu cha 3

    by Rocha M.Chimerah,

    Siri Sirini Mtihani wa Mwanamke Kitabu cha 3- ni riwaya ya mwisho katika msururu wa riwaya tatu za Siri Sirini. Ni ufichuzi wa siri iliyotanda katika kitabu cha 1 na cha 2.

  • Longhorn Smart Score Encyclopaedia GD2 (Vol 2)

    Longhorn Competence-Based Smart Score Encyclopaedia Grades 1 – 3 series is designed to give learners
    opportunities to do more practice on the competences envisaged in the new Competence Based

  • Longhorn Smart Score Encyclopaedia GD2 (Vol 1)

    Longhorn Competence-Based Smart Score Encyclopaedia Grades 1 – 3 series is designed to give learners opportunities to do more practice on the competences envisaged in the new Competence- Based Curriculum for Kenyan Primary Schools.

  • Kiswahili Angaza Mwanafunzi Grade 6 (Approved)

    Kiswahili Angaza, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 6 ni kitabu kilichotungwa na kusukwa kwa makini na kwa kina kirefu. Kitabu hiki kimetosheleza mahitaji yote ya mtaala waumilisi. Kinakuza umilisi uliopendekezwa kwenye mtaala, maadili na kufahamisha kuhusu masuala mtambuko. Kitabu hiki kimeandikwa kwa mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi na kumfanya mwalimu awe mwelekezi tu wala si mtoaji wa elimu. Kitabu hiki kitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia kwa stadi za Kusikiliza na Kuzungumza, Kusoma,Kuandika na Sarufi.

  • Computers Made Friendly 2

    by PARAMOUNT BOOKS

    Computer made friendly is a series that has been developed with the objective of initiating into students an information technology aptitude bearing in mind the current syllabi of the various boards. It provides illustrative information about the basics of computers its various applications its different languages operating systems networking spreadsheets databases and presentations. It also gives an overview of the internet and e-commerce. It is an activity based series with plenty of practical examples and exercises.

  • Smartboost Booster H/work Assessment Tasks GD4

    by SMARTBOOST

    Contains:

    ALL SUBJECTS COMBINED.
    – Mathematical
    – English
    – Kiswahili
    – Science and Technology
    – Home science
    – Agriculture
    – Social studies
    – Creative arts
    – Music
    – Physical Health Education
    – Christian Religious Education
    – Islamic Religious Education

  • Storymoja Fun with Science and Technology Grade 4

    by STORYMOJA

    Fun with Science and Technology Grade 4 is a unique product that is packed with exciting experiments and projects that help learners to create/experiment, discover, explore and learn.

    The books in this series, in a fun way guide the learner to:

    -Carry out competency-based curriculum projects and experiments in a more simplified way.

    -Use locally available materials to carry out experiments and to make useful innovative items.

    -Apply their knowledge in Science and Technology to solve day to day problems at home or in school.

    -Interact with various exciting Science and Technology experiments and projects.

    -Make use of materials at home or school while carrying out experiments and projects.

    -Enjoy learning.

  • Storymoja Know More Scie and Tech Tr’s GD4 (Appr)

    by STORYMOJA

    Know More Science and Technology Teacher’s Guide for Grade 4 is written in conformity to the new competency-based curriculum design.
    It will assist teachers to effectively deliver the content of Know More Science and Technology Learner’s Activity Book for Grade 4. Key features
    • A general introduction to teaching Science and Technology.
    • A step-by-step guide on how to handle each learning activity presented in the Learner’s Activity Book
    • Specific learning outcomes for each of the learning experiences and activities in the Learner’s Activity Book.
    • Sample competency-based schemes of work and lesson plan.
    • A list of suggested resources for each learning activity.
    • Integration of ICT in the learning activities.
    • Guidance on how to handle learners with special needs in order to enhance inclusivity in the classroom.
    • Guidance on how to mainstream pertinent and contemporary issues (PCls) into content.
    • Relevant additional information for the teacher on each sub-strand.
    This book has been approved by the Kenya Institute of Curriculum Development (KICD) to be used alongside the
    Learner’s Activity Book as a course material. The authors have taught for many years and have a vast experience in handling learners of various levels of education.

