-
Kurunzi ya Insha Kidato cha 1 na 2 by Spotlight Publishers
by Spotlight Publishers
Kurunzi ya Insha: Kidato cha I na 2, kimezingatia tungo zote za ubunifu/kawaida na za kiuamilifu zilizomo kwenye silabasi ya Kiswahili, kidato cha kwanza na pili. Kinawapa wanafunzi mwangaza na ustadi kamili kuhusu uandishi wa tungo hizi kwa kutilia mkazo masharti ya karatasi ya insha katika mtihani wa KCSE. Chapisho hili ni kito kwa mwanafunzi anayetafuta alama ‘A’ katika mtihani. Mwalimu amepewa dira ya kufundishia na kutathminia uwezo wa wanafunzi wake katika uandishi wa insha.
Yaliyomo kitabuni:
• Kitabu hiki kina sura tatu kuu zinazoangazia tungo zote zinazofaa kushughulikiwa katika kidato cha kwanza na pili.
• Sura ya kwanza inaangazia mambo ya jumla ambayo ni lazima mwanafunzi ayazingatie anapoandika insha yoyote. Mambo haya pia ndiyo huzingatiwa na mwalimu anapofundisha darasani. Vilevile, mambo haya ndiyo dira ya kusahihisha insha katika mtihani wa KCSE. Dhamira ya sura hii ni kumsaidia mwanafunzi kutambua makosa ambayo aghalabu humbomoa na kumpunguzia alama.
• Sura ya pili inashughulikia insha za kubuni/kawaida. Hizi ni insha zinazotathmini
ubunifu wa mwanafunzi.
• Sura ya tatu inaangazia insha za kiuamilifu. Tungo hizi huandikwa kwa kufuata sheria, maumbo au taratibu zilizowekwa. • Muundo na sifa za kila insha zimeelezwa kwa kina.
• Makosa ya kawaida yanayofanywa na watahiniwa wanapoandika insha yametajwa ili kuwatahadharisha waepukane nayo.
• Upekee wa kitabu hiki ni kuwepo kwa mifano miwili miwili ya insha zilizoandikwa na waandishi wa kitabu hiki. Pia, mifano mitatu mitatu ya insha zilizoandikwa na wanafunzi wa kidato cha l na 2, katika mazingira ya mtihani, kutoka shule mbalimbali nchini imeambatishwa. Insha hizi zimesahihishwa na watahini wa kiwango cha kitaifa kulingana na utaratibu unaozingatiwa katika kusahihisha mitihani ya KCSE. Maoni kuhusu jinsi ya kuziimarisha yametolewa.
• Zoezi limetolewa baada ya kila utungo ili mwalimu na mwanafunzi waweze kulitumia kufanyia mazoezi darasani. Vielelezo vya mtihani wa insha wa KCSE vimetolewa ili mwanafunzi apate taswira kamili ya jinsi mtihani wa insha unavyoandaliwa na pia ajiandae kuukabili -
Longhorn Mwanga Wa Kiswahili Grade 8 (Approved)
Kitabu hiki kimeandikwa kwa ustadi, umahiri mkubwa na kwa lugha ya kiwango cha mwanafunzi wa Gredi ya Nane. Kitabu hiki kinatosheleza kikamilifu mahitaji ya mtaala wa kiumilisi pamoja na malengo ya elimu ya taifa la kenya.Kimeshughulikia wanafunzi wote wakiwemo walio na mahitaji maalumu pamoja na wanaoishi kwenye mazingira mbalimbali.
-
Secondary Physics 4th Edition Students book Three KLB
This book is the third title in the KLB Secondary Physics series. It comprehensively covers the Form Four syllabus as per the new curriculum.
The edition is rich in detail, has numerous worked-out examples and puts emphasis on a practical approach. This enables the learner to appreciate more the concepts under study.
Each title in the series is accompanied by a teachers’ guide which, apart from providing the teacher with vital tips on methodology, gives answers to questions in the revision exercises. -
The High flyers series KCSE Form 3 Combined Sciences & Languages by Wafua
by Wafua
KCSE Form 3 Combined Science and  Languages -
High Flyer Series Combined Art Form 3 by Hellen Muga
by Hellen Muga
Contains short topical notes and question,Past KCSE questions sourced from form 3 syllabus with answers,Topical revision questions with answers,Topical practical homework questions without answers,Reasoned out answers and solution -
There’s a Dragon in Your Book by Fletcher
by Fletcher
There’s a little Dragon in your book!
Shes oh-so-cute, But watch out for her fiery sneezes… -
Longhorn Smart Score Encyclopaedia GD3 (Vol 1)
Longhorn Competence-Based Smart Score Encyclopaedia Grades 1-3Â series is designed to give learners opportunities to do more practice on the competences envisaged in the new Competence-Based Curriculum for Kenyan Primary Schools.
The coverage of work for each subject in a volume is structured into three terms. Each term’s work includes:- An opening Assessment to assess the learner’s entry behavior at the start of a term.
- Well thought-out Activities, Summary Notes, Examples, Practice/Revision Exercises.
- Mid Term, End of Term and End of Year Assessments.
- Answers to all Practice/Revision Exercises and Assessments.
-
Spotlight Mathematics Grade 7 (Approved)
by Spotlight
Spotlight Mathematics Learner’s Book Grade 7 has been uniquely designed to help Grade 7 learners in understanding basic Health Education concepts. It comprehensively covers the Mathematics Grade 7 Competency-Based Curriculum Design. It is presented in a clear, simple and precise language that makes learning stimulating and interesting.
-
Storymoja Spark Homescience Teacher’s Grade 7 (Approved)
by Storymoja
Spark Home Science Teacher’s Guide for Grade 7 is written in conformity with the new competence based curriculum. It will assist teachers in effectively delivering the content of Spark Home Science Learner’s Book Grade 7.
Shop By Categories
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books











