-
Francais Pour Anglophone Classe 4 by Mutsinzi
by Mutsinzi
Francais Pour Anglophone is not only a course book, but also an educational program. This includes newly studied methods, scrupulously experimented. The program leans on combination of methods which analyze all the grammatical Value. lexical,… ( gender, number, orthography, vocabulary…) -
Chemchemi za Kiswahili Kidato cha nne by Wamitila
by Wamitila
Chemchemi za Kiswahili ni mfululizo mpya wa vitabu vya Kiswahili ambavyo vimetayarishwa kwa kufuata silabasi mpya kwa shule za upili. Kitabu cha Chemchemi za Kiswahili, Kidato cha Nne kimezingatia mambo yafuatayo:- Vifungu vya ufahamu vya kuvutia na kusisimua vitakavyompa mwanafunzi mafunzo na mazoezi teletele.
- Maelezo na ufafanuzi mustahili wa vipengee mbalimbali vya fasihi andishi na fasihi simulizi.
- Ufafanuzi kwa kina kifaacho kuhusu uandishi wa kawaida, uandishi wa kiubunifu, uandishi wa insha na utungaji wa kisanii.
- Uwasilishaji murua na unaoeleweka wa vipengee tofauti tofauti vya sarufi pamoja na mpangilio mpya wa ngeli.
- Usomaji wa makala mbalimbali katika magazeti, majarida, vitabu n.k.
- Mafunzo na mazoezi ya kusikiliza na kuzungumza yanayoburudisha na kushadidia vipengee mbalimbali muhimu kwa kuzingatia kiwango cha mwanafunzi wa kidato cha nne.
- Mifano kabambe ya karatasi za mtihani wa Kiswahili zenye muundo mpya wa mtihani hitimishi wa KCSE.
-
Excelling in English Form 4 by Indangasi
by Indangasi
Excelling in English is a new course that is tailored to meet the learning needs of students in secondary school. The series is written by a team of experts in the subject. It dexterously integrates English and literature in a way that makes the learning process not only enjoyable but also enriching for the students. The course is learner-centred and is structured in a manner that allows students to actively participate in the learning process. The course therefore helps learners to discover facts other than memorise what they are taught thus making the knowledge indelibly imprinted on their minds. English is in this course taught in context and learning situations that are familiar to the students are used. Each Students’ Book in the series has an accompanying Teachers’ Guide, which sets out lesson objectives clearly and gives detailed and useful information on lesson development for the teacher. -
Kiswahili Kitukuzwe kidato cha 4 Mwongozo wa Mwalimu by Watuha
by Watuha
Hili ni toleo la pili la Kiswahili Kitukuzwe Darasa la Nne Mwongozo wa Walimu. Kitabu hiki ni cha kwanza katika mfululizo wa vitabu vinane vya walimu vya lugha ya Kiswahili kwa shule za msingi. Mwongozo huu wa walimu umeandikwa kwa njia itakayomfaa mwalimu kwa kumwangazia namna ya kushughulikia somo analofundisha. Mapendekezo ya shughuli za mwalimu na mwanafunzi yametolewa hatua kwa hatua katika kila somo. Vifaa anavyoweza kutumia mwalimu vimependekezwa kama inavyohitajika kuambatana na silibasi. Inapobidi, maelezo na mifano zaidi ya funzo husika yametolewa kwa mwalimu iii aweze kulikabili funzo hilo kwa ujasiri. Hatimaye majibu ya maswali na mazoezi yametolewa ambapo mwalimu anaweza kuyalinganisha na majibu yake mwenyewe au ya wanafunzi hasa pale ambapo jibu si moja tu. Vitabu vifuatavyo vya Kiswahili ambavyo vimechapishwa na KLB, pia vyapatikana katika mfululizo huu: -
Secondary Breakthrough Maths Form 4 by Marlene Hurst
by Marlene Hurst
Research has shown that students understand better when learning is enjoyable, task-oriented and fun-filled. This is exactly what Secondary Breakthrough Workbook series does! This series has the following unique features:
The books are written by practising teachers who have vast experience in successfully preparing students for exams. -
KCSE Golden Tips Agriculture by Migwi
by Migwi
Golden Tips Agriculture has these features: written by experts to cover the new syllabus geared to the new format of examination papers to be examined by the Kenya National Examinations Council from 2006 onwards gives advice on the course requirements, how to study and prepare for the examination provides knowledge through notes and diagrams containing all the essential information on the whole syllabus Shows some common mistakes made by students while answering questions provides practice at applying the knowledge and principles learnt – each chapter contains self-test exercises builds confidence to succeed in your KCSE examination
Shop By Categories
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books