-
Certificate Geography Form 2
Certificate Geography comprehensively covers the new Geography Syllabus for Secondary Education. It is a thrilling journey into the world of Geography which students will no doubt love to undertake.It brings the students face to face with a variety of sights across the world through its numerous clear and relevant diagrams and pictures. The authors have greatly simplified complex concepts and have used local examples throughout the series to make learning more effective.
-
Kurunzi ya Insha Kidato cha 1 na 2 by Spotlight Publishers
by Spotlight Publishers
Kurunzi ya Insha: Kidato cha I na 2, kimezingatia tungo zote za ubunifu/kawaida na za kiuamilifu zilizomo kwenye silabasi ya Kiswahili, kidato cha kwanza na pili. Kinawapa wanafunzi mwangaza na ustadi kamili kuhusu uandishi wa tungo hizi kwa kutilia mkazo masharti ya karatasi ya insha katika mtihani wa KCSE. Chapisho hili ni kito kwa mwanafunzi anayetafuta alama ‘A’ katika mtihani. Mwalimu amepewa dira ya kufundishia na kutathminia uwezo wa wanafunzi wake katika uandishi wa insha.
Yaliyomo kitabuni:
• Kitabu hiki kina sura tatu kuu zinazoangazia tungo zote zinazofaa kushughulikiwa katika kidato cha kwanza na pili.
• Sura ya kwanza inaangazia mambo ya jumla ambayo ni lazima mwanafunzi ayazingatie anapoandika insha yoyote. Mambo haya pia ndiyo huzingatiwa na mwalimu anapofundisha darasani. Vilevile, mambo haya ndiyo dira ya kusahihisha insha katika mtihani wa KCSE. Dhamira ya sura hii ni kumsaidia mwanafunzi kutambua makosa ambayo aghalabu humbomoa na kumpunguzia alama.
• Sura ya pili inashughulikia insha za kubuni/kawaida. Hizi ni insha zinazotathmini
ubunifu wa mwanafunzi.
• Sura ya tatu inaangazia insha za kiuamilifu. Tungo hizi huandikwa kwa kufuata sheria, maumbo au taratibu zilizowekwa. • Muundo na sifa za kila insha zimeelezwa kwa kina.
• Makosa ya kawaida yanayofanywa na watahiniwa wanapoandika insha yametajwa ili kuwatahadharisha waepukane nayo.
• Upekee wa kitabu hiki ni kuwepo kwa mifano miwili miwili ya insha zilizoandikwa na waandishi wa kitabu hiki. Pia, mifano mitatu mitatu ya insha zilizoandikwa na wanafunzi wa kidato cha l na 2, katika mazingira ya mtihani, kutoka shule mbalimbali nchini imeambatishwa. Insha hizi zimesahihishwa na watahini wa kiwango cha kitaifa kulingana na utaratibu unaozingatiwa katika kusahihisha mitihani ya KCSE. Maoni kuhusu jinsi ya kuziimarisha yametolewa.
• Zoezi limetolewa baada ya kila utungo ili mwalimu na mwanafunzi waweze kulitumia kufanyia mazoezi darasani. Vielelezo vya mtihani wa insha wa KCSE vimetolewa ili mwanafunzi apate taswira kamili ya jinsi mtihani wa insha unavyoandaliwa na pia ajiandae kuukabili -
Spotlight Quick Revision Biology Form 1 & 2 by Kimunduu
by Kimunduu
Spotlight Quick Revision Biology Form 1 and 2 has been uniquely designed to assist Form I and 2 students to quickly revise Biology taught in Form 1 and 2.1t is also intended to help candidates revising for their KCSE Biology Papers 23 I /I, 231/2 and 23 I /3.The book is very essential for teachers in the preparation of evaluation materials like Continuous Assessment Tests, End-of-Term and End-of-Year Examinations.The book is presented in a simple and precise language. Biological concepts are illustrated with diagrams and activities that make the book an excellent revision companion. Modern day challenges like HIV and AIDS, biotechnology, biodiversity and environmental conservation have been given the emphasis they deserve. -
Secondary Geography Form two Students’Book
Secondary Geography Form Two Student’s Book is the second title in the Secondary Geography series published by KLB
The book examines comprehensively all the requirements of Geography in the first year of secondary school. It incorporates all the latest changes in the new Secondary Geography Form Two syllabus.
In this edition numerous local and international examples have been used to explain and illustrate concepts under consideration for useful comparison. There are also numerous activities and questions for self-evaluation by the students. Alongside this book is the Teacher’s Guide which gives suggestions on various ways of effective teaching of the topics in the Students’ Book. The guide further provides answers to the “ Work To Do ” reinforcing effective evaluation of learners.
These features make the book interesting and an asset to the user. -
Certificate Agriculture Form 2
Certificate Agriculture Book 2 has been developed to comprehensively address the new Secondary School Curriculum (2002). It has therefore fulfilled the aims and objectives of the Agriculture syllabus. One of the key strengths of this book is the way it combines and blends both the theoretical and statistical aspects of agriculture on one hand and practical and experimental aspects on the other.
Through this approach, the learner should be able to find it easy to follow the theory lessons and carry out the practical activities, which draw from the learner’s familiar environment. The book has also been adequately illustrated to add value to what has been presented in text. There are practical activities and revision questions at the end of every chapter. -
Comprehensive Biology Form 2
Comprehensive Secondary Biology adequately covers the revised Biology Syllabus for Secondary Education. It is a thoroughly researched series that equips the students with all the knowledge they require in Biology. It also deals with contemporary issues such as HIV and AIDS, and drug abuse
Shop By Categories
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books