  • Siri Sirini 2: Mpiga Mbizi Kilindini kitabu cha 2

    by Rocha M.Chimerah

    Ni nani aliyetenda kitendo hiki kilichobakia kuwa siri ya kughasi, siri iliyo sirini? Ni Kidhabi au ni Kijumwa? Hiki ni kitendo kipi ambacho kimebaki kuwa siri iliyofichika, isiyojulikana na wazee wa mji wala vijana wa kijiji, viongozi au waongozwa? Ni kitendo gani hiki ambacho kinaumiza vichwa vya wafalme na vitwana, maimamu na maimuma, hadi mfalme anapatwa na kizunguzungu kwa kupiga mbizi kilindini? Na si yeye tu, bali lukuki ya watu! Kero inapozidi kero na siri inapozidi kusaki sirini, mfalme anariaria na kuendelea kupiga mbizi… ‘Mfalme alishtuka. Mfalme alihangaika, mfalme alibabaika. Alipiga mbizi katika marefu na mapana ya akili yake… Ni nani aliyefanya kitendo hiki? Kwa ajili gani? Alikifanya yeye peke yake au kwa ushirika na wengine?

  • Marudio Hima hima Kiswahili Kidato cha 4

    by Wanjiru Maina, Jennifer N.Wachira

    Marudio Hima Hima Kiswahili Kidato cha 4 ni kitabu cha mwisho cha marudio katika msururu wa vitabu vinne vya kidato cha kwanza hadi cha nne vya marudio. Vitabu hivi vimetungwa kwa kuzingatia mahitaji ya silabasi pamoja na kumwelekeza mwanafunzi na mwalimu katika kuyaelewa mahitaji kamili ya kila swali.Kinyume na kawaida katika vitabu vya mazoezi na marudio, msururu wa Marudio Hima Hima unazingatia:

    • Mahitaji ya silabasi kikamilifu kutoka imiluila hadi muluila, kidato hadi kidato.
    • Maswali yanayotahinivva vanatilia nikazo umilisi na utendaji wa inwanafunzi kalika matumizi ya lugha.
    • Viwangovyote vya utendaji vimetiliwa maananijyaani: kusoma, knsikilizanakuongra. kuandtica, msamiati na isimujamii.
    • Lugha rahisi na nyepesi
    • Vifungu vyonye  kuibua na kuyajadili maswala ibuka yakiwemo yanayohusu teknohama na ujasiriamali.
    • Majibu yenye kulenga hoja kifupi laldni kwa kikamilifu.
    • Maelezo na maelekezo ya kinachotahiniwa na jinsi ya kupata jibu sahihi.

    Huu ni msururu wa vitabu ambavyo ni kama vito vya thamana katika kumtayarisha mwanafunzi kukumbana na mtihani wa Kiswahili katika ngazi ya KCSE.Waandishi wa msururu huu ni walimu waliobobea na wenye tajriba. Wamefundisha Kiswahili kwa miaka mingi pamoja na kushiriki katika utungaji na utahini wa mtihani wa Kiswahili wa KCSE.

  • Mentor Physical & Health Education Tr’s GD4 (Appr)

    About this Teacher’s Guide This Teacher’s Guide has been developed to facilitate the teacher while implementing the
    Competency-Based Curriculum (CBC). The Teacher’s Guide will assist the teacher to come up with interesting and appropriate activities to achieve the specific learning outcomes, develop core competencies, integrate key inquiry questions and nurture desirable values. The teacher is also guided on how the activities will empower learners to effectively address issues and challenges in their day to day life. In addition, the guide also makes cross-reference to the learners’ book that accompanies the Teacher’s Guide. The guide aims at providing guidance to the teacher in developing activities for learners and stimulating discussions among the learners. It is always advisable that the teacher prepares adequately for the learning experiences well in advance. A number of learning experiences that the learners could engage in have been suggested. The teacher is not limited to the activities in the Teacher’s Guide and learner’s book but can
    generate more activities from the examples given.

  • Storymoja Know More Science & Technology Grade 4

    Know More Science and Technology Learner’s Activity Book for Grade 4 is written in conformity to the new competency-based curriculum design to assist learners carry out various interactive learning activities.

    The book provides learners with opportunities to develop core competencies, values, skills and attitudes.

    Key features

    + A detailed coverage of all the required curriculum design strands and sub-strands.

    + Interactive learner-centred learning activities and experiences.

    + Learning activities chat take care of learners with special needs.

    + Use of clear, varied, relevant and well-captioned illustrations to support text.

    + Interactive activity-based questions.

    + Community service learning activities that help in building collaborative relationships between the schools and communities.

    + Integration of Information and Communication Technology (ICT) in the learning activities.

    + Promotion of inclusivity and gender parity through text and illustrations.

    This book has been approved by the Kenya Institute of Curriculum Development (KICD) for use in schools as a course material. It comes along with a detailed Teacher’s Guide.

    The authors have taught for many years and have a vast experience in handling learners of various levels of education.

Main Menu