• Kurunzi ya Insha Kidato cha 1 na 2 by Spotlight Publishers

    by Spotlight Publishers

    Kurunzi ya Insha: Kidato cha I na 2, kimezingatia tungo zote za ubunifu/kawaida na za kiuamilifu zilizomo kwenye silabasi ya Kiswahili, kidato cha kwanza na pili. Kinawapa wanafunzi mwangaza na ustadi kamili kuhusu uandishi wa tungo hizi kwa kutilia mkazo masharti ya karatasi ya insha katika mtihani wa KCSE. Chapisho hili ni kito kwa mwanafunzi anayetafuta alama ‘A’ katika mtihani. Mwalimu amepewa dira ya kufundishia na kutathminia uwezo wa wanafunzi wake katika uandishi wa insha.
    Yaliyomo kitabuni:
    • Kitabu hiki kina sura tatu kuu zinazoangazia tungo zote zinazofaa kushughulikiwa katika kidato cha kwanza na pili.
    • Sura ya kwanza inaangazia mambo ya jumla ambayo ni lazima mwanafunzi ayazingatie anapoandika insha yoyote. Mambo haya pia ndiyo huzingatiwa na mwalimu anapofundisha darasani. Vilevile, mambo haya ndiyo dira ya kusahihisha insha katika mtihani wa KCSE. Dhamira ya sura hii ni kumsaidia mwanafunzi kutambua makosa ambayo aghalabu humbomoa na kumpunguzia alama.
    • Sura ya pili inashughulikia insha za kubuni/kawaida. Hizi ni insha zinazotathmini
    ubunifu wa mwanafunzi.
    • Sura ya tatu inaangazia insha za kiuamilifu. Tungo hizi huandikwa kwa kufuata sheria, maumbo au taratibu zilizowekwa. • Muundo na sifa za kila insha zimeelezwa kwa kina.
    • Makosa ya kawaida yanayofanywa na watahiniwa wanapoandika insha yametajwa ili kuwatahadharisha waepukane nayo.
    • Upekee wa kitabu hiki ni kuwepo kwa mifano miwili miwili ya insha zilizoandikwa na waandishi wa kitabu hiki. Pia, mifano mitatu mitatu ya insha zilizoandikwa na wanafunzi wa kidato cha l na 2, katika mazingira ya mtihani, kutoka shule mbalimbali nchini imeambatishwa. Insha hizi zimesahihishwa na watahini wa kiwango cha kitaifa kulingana na utaratibu unaozingatiwa katika kusahihisha mitihani ya KCSE. Maoni kuhusu jinsi ya kuziimarisha yametolewa.
    • Zoezi limetolewa baada ya kila utungo ili mwalimu na mwanafunzi waweze kulitumia kufanyia mazoezi darasani. Vielelezo vya mtihani wa insha wa KCSE vimetolewa ili mwanafunzi apate taswira kamili ya jinsi mtihani wa insha unavyoandaliwa na pia ajiandae kuukabili.

  • KCSE Made Familiar: Mathematics Workbook 1995-2021 (New Edition)

    by Caroline Njenga


    KC.S.E Made Familiar workbooks are a series of revision books meant to make K.C.S.E. familiar to leaners.
    The benefits of these workbook to learners are immense and always result in improved grades. Some of the benefits include:
    * provision of past K.C.S.E. questions in their original form, arranged in topics,
    and in the respective forms in which the topics are taught.
    * provision of answers, which help learners to work independently.
    * exposure of learners to exam-type questions in various topics, thus helping
    learners to :
    ✓ internalize concepts by practicing questions from topics already taught in class.
    ✓ relate what they are taught in class with K.C.S.E. thereby making K.C.S.E. questions familiar.
    ✓ identify their weak areas and aim to continually improve in these areas.
    ✓ build confidence through answering/working out questions in any given topic.
    * Helping teachers make revision easy and interesting to learners.

    ISBN: 9789966055071

  • Longhorn Mathematics Grade 7 (Approved)

    by Longhorn

    Longhorn Mathematics Learner’s Book — Grade 7 is a new, concise and comprehensive course book written for Grade 7 learners. It is developed in line with the Kenya Competency-Based Curriculum (CBC). The aim is to give learners opportunities to develop a wide range of skills and competencies envisaged in the curriculum.

  • Distinction Mathematics Grade 7

    by Distinction

    Distinction Mathematics Grade 7 Learner’s Book is a course book written in line with the Competence Based Curriculum. The concepts in the book are presented in logical sequence to equip the learner with the necessary knowledge, skills values and attitudes. It provides a link between the previously learnt concepts and also prepares the learner for subsequent levels of learning

  • Distinction English Grade 7

    by Distinction

    Distinction English Grade 7 Learner’s Book is a course book written in line with the Competence Based Curriculum. The concepts in the book are presented in logical sequence to equip the learner with the necessary knowledge, skills values and attitudes. It provides a link between the previously learnt concepts and also prepares the learner for subsequent levels of learning.

