-
OUP Kiswahili Dadisi Grade 5 Mwalimu (Approved)
by J. Ndege, E. Osoro and Z. Mucheria
Kiswahili Dadisi Mwongozo wa Mwalimu, Gredi ya 5
Kiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa njia ya kipekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata umilisi wa lugha kupitia stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika, na vilevile sarufi kama ilivyopendekezwa katika mtalaa.
Vitabu katika msururu huu vina mazoezi murua ambayo yatamchangamsha mwanafunzi na kumpa hamu ya kujifunza lugha. Mazoezi haya yanakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka.
Huu Mwongozo wa Mwalimu, Gredi ya 5, una mifano halisi na ya kutosha kumwezesha mwalimu kuwasaidia wanafunzi kukuza umilisi unaokusudiwa. Katika mwongozo huu, utapata:
• utangulizi wa kina kuhusu mtalaa wa umilisi
• muhtasari wa umilisi, maadili, masuala ibuka na shughuli nyinginezo zilizoratibiwa ufundishaji katika kila sura
• matokeo maalumu, maandalizi ya somo na shughuli za ufunzaji wa kila somo mapendekezo ya majibu ya takribani maswali yote katika kitabu cha Mwanafunzi
• mapendekezo ya shughuli za kutekelezwa na wanafunzi ili waendelee kujifunza wakiwa nje ya darasa
• maswali ya ziada ili kukuwezesha kutathmini zaidi uelewa wa wanafunzi wako
• maelekezo ya kina kuhusu jinsi ya kutathmini wanafunzi.Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi pamoja na Mwongozo wa Mwalimu vina shughuli, mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwanafunzi na mwalimu wanahitaji ili kufaulu katika mtalaa huu wa umilisi.
-
OUP Everyday Science and Technology Grade 5 Trs (Approved)
by J. Odhiambo, L, Chimba, J.Mwende, P. Mumo and W. Nyapera
Everyday Science and Technology Teacher’s Guide, Grade 5
Everyday Science and Technology is a series for the competency Based Curriculum (CBC). Books in this series are written to provide practical experiences that provide learners with knowledge and skills that will enable them to develop a positive attitude towards Science and Technology and also appreciate its importance in their every day life. The books provide a range of activities that learners will find exciting and motivating. These activities are aimed at enabling learners to acquire the core competencies as well as embrace the pertinent and contemporary issues (PCIS).
This Teacher’s Guide, Grade 5 supports the teacher by offering the following:
• A detailed introduction to the competency-based curriculum.
• A comprehensive teaching guideline for each lesson.
• A sample lesson presentation to assist the teacher to plan the lessons.
• Helpful hints on class management, group work, and differentiated learning.
• Helpful hints on how to handle learners with special needs during the lessons.
• Detailed guidance on both formative and summative assessment.Together, the Learner’s Book and the Teacher’s Guide provide learners and teachers with all they need to succeed in the new Competency-Based Curriculum.
-
Spotlight Social Studies Workbook Grade 5
by SPOTLIGHT
Spotlight Workbook Social Studies Grade 5 has been uniquely designed to assist Grade 5 learners in understanding the Competency-based Curriculum in an easy and simplified way.
-
EAEP Akili Pevu Kiswahili Mwongozo Grade 5
by M.Banda and S. Otieno
Kiswahili Angaza, Mwongozo wa Mwalimu, Gredi ya 5 ni kitabu kilichosukwa na kuwambwa kwa makini na kwa kina kirefu. Kimetimiza kwa ukomo wa ukamilifu mahitaji ya Mtalaa wa Kiumilisi. Mwongozo huu unafafanua yaliyomo katika Kiswahili Angaza, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 5. Mwongozo huu unatoa mwelekeo ufaao kwa mwalimu na kumwongoza hatua kwa hatua katika ufundishaji. Mwongozo huu unajumuisha:
• Utangulizi unaofafanua kwa kina vipengele muhimu vya mtalaa wa umilisi.
• Kielelezo cha maazimio ya kazi pamoja na andalio la somo kwa kutumia mtindo uliopendekezwa na KICD.
• Mapendekezo ya jinsi ya kushughulikia wanafunzi wenye mahitaji ya kipekeedarasani.
• Utangulizi kwa kila mada. Kabla ya vipindi vyenyewe, mwalimu anaonyeshwa matokeo tarajiwa maalum ya kila mada; umilisi wa kimsingi unaokuzwa; uhusiano wa mada na masuala mtambuko, maadili na masomo mengine; mapendekezo ya shughuli za huduma za kijamii zinazochangia ujifunzaji; nyenzo za kufundishia na mbinu za kutathmini wanafunzi.
• Mwongozo wa kutekeleza kila shughuli iliyo kwenye kitabu cha Mwanafunzi hatua kwa hatua.
• Majibu kamili ya mazoezi pamoja na maelekezo kwa mwalimu kuhusiana na shughuli teule
• Viwango vya mwalimu kuzingatia anapowatathmini wanafunzi wake. Mwongozo huu umeandikwa kwa utaalamu na waandish wenye uzoefu mwingi -
Phoenix Hatua za Kiswahili Rasmi Grade 5
Hatua za Kiswahili Rasmi, Kitabu cha mwanafunzi ni mfululizo wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa ufundi kwa kufuata mtalaa mpya unaosisitiza umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kukuza weledi wake katika stadi za kusikiliza na kuzungumza, sarufi na matumizi ya lugha, kusoma na kuandika.
