• Kamusi ya Karne ya 21

    by EMAC BAKITA
    Kamusi inayoakisi Maendeleo na Masuala Ibuka ya lugha ya Kiswahili
    Vidahizo vipatavyo 42,000.

  • Kamusi ya picha by K w wamitila

    Kamusi ya Picha ni kitabu muhimu kwa wanafunzi wanaojifunza lugha ya Kiswahili kwa sababu ya upekee wake. Kamusi hii imejumuisha picha safi na vielelezo vingi na vya kupendeza. Picha halisi zimetumiwa katika baadhi ya sehemu ili msomaji aweze kusawiri vizuri picha ya kitu halisi. Aidha imepangiliwa kwa namna ambayo itawafaa wanafunzi wachanga. Kamusi hii, bila shaka, ni nyenzo muhimu kwa wanafunzi wa shule za msingi na za sekondari pia.

  • Kamusi ya Semi-Toleo Jipya by Ndalu,Kingei

    by Ndalu, Kingei
    Toleo Jipya Ia Kamusi ya Semi ndicho kitabu cha pekee kilichokusanya zaidi ya semi elfu nne. Kitabu hiki kinajumuisha semi, maana yake, pamoja na mifano faafu. Ufafanuzi wa msamiati umetiliwa maanani huku maana kadhaa za semi zikitolewa. Aidha, semi zilizomo humu kitabuni zimepangwa kialfabeti ili kurahisisha urejeleaji. Toleo hili Jipya Ia Kamusi ya Semi ni kitabu kinachowafaa wanafunzi na walimu wa kila daraja: shule za msingi, za upili na hata vyuo vikuu. Hii ni dafina kuu kwa wapenzi wote wa lugha na fasihi ya Kiswahili. Kitula King’ei ni mwalimu, mwandishi, mtafiti na msomi wa lugha na fasihi ya Kiswahili aliye na tajriba kubwa sana. Kwa sasa, ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Kenyatta. Ahmed Ndalu amefundisha Kiswahili katika shule za upili na vyuoni, na vile vile kuandika vitabu kadhaa. Hivi sasa, amestaafu kazi ya ufundishaji na anajishughulisha na utafiti na uandishi wa vitabu vinavyoshughulikia nyanja tofauti tofauti za Kiswahili.

  • Kamusi ya Visawe by EAEP

    Kamusi ya Visawe

    Swahili Dictionary of Synonyms

    Kamusi ya Visawe ni kamusi ya kwanza kushughulikiwa na kuchapishwa katika Kiswahili kwa madhumuni ya kutoa tafsiri ya neno fulani kwa kupata neno ama maneno mengine yenye maana halisi au yenye maana halisi au yenye maana ya karibu na neno linalotafsiriwa.

    Kamusi hii imekusanya vidahizo visivyopungua 14,000 vingine vikiwa na visawe vine na zaidi. Kamusi hii pia imejaribu kuonyesha hall tofauti tofauti za vidahizo kama vile vitenzi au jina. Kwa hivyo, ni wazi kuwa lugha ya Kiswahili imejaa utajiri mwingi wa msamiati na mtumiaji yeyote wa lugha hii, anayetumia Kamusi ya visawe, hana haja ya kutapatapa kujieleza kwani atakuwa amesheheni maneno tele yenye maana moja.

    Kamusi hii ni akiba kubwa yenye manufaa mengi hasa kwa wanafunzi wa shule za msingi, shule za upili, Vyuo Vikuu na pia kwa walimu na wanafunzi wa lugha ya Kiswahili popote pengine.

    Mohammed Abdulla Mohamed alizaliwa Zanzibar na kusomea huko huko. Alijiunga na Chuo Kikuu cha Dar es Salamu na kupata shahada ya BA Hons na MA katika Elimu. Baadaye alijiunga na Chuo kikuu cha Columbia ambapo alipata shahada ya Ph.d katika isimu ya kufundisha. Alipata shahada ya MSc (Hons) katika Chuo Kikuu cha New York baadaye. Pia amewahi kuwa mhadhiri katika vyuo mbalimbali nchini Tanzania na Kenya.

