Kiswahili Kidato Cha 2 Mwalimu by Vonyoli
by Vonyoli
Hili ni toleo la tano la Kiswahili kwa Kidato cha Pili, Mwongozo wa Walimu. Kitabu hiki ni cha pill katika mfululizo wa vitabu vinne vya Kiswahili kwa shule za upili. Maelezo mwafaka kwa mwalimu, mifano zaidi na majibu ya mazoezi ya kila sura ya kitabu cha wanafunzi yametolewa. Ni kitabu ambacho walimu watafurahia kukitumia.
WhatsApp us for any enquiry...
Reviews
There are no reviews yet.