-
Spotlight CRE Learner’s Book Grade 5
Spotlight CRE Learner’s Book Grade 5
Spotlight Christian Religious Education Learner’s Book Grade 5 has been uniquely designed to equip the learner with skills, values and competencies that will enable him or her to grow spiritually and morally. The book will greatly prepare the learner to grow as a responsible citizen who is at peace with God, self, others and the environment.
Key features of the book:
-Covers all the strands, sub-strands and learning outcomes of the Christian Religious Education Grade 5 Competency-Based Curriculum.
-Relevant learning experiences are provided in form of activities within the level of the learners.
-Has enough digital activities where links have been provided for learners to watch videos. The videos provide more information, engage learners, bring about easier understanding of concepts and make learning of Christian Religious Education interesting.
– Attractive full-colour illustrations are used to clarify Christian Religious Education concepts.
-Develops concepts by using learner’s environment and real-life experiences to foster skills, attitudes and values in learners.
-Test Yourself exercises are provided for each sub-strand for formative assessment.
-Learner-centred approaches, discovery-based and inquiry-based activities have been applied to develop concepts, core competencies, values and Pertinent and Contemporary Issues (PCls).
-
EAEP Super Minds Social Studies Workbook Grade 5
by J. Rukwaro, J. Muriithi and S. Mwaro
Super Minds Social Studies Grade 5 Workbook is a comprehensive supplementary book based on the new Competency-Based Curriculum. This Workbook has been creatively written to give the learners adequate practice that will reinforce the competencies they have acquired from their interaction with the course book. The authors of this book have used a simple and easy approach to present content. The learner will certainly enjoy using it.
Super Minds Social Studies Grade 5 Workbook:
• uses simple language that is to the level of the learner
• has a variety of competency-based, learner-centered activities that will help the learner to develop a wide range of skills
• has relevant, well-drawn, and full colour illustrations that will stimulate the learner’s desire to learn has a systematic arrangement of tasks to cater for learners who have different learning abilities
• has assessment criteria that will help the teachers, parents, or guardians to assess the learner’s acquisition of the competencies learned at school and at home
•  has indoor and outdoor activities that learners do individually to assess their understanding of the concepts learned.
The authors are teachers with long-standing experience in teaching Social Studies. This workbook should be used alongside the Super Minds Social Studies Learner’s Book Grade 5. -
Moran CBC Breakthrough Agriculture Workbook Grade 5
by MORAN
CBC Breakthrough Workbook Grade 5 Agriculture is a one-stop source of extended learning activities based on the Competency Based Curriculum. The workbook is a curriculum companion aimed at supporting the learner to develop skills and concepts in Agriculture. The specific learning outcomes integrate the required competencies, PCls and values in the learner’s activities. The workbook is packed with benefits to the learner, teacher and parent or guardian.
-
EAEP Super Minds Science And Technology Workbook Grade 5
by E. Osugo, R. Aggatha and J. Charana\
Super Minds Science and Technology Grade 5 Workbook has been uniquely written to provide knowledge as well as nurture talent in the learners. The Workbook comprehensively covers the content in the competency-based curriculum for Grade 5. Each book in this series has been well-researched and creatively written to enable learners to acquire the required competencies, skills, values, pertinent and contemporary issues as well as attitudes.
This Science and Technology Workbook:
• Has a reflection section that is an introduction and a summary sub-strand section that shows what the learners have learnt in the sub-strand.
• Uses a simple approach to language and presentation that is easy to follow.
• Has a variety of competency-based, learner-centered activities that help the learners develop a wide range of skills.
• Has relevant, well-drawn, full colour illustrations that complement the activities in the book.
• Has activities that allow the learners to apply the competencies that they have learnt in their daily lives.
• Has an assessment criterion that helps the teachers, parents, and guardians be able to assess the learner’s acquisition of the competencies learned at school and at home. -
Jasusi na Hadithi Nyingine 5B (Storymoja)
by STORYMOJA
Je, unakumbuka siku yako ya kwanza_ kuendesha baiskeli? Unawezaje kupata shilingi milioni moja? Unahitaji ujuzi gani kumfunza asiyejua kusoma wala kuandika? Unaamini kuwa kila king’aacho si dhahabu? Ni nini madhara ya uvutaji sigara? Je, unaweza kufanya nini endapo rafiki yako mmoja ametoweka ghafla? Je, wewe umechangia nini shuleni mwenu?
Soma hadithi hizi ili kumfuatilia Zawadi na ndugu zake wanaposhiriki kwenye visa vya kusisimua na kujifunza mambo muhimu kuhusu utiifu, ujasiri na kujiamini.
-
KLB Visionary IRE Learner’s Grade 5 (Approved)
by IBRAHIM
KLB Visionary Islamic Religious Education Grade 5 Learner’s Book is aimed at equipping the learner with knowledge, skills, competences, and desired attitudes that enhance morals, values, and spiritual development.
• It is developed in line with the requirements of Grade Five Competency-Based Curriculum design.
• The learning experiences are aligned with the thematic integrated approach thus presenting concepts in the most appropriate way for learners at this level.
• This book is majorly illustrated to enliven the content with the text following the design closely.
• It has employed a learner-centered approach where all experiences are centered on the learner’s interests, knowledge, and application to real-life situations in line with the Life Approach Method of teaching Religion.
• Every lesson draws experiences from learner’s day-to-day activities at home, school, or madrassa/dugsi.
• The book has numerous practical activities that enable the learner to acquire the required competences and skills without undue difficulty.
• Simple exercises like singing anashids, group discussions, reciting, and memorising verses of the Qur’an are integrated within the lessons to enhance active participation and enjoyment by the learner.
Shop By Categories
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books













