-
Bendera Bandia na Hadithi Nyingine Grade 4b
by QUEENEX
Queenex Hadithi za Ziada ni msururu wa hadithi zinazofuata mfumo mpya wa elimu. Mfumo huu wa elimu unadhamiria kuhakikisha kuwa matokeo ya mafunzo ni ujenzi wa umilisi utakaomwezesha mwanafunzi kutumia ujuzi wake kujiendeleza shuleni, nyumbani na katika jamii.
-
Made Familiar: Ndoto za Juma na bintiheri Level 4
by ALI ATTAS
Juma na Bintiheri, ambao ni binamu, wanafunga safari ya Mbuga ya Wanyama ya Tsavo West na Mzima Springs pamoja na wazazi wao. Wanayoshuhudia na kujifunza katika ziara hiyo yanachochea ndoto zao kuhusu kutunza mazingira na kuishi vyema na wanyama wa porini. Pia, yanawafunulia kichemshabongo walichopewa shuleni na mwalimu Kibahaluli. Je, watapata majibu sahihi ya kichemshabongo hicho na kuibuka wanafunzi bora shuleni kwa ubunifu? Jiunge na Juma na Bintiheri katika safari hii ya kiuhalisia na kifantasia iliyojaa vitushi, patashika, mafunzo na vichekesho kwa kusoma hadithi hii ya kusisimua.
-
KLB Visionary English Learner’s Grade 4
by KLB
Visionary KLB English Grade Four Learner’s Book is based on the new Competency Based Curriculum. It has numerous activities that are learner centred and allow the learners to discover and create knowledge through doing rather than memorizing facts. The language skills covered in the book are acquired through the involving activities that allow for maximum collaboration among the learners.
-
Shujaa Meta na Hadithi Nyingine Grade 4a
by QUEENEX
Queenex Hadithi za Ziada ni msururu wa hadithi zinazofuata mfumo mpya wa elimu. Mfumo huu wa elimu unadhamiria kuhakikisha kuwa matokeo ya mafunzo ni ujenzi wa umilisi utakaomwezesha mwanafunzi kutumia ujuzi wake kujiendeleza shuleni, nyumbani na katika jamii.
-
Longhorn Mwanga wa Kiswahili Grade 4 (Approved)
by KANGAI
Longhorn Mwanga wa Kiswahili Gredi ya 4 (Kitabu cha Mwanafunzi) ni kitabu kilichoandikwa kwa ustadi na umahiri mkubwa. Kimeandikwa kwa lugha nyepesi ya kiwango cha mwanafunzi wa gredi ya nne. Kitabu hiki kinatosheleza kikamilifu mahitaji ya mtaala mpya wa umilisi pamoja na malengo ya elimu ya taifa la Kenya. Kimeshughulikia wanafunzi wote wakiwemo walio na mahitaji maalum pamoja na wanaoishi kwenye mazingira mbalimbali.
-
Storymoja Cheche za Insha Gredi 4
by STORYMOJA
Kinaakisi Mtaala wa Kiumilisi.
Mwongozo wa uandishi hatua kwa hatua .
Nafasi za kufanyia mazoezi katika kila sura.
Vielelezo 25 vya insha zinazogusia Mtaala wa Kiumilisi.
Ujuzi wa kuandika unaokuza ujifunzaji endelevu maishani.
Mazoezi ya kukuza msamiati wa mada inayohusika.
Vichocheo zaidi ya 100 vya mazoezi ya kundika insha bora.
Fursa ya kuchapishwa insha yako na kampuni ya storymoja.
-
Moran CBC Breakthrough Workbook Volume 2 Grade 4
by MORAN PUBLISHERS
CBC Breakthrough Workbook Volume 2, Grade 4 is a one-stop source of extended learning activities for Mathematics, English, and Kiswahili based on the Competency-Based Curriculum. The workbook is a curriculum companion aimed at Supporting the learner to
develop skills and concepts in specific learning outcomes integrate the required competencies, PCIs, and values in the learner’s activities.The workbook is packed with benefits to the learner, teacher, and parent or guardian.
-
OUP Modern Agriculture GD4 Workbook
by OXFORD
Modern Agriculture is a unique fun-filled series that comprehensively covers the new Competency-based Curriculum.
Each book in the series is well-researched and skillfully written to aid acquisition of the core competencies, skills,
values and attitudes. This workbook offers:
• graded practice exercises to take care of learners of different learning
abilities
• numerous practical activities to enhance the acquisition of skills
various home tasks aimed at involving the family and the community in the learning
process.
A combined answer book is available for the Grade 4 workbooks. -
JKF Primary Mathematics Grade 4
by JKF
This is the fourth book in the new series of Primary Mathematics written specifically for the competence-based curriculum.Thecoursebook is intended for use by Grade 4 learners. It prepares the learner for day to day living and number work in higher levels of schooling.
-
Mentor English Learners Book Grade 4
by MENTOR
Mentor English learner’s book is fully in line with the new Competency Based Curriculum. The learner’s book is easy to use and contains a variety of learning activities that make learning fun for the learner.
-
Mentor Mathematics Learner’s Book Grade 4
by MENTOR
Mentor Mathematics Learner’s Book is fully designed in line with the Competency Based Curriculum and Grade Four Mathematics design. It adequately helps the learner to achieve the specific learning outcomes for the upper school level. The book has a variety of activities that will help the learner acquire and develop skills, knowledge, values and attitude for lifelong learning. The activities are presented through inquiry-based approach and a language that is simple and clear making learning interesting and fun. The book has been authored by the most experienced teachers with a wide range of knowledge in curriculum development and teaching upper school
Shop By Categories
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books











