Kiswahili Fasaha Kidato cha 2 by Waititu

In stock

by Waititu
Kiswahili Fasaha ni kitabu kinachoakisi mtazamo teule wa kujifunza lugha ya Kiswahili kulingana na mahitaji ya wanafunzi wa shule za sekondari na kuwiana na silabasi mpya. Kitabu hiki kinajenga na kuimarisha msingi thabiti wa stadi zote za lugha ya Kiswahiti, matumizi ya lugha, fasihi, ufasaha wa lugha na utunzi ili kumtayarisha mwanafunzi kimapana na kikamilifu awe mwanafunzi fasaha na mweledi. Kiswahili Fasaha, Kidato cha Pili, ni cha pili katika mfululizo wa vitabu vinne. Kitabu hiki kinaambatana na Mwongozo wa Mwalimu.

Compare
Category:
Be the first to review “Kiswahili Fasaha Kidato cha 2 by Waititu”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Reviews

There are no reviews yet.

WhatsApp us for any enquiry...

See It Styled On Instagram

    No access token

Main Menu

Kiswahili Fasaha Kidato 2 Mwalimu by “Waititu, Ipara, Okaalo”

Kiswahili Fasaha Kidato cha 2 by Waititu

Select at least 2 products
to compare