-
Made Familiar: Balozi in trouble again Level 4
by IHAJI
Balozi always want to impress his friends. This puts him in trouble every time. He uses his creativity and imagination skills to get out of trouble and to prove himself to his peers. Read these three captivating short stories to find out how he tackles the different challenges he encounters.
-
Made Familiar: Ndoto za Juma na bintiheri Level 4
by ALI ATTAS
Juma na Bintiheri, ambao ni binamu, wanafunga safari ya Mbuga ya Wanyama ya Tsavo West na Mzima Springs pamoja na wazazi wao. Wanayoshuhudia na kujifunza katika ziara hiyo yanachochea ndoto zao kuhusu kutunza mazingira na kuishi vyema na wanyama wa porini. Pia, yanawafunulia kichemshabongo walichopewa shuleni na mwalimu Kibahaluli. Je, watapata majibu sahihi ya kichemshabongo hicho na kuibuka wanafunzi bora shuleni kwa ubunifu? Jiunge na Juma na Bintiheri katika safari hii ya kiuhalisia na kifantasia iliyojaa vitushi, patashika, mafunzo na vichekesho kwa kusoma hadithi hii ya kusisimua.
-
Shujaa Meta na Hadithi Nyingine Grade 4a
by QUEENEX
Queenex Hadithi za Ziada ni msururu wa hadithi zinazofuata mfumo mpya wa elimu. Mfumo huu wa elimu unadhamiria kuhakikisha kuwa matokeo ya mafunzo ni ujenzi wa umilisi utakaomwezesha mwanafunzi kutumia ujuzi wake kujiendeleza shuleni, nyumbani na katika jamii.
-
The Big Race and Other Stories Grade 4C
by QUEENEX
Queenex Supplementary Readers is a series of stories that are developed in line with the Competence Based Curriculum. This system of education aims to ensure that learners are well equipped with skills and competencies that they can use in their day-to-day lives.
-
Made Familiar Kitendawil Cha Taji na Hadithi Nyingine Level 4
by JOE
Taji na Kamaria wanapenda kijfunza mambo mapya kuhusu wanyama na mimea. Wanashiriki katika michezo na shughuli mbalimbali za kudadisi mazingira yao. Baadhi ya shughuli hizi zinawatia motoni. Jiunge na Taji na Kamaria katika shughuli na michezo ya kusisimua.
-
The Scouts Camp and Other Stories Grade 4a
by QUEENEX
Queenex Supplementary Readers is a series of stories that are developed in line with the Competence Based Curriculum. This system of education aims to ensure that learners are well equipped with skills and competencies that they can use in their day-to-day lives.
-
Soko Mjinga na Hadithi Nyingine Grade 4C
by QUEENEX
Queenex Hadithi za Ziada ni msururu wa hadithi zinazofuata mfumo mpya wa elimu. Mfumo huu wa elimu unadhamiria kuhakikisha kuwa matokeo ya mafunzo ni ujenzi wa umilisi utakaomwezesha mwanafunzi kutumia ujuzi wake kujiendeleza shuleni, nyumbani na katika jamii.
-
The Red Scarecrow and other Stories Grade 4b
by QUEENEX
Queenex Supplementary Readers is a series of stories that are developed in line with the Competence Based Curriculum. This system of education aims to ensure that learners are well equipped with skills and competencies that they can use in their day-to-day lives.
-
Bendera Bandia na Hadithi Nyingine Grade 4b
by QUEENEX
Queenex Hadithi za Ziada ni msururu wa hadithi zinazofuata mfumo mpya wa elimu. Mfumo huu wa elimu unadhamiria kuhakikisha kuwa matokeo ya mafunzo ni ujenzi wa umilisi utakaomwezesha mwanafunzi kutumia ujuzi wake kujiendeleza shuleni, nyumbani na katika jamii.
-
New Boy 4j
by KIGURU
The NPPE Reading Scheme forms an important part of the New Progressive Primary English (NPPE) course
There are two readers for each class with each specially written to emphasize
specific language skills leant in the main course
Here a reading scheme that offers the modern pup! an excellent mix of graded stories all packed with many exciting things. Now the pupil has fun that’s built to last.
Other sites for Class Four
4a Mister Todi 4b Ken Karo the Champion 40 A Shocking Landing 4d Mote Farm 4e No escape
41 Give her a chance 4g The King of all fish 4 A for AIDS -
Kalulu na Mti Mkavu 4e
by TANGUKO
Kalulu anampeleka ng’ombe wake sokoni kumuuza. Njiani, anapata mnunuzi wa ajabu ambaye ni mti wa mbuyu uliokauka.
Itakuwaje mti uuziwe ng’ombe?
Kalulu na Mti Mkavu ni kitabu cha wanafunzi wa darasa la nne katika shule za msingi. Kitabu hiki kinalenga kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma.
Mradi wa kusoma ni vitabu vya ziada ambavyo vinaambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.
Shop By Categories
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books