- 
	Spotlight Kurunzi ya Kiswahili GD2 by Mateiby Matei 
 Kurunzi ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi yo Pili kimeandaliwa kwa ustadi ili kumwezesha. mwanafunzi kumudu mtaala mpya 2017 unaolenga umilisi kwa njia sahili, yenye mvuto na ya kumjumuisha moja kwa moja kwenye shughuli za ufunzaji.
 Sifa za kitabu hiki:- Kimeshughulikia mada kwa namna ambayo inamwezesha mwanafunzi kushiriki kikamilifu katika ujifunzaji.
- Mada na shughuli za darasani zimeteuliwa kwa uangalifu kumjengea mwanafunzi umilisi wa aina mbalimbali.
- Kuna mazoezi na mijarabu anuwai (mazoezi, shughuli kwa mwanafunzi, miradi, mijarabu ya mwisho wa mada) kumwezesha mwalimu kupima umilisi wa mwanafunzi wa stadi mbalimbali za lugha.
- Picha halisi na michoro ya kuvutia zinazosaidia katika uelewa wa mada.
- Kinalenga kumsaidia mwanafunzi kutumia wifaa vya tekrrolojia kama vile video, redio, tabuleti katika kurahisisha ujifunzaji.
- Mbinu tofauti za ufunzaji zimejumuishwa kama vile miradi shambani, shughuli nje ya darasani katika jamii (shambani, dukani, sokoni, usafi), kumwalika mgeni (wa usalama, usafi, mtaalamu), kutumia nyimbo, mashairi, kumhusisha mzazi au mlezi, uchoraji na ujifunzaji katika vikundi. Mbinu hizi zinasaidia kujenga umilisi wa mwanafunzi.
- Masuala mtambuko na kuhusisha maadili kujenga mada tofauti imeshughulikiwa.
- Kitabu cha mwalimu kipo ili kumpa mapendekezo katika ufunzaji.
 
- 
	Foundation Biology Form 2 students’ guide by JKFby JKF 
 This is the second book in the Series of Foundation Biology. It has been specifically developed for the new secondary school curriculum. The book gives the students an opportunity to explore Biology by involving them in activities as much as possible.
- 
	Mentor Science & Technology Learner’s BookMentor Science and Technology learner’s book is fully in line with the new Competency-Based Curriculum. The book is easy to use and contains a variety of learning activities. It makes learning fun for the learner. 
 This book has been authored by teachers with wide experience in Middle School Education in leading schools across Kenya.
- 
	Explore Geography Form 2The Explore Geography Form 2 Student’s Book is part of the exciting new Explore series, developed by Longman Kenya specifically for the Revised Curriculum. 
- 
	Crescent Islamic Religious Education for secondary schools Students’ Book 2by Mishi Abdulrahman Juma, Abdi Yunis Mohamed, Hassan Salim Makombo, Idris Makokha Matsukhu, Jumaa Yusuf Kumala 
 Crescent Islamic Religious Education for Secondary Schools, Students’ Book 2 is the first book in KLB’s Islamic Religious Education series. The book offers a gradual guidance to the learners in syllabus coverage. The book covers the revised Islamic Religious Education syllabus comprehensively for ease of learning and understanding of the subject The main features of the text book include:
 Topics are comprehensively covered and written in an interactive way with the readers in mind.
 There are Quranic quotations and explanations that make learning of the subject easy.
 There are clear and appropriate examples drawn from the learners’ environment
 To reinforce textual consent, numerous illustrations and maps are used which help a great deal in making topics under consideration easy to understand.
 There are Suggested study Questions and Activities after each topic. which give the book the strength of independent for self-evaluation by the learners.
 Alongside each Students Book is the Teachers’ Guide, which has valuable learning and teaching activities for successful teaching of Islamic Religious Education.
 The Teachers Guide provides answers to the Suggested study Questions and Activities.
- 
	Atfaal IRE Learner’s book GD4As the main shift in education now is moving from content-based to competency-based, this Atfaal IRE Learner’s Book 
 Grade 4 is carefully crafted to attain this outcome. A competency-based curriculum is mainly achieved through learner-centred approaches.
 Therefore, all the activities in this book are learner-oriented where the learner takes the lead. Moreover,
 stimulating and fun activities are also in plenty to arouse interest and curiosity in the learners.
 The activities are also short and varied to sustain the limited attention span of our young learners.
 Available also in the series are: Atfaal IRE Activity Pupil’s Book Grade One Atfaal IRE Activity Pupil’s Book Grade
 Two Atfaal IRE Activity Pupil’s Book Grade Three
 Each pupil’s book is accompanied by a teacher’s guide that is a must have for the teacher.
- 
	Moran Roots Social Studies Learner’s Book Grade 5 (Approved)by J. Mugendi and E. Ngeti Key features in this book include: 
 • Full coverage of the required curriculum design strands and sub-strands.
 • Comprehensive coverage of the required core competencies, core values, pertinent and contemporary issues (PCIs), concepts, and skills.
 • Full colour, clear and appropriate illustrations.
 • Engaging and relevant activities that promote creativity and inquiry-based learning.
 • Clear instructions on parental engagement and community service learning.
- 
	Spotlight Social Studies Workbook Grade 5by SPOTLIGHT Spotlight Workbook Social Studies Grade 5 has been uniquely designed to assist Grade 5 learners in understanding the Competency-based Curriculum in an easy and simplified way. 
- 
	Kurunzi ya Kiswahili Grade 5 Mwanafunzi (Approved)by A.Matei, F.Atulo, F.Wangome Kurunzi ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 5 kimeandaliwa kwa ustadi ili kumwezesha mwanafunzi kumudu mtalaa huu unaolenga umilisi kwa njia sahili, yenye mvuto na ya kumjumuisha moja kwa moja kwenye shughuli za ufunzaji. 
 Kitabu hiki
 • Kimeshughulikia mada kwa njia inayomwezesha mwanafunzi kushiriki kikamilifu katika ujifunzaji.
 • Mada na shughuli za darasani zimeteuliwa kwa uangalifu kumjengea mwanafunzi umilisi wa aina mbalimbali. Mada hizi zinalenga kuimarisha umilisi wa kusikiliza kwa makini, kuzungumza kwa ujasiri, kusoma kwa ufasaha na kuandika vyema.
 • Kuna mazoezi na mijarabu kama vile shughuli kwa mwanafunzi, shughuli ya vikundi, kazimradi, shughuli ya nyumbani na michezo ili kumwezesha mwalimu kupima umilisi wa mwanafunzi kwenye stadi mbalimbali za lugha.
 • Picha halisi na michoro ya kuvutia inamsaidia mwanafunzi katika uelewa wa mada.
 • Kinalenga kumsaidia mwanafunzi kutumia vifaa vya teknolojia kama vile video, redio, tabuleti katika kurahisisha ujifunzaji.
 • Mbinu tofauti za ufunzaji zimejumuishwa kama vile miradi ya uwekezaji, shughuli nje ya darasa, kutumia nyimbo, mashairi, kumhusisha mzazi au mlezi na ujifunzaji katika vikundi. Mbinu hizi zinasaidia kujenga umilisi wa mwanafunzi.
 • Masuala mtambuko na kuhusisha maadili kujenga mada tofauti imeshughulikiwa.
 Shop By Categories
            - International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
 
			        