    Said A. Mohamed alizaliwa Ugunja mwaka wa 1947. Alisomea huko huko na kujiunga na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Kisha Chuo Kikuu cha Leipzig, Ujerumani. Amefundisha katika shule za upili na Vyuo mbalimbali.

    Usanifu wa jalada: Adrian Kheri Yongo

    East African Educational Publishers Ltd

    Nairobi. Kampala .Dar es Salaam • Kigali

    Kamusl ya Vlsawe

  • Kamusi ya Watoto umri 6-9 by Islam K Islam

    Msingi bora wa maneno kwa watoto wadogo. Kamusi ya kuaminika ya kuanzia kujifunza lugha ya Kiswahili.Maneno muhimu 1700 na zaidi ya Kiswahili. Maelezo wazi ya maneno Mifano ya namna maneno yanavyotumiwa katika sentensi.
    Zaidi ya picha 700 za rangi kumsaidia mtoto kuelewa maana za maneno Sehemu maalumu ya mchezo wa lugha na mazoezi

  • Karamu ya Nyani na Kobe 3B

    by STORYMOJA

    Urafiki wa Nyani na Kobe ni wa kupigiwa mfano pale msituni. Marafiki hawa wawili wana ushirikiano mkubwa hadi pale Nyani anapomwandalia mwenzake karamu. Je, ni matukio gani yanayofanyika karamuni? Kobe atamwandalia karamu rafikiye Nyani pia au atauvunja urafiki wao

  • Kartasi Square Exercise Book A4 200PG

    NOTE: THIS IS THE PRICE PER SINGLE COPY, INSERT THE CORRECT QUANTITY BELOW.

    ALSO NOTE THAT WHAT WE DELIVER MAY NOT NECESSARILY BE KARTASI BUT WHICHEVER WILL BE READILY AVAILABLE & OF GOOD QUALITY

    Superior Quality, Exercise Books with different multicoloured designs, which reflects happy and friendly imagery thus taking part in the positive upbringing of our children on a stiff cover, suitable for use with a fountain pen.

    • Pages:200
    • Brand:Kartasi
    • Size:A4
    • Single Line
    • Manila Cover
  • KCPE Distinction Simplified Maths Std 8

    K.C.P.E. DISTINCTION SIMPLIFIED MATHEMATICS for standard 8 is a topical revision book specifically for learners who are about to sit for K.C.P.E. Specifically this book enables
    The main features in this book include:
    The 4 optional choices given are challenging in similar format as set in K.C.P.E. This DISTINCTION-SIMPLIFIED book therefore reinforces the basic mathematical concepts and skills learned that are pertinent to enabling the candidate be more ready for any challenging topics in K.C.P.E. It is my sincere hope that the learner will get this revision book helpful that will enable the pupil to add value to his/ her work.

  • KCPE Golden Tips Composition by Bwire

    by Bwire
    Skills in Composition Writing is a book that will help the learner develop interest and acquire skills and competence in creative writing.
    It is a book that exposes the learner to various ways of building up imaginary happenings from given topics, started storylines and endings of stories. The book also develops learners’ abilities in functional writing skills to enhance lifelong teaming and application of knowledge. The book addresses various problems encountered by both teachers and pupils/students in composition writing and offers solutions to these problems.
    The sample compositions have been carefully created by the author, making use of idioms, proverbs, similes, phrasal verbs and expressions where and when necessary. These richly flavoured compositions will capture and sustain the readers’ attention.
    The author, therefore, hopes that the learners will benefit greatly from this book and in future become better creative writers.
    Get the other titles in the Premier Golden Tips series: Kiswahili – Mathematics – Social Studies Science – Christian Religious Education – English – Stadi Uandishi wa Insha

Main Menu