  • JKF Foundation Physical Education & Sports Grade 7

    by JKF

    This book has been developed in conformity with the competency-based curriculum (CBC), for learners in Grade 7. It offers a wide variety of selected learning experiences that cover the various components of Physical Education and Sports. It has been developed to equip the learners with the necessary knowledge and skills that they can apply in their day-to-day lives.

    A comprehensive Teacher’s Guide accompanies this book.

  • Mentor Business Studies Grade 8 (Approved)

    Business Studies Learner’s Book Grade 8 has been designed to meet the requirements of the Competency Based Curriculum and Grade Eight Business Studies Curriculum Design. This is to adequately help the learner to achieve the specific learning outcomes for Business Studies Grade 8.

    The book has a variety of activities that will help the learner acquire knowledge, develop skills and Core Competencies, nurture Values, address Pertinent and Contemporary Issues and form positive attitude for everyday life. The language used is simple, clear and precise making learning interesting and fun. The book is authored by experienced teachers with a wide range of experience in teaching Business Studies.

  • OUP Head Start English Teachers Grade 8 (Approved)

    Head Start English is a series specially written to provide practical experiences that support the acquisition of language skills for the Competency Based Curriculum. Books in this series provide a range of activities that learners will find exciting and motivating. The activities are aimed at enabling the learner to acquire the core competencies and values as well as embrace the Pertinent and Contemporary Issues (PCIs).

    This Teacher’s Guide supports the teacher by offering the following:

    -an introduction to the Competency Based Curriculum,

    -comprehensive teaching guidelines for each activity,

    -sample professional documents,

    -helpful hints on class management, group work and differentiated learning,

    -helpful hints on how to handle learners with special needs during the lessons,

    -detailed guidance on Competency Based Assessment.

  • Kurunzi ya Insha Kidato cha 1 na 2 by Spotlight Publishers

    by Spotlight Publishers

    Kurunzi ya Insha: Kidato cha I na 2, kimezingatia tungo zote za ubunifu/kawaida na za kiuamilifu zilizomo kwenye silabasi ya Kiswahili, kidato cha kwanza na pili. Kinawapa wanafunzi mwangaza na ustadi kamili kuhusu uandishi wa tungo hizi kwa kutilia mkazo masharti ya karatasi ya insha katika mtihani wa KCSE. Chapisho hili ni kito kwa mwanafunzi anayetafuta alama ‘A’ katika mtihani. Mwalimu amepewa dira ya kufundishia na kutathminia uwezo wa wanafunzi wake katika uandishi wa insha.
    Yaliyomo kitabuni:
    • Kitabu hiki kina sura tatu kuu zinazoangazia tungo zote zinazofaa kushughulikiwa katika kidato cha kwanza na pili.
    • Sura ya kwanza inaangazia mambo ya jumla ambayo ni lazima mwanafunzi ayazingatie anapoandika insha yoyote. Mambo haya pia ndiyo huzingatiwa na mwalimu anapofundisha darasani. Vilevile, mambo haya ndiyo dira ya kusahihisha insha katika mtihani wa KCSE. Dhamira ya sura hii ni kumsaidia mwanafunzi kutambua makosa ambayo aghalabu humbomoa na kumpunguzia alama.
    • Sura ya pili inashughulikia insha za kubuni/kawaida. Hizi ni insha zinazotathmini
    ubunifu wa mwanafunzi.
    • Sura ya tatu inaangazia insha za kiuamilifu. Tungo hizi huandikwa kwa kufuata sheria, maumbo au taratibu zilizowekwa. • Muundo na sifa za kila insha zimeelezwa kwa kina.
    • Makosa ya kawaida yanayofanywa na watahiniwa wanapoandika insha yametajwa ili kuwatahadharisha waepukane nayo.
    • Upekee wa kitabu hiki ni kuwepo kwa mifano miwili miwili ya insha zilizoandikwa na waandishi wa kitabu hiki. Pia, mifano mitatu mitatu ya insha zilizoandikwa na wanafunzi wa kidato cha l na 2, katika mazingira ya mtihani, kutoka shule mbalimbali nchini imeambatishwa. Insha hizi zimesahihishwa na watahini wa kiwango cha kitaifa kulingana na utaratibu unaozingatiwa katika kusahihisha mitihani ya KCSE. Maoni kuhusu jinsi ya kuziimarisha yametolewa.
    • Zoezi limetolewa baada ya kila utungo ili mwalimu na mwanafunzi waweze kulitumia kufanyia mazoezi darasani. Vielelezo vya mtihani wa insha wa KCSE vimetolewa ili mwanafunzi apate taswira kamili ya jinsi mtihani wa insha unavyoandaliwa na pia ajiandae kuukabili

Main Menu