Nyota ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi Grade 1

In stock

by Bwanaheri, A Salim, Dorothy K.Nganje

Kitabu hiki kimedhamiriwa kutumika kama mfululizo wa vitabu vya ziada kwa Gredi ya Kwanza. Kimeandikwa kuambatana na mtalaa mpya. Kitabu hiki kimelenga kumwongoza mwanafunzi katika masomo yake ya lugha ya Kiswahili kwa kutimiza rnaarubu ya mtalaa wa kiwango husika. Ndani yake mna mbinu bora za ujifunzaji ambazo zitawaelekeza wanafunzi kuhusu njia bora za kutimiza malengo yao.

Kimezingatia stadi zote za kujifunza lugha, yaani:

(i) Kusikiliza

(ii) Kuzungurnza

(iii) Kusoma

(iv) Kuandika

(v) Msamiati

(vi) Sarufi

Compare
Be the first to review “Nyota ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi Grade 1”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Reviews

There are no reviews yet.

WhatsApp us for any enquiry...

See It Styled On Instagram

    No access token

Main Menu

Nyota ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi Grade 1

Nyota ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi Grade 1

Select at least 2 products
to compare