• Stadi za Kiswahili Shughuli za Lugha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 1

    by Mwalimu Kipande

    Stadi za Kiswahlli ni Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 1 ni kitabu cha ziada kilichoandakwa kwa mujibu wa mtaala mpya uegemeao umilisi uliozinduliwa na Taasisi ya Ukuzaji Mitaala ya Kenya (KICD) mnamo Septemba 2017. Kitabu hiki kimejumuisha mada zote kuu na ndogo zilizomo katika ruwaza ya mtalaa ya Kiswahili Gredi ya 1. Isitoshe, mada kuu na ndogo zimepangwa kulingana na jinsi zilivyopongwa katika ruwaza hiyo. Fauka ya haya, yaliyomo yamewasitishwa kwa ubunifu wa hali ya juu kuyaoanisha na umilisi wa kimsingi, masuala mtambuko, maadili miongoni mwa masuala mengine yanayofumbatwa na mtaala mpya uegemeao umilisi. Kitabu hiki kimejumuisha shughuli za aina nyingi za kufanywa na mwanafunzi binafsi, wanafunzi wawili wawili na makundi ya wanafunzi. Kazi na shughuli za wanafunzi wawiliwawili na wanafunzi katika makundi zinadhamiriwa kuimarisha stadi za kusikitiza na kuzungumza na vilevile umilisi wa ushirikiano na mawasiliano. Aidha, kitabu hiki kimesheheni vifungu vya kusoma na vya kuchangamsha vitakavyomsaidia mwanafunzi kuimarisha stadi ya kusoma. Stadi ya kuandika haijaachwa nyuma. Kitabu kinazo shughuli za kutosha za mwanafunzi iii kustawisha stadi ya kuandika.

  • Stadi za Kiswahili Shughuli za Lugha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 2

    by MWALIMU KIPANDE

    Stadi za Kiswahlli ni Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 2 ni kitabu cha ziada kilichoandakwa kwa mujibu wa mtaala mpya uegemeao umilisi uliozinduliwa na Taasisi ya Ukuzaji Mitaala ya Kenya (KICD) mnamo Septemba 2017. Kitabu hiki kimejumuisha mada zote kuu na ndogo zilizomo katika ruwaza ya mtalaa ya Kiswahili Gredi ya 2. Isitoshe, mada kuu na ndogo zimepangwa kulingana na jinsi zilivyopongwa katika ruwaza hiyo. Fauka ya haya, yaliyomo yamewasitishwa kwa ubunifu wa hali ya juu kuyaoanisha na umilisi wa kimsingi, masuala mtambuko, maadili miongoni mwa masuala mengine yanayofumbatwa na mtaala mpya uegemeao umilisi. Kitabu hiki kimejumuisha shughuli za aina nyingi za kufanywa na mwanafunzi binafsi, wanafunzi wawili wawili na makundi ya wanafunzi. Kazi na shughuli za wanafunzi wawiliwawili na wanafunzi katika makundi zinadhamiriwa kuimarisha stadi za kusikitiza na kuzungumza na vilevile umilisi wa ushirikiano na mawasiliano. Aidha, kitabu hiki kimesheheni vifungu vya kusoma na vya kuchangamsha vitakavyomsaidia mwanafunzi kuimarisha stadi ya kusoma. Stadi ya kuandika haijaachwa nyuma. Kitabu kinazo shughuli za kutosha za mwanafunzi iii kustawisha stadi ya kuandika.

  • Stadi za Kiswahili Shughuli za Lugha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 3

    by MWALIMU KIPANDE

    Stadi za Kiswahlli ni Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 3 ni kitabu cha ziada kilichoandakwa kwa mujibu wa mtaala mpya uegemeao umilisi uliozinduliwa na Taasisi ya Ukuzaji Mitaala ya Kenya (KICD) mnamo Septemba 2017. Kitabu hiki kimejumuisha mada zote kuu na ndogo zilizomo katika ruwaza ya mtalaa ya Kiswahili Gredi ya 3. Isitoshe, mada kuu na ndogo zimepangwa kulingana na jinsi zilivyopongwa katika ruwaza hiyo. Fauka ya haya, yaliyomo yamewasitishwa kwa ubunifu wa hali ya juu kuyaoanisha na umilisi wa kimsingi, masuala mtambuko, maadili miongoni mwa masuala mengine yanayofumbatwa na mtaala mpya uegemeao umilisi. Kitabu hiki kimejumuisha shughuli za aina nyingi za kufanywa na mwanafunzi binafsi, wanafunzi wawili wawili na makundi ya wanafunzi. Kazi na shughuli za wanafunzi wawiliwawili na wanafunzi katika makundi zinadhamiriwa kuimarisha stadi za kusikitiza na kuzungumza na vilevile umilisi wa ushirikiano na mawasiliano. Aidha, kitabu hiki kimesheheni vifungu vya kusoma na vya kuchangamsha vitakavyomsaidia mwanafunzi kuimarisha stadi ya kusoma. Stadi ya kuandika haijaachwa nyuma. Kitabu kinazo shughuli za kutosha za mwanafunzi iii kustawisha stadi ya kuandika.

  • Stadi za Kiswahili Shugli za Lugha Kitabu cha mwanafunzi by Mwalimu Kipande

    by Mwalimu Kipande
    Stadi za Kiswahlli ni Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 2 ni kitabu cha ziada kilichoandakwa kwa mujibu wa mtaala mpya uegemeao umilisi uliozinduliwa na Taasisi ya Ukuzaji Mitaala ya Kenya (KICD) mnamo Septemba 2017. Kitabu hiki kimejumuisha mada zote kuu na ndogo zilizomo katika ruwaza ya mtalaa ya Kiswahili Gredi ya 2. Isitoshe, mada kuu na ndogo zimepangwa kulingana na jinsi zilivyopongwa katika ruwaza hiyo. Fauka ya haya, yaliyomo yamewasitishwa kwa ubunifu wa hali ya juu kuyaoanisha na umilisi wa kimsingi, masuala mtambuko, maadili miongoni mwa masuala mengine yanayofumbatwa na mtaala mpya uegemeao umilisi. Kitabu hiki kimejumuisha shughuli za aina nyingi za kufanywa na mwanafunzi binafsi, wanafunzi wawili wawili na makundi ya wanafunzi. Kazi na shughuli za wanafunzi wawiliwawili na wanafunzi katika makundi zinadhamiriwa kuimarisha stadi za kusikitiza na kuzungumza na vilevile umilisi wa ushirikiano na mawasiliano. Aidha, kitabu hiki kimesheheni vifungu vya kusoma na vya kuchangamsha vitakavyomsaidia mwanafunzi kuimarisha stadi ya kusoma. Stadi ya kuandika haijaachwa nyuma. Kitabu kinazo shughuli za kutosha za mwanafunzi iii kustawisha stadi ya kuandika.

  • Storymoja Amani’s Trip and Other Stories 2B

    by STORYMOJA

    Amani is going on a school trip with her classmates. However, along the way, they run into a problem. Before they reach their destination, they solve the problem in the most surprising way! Read this exciting story to find out what happens.

    Amani’s trip and other stories is a collection of three interesting stories. You will not only find them fun to read, but also learn values such as unity, peace and responsibility.

    Prepare to go on this interesting adventure with Amani, her brother Hodari and her friends from school.

  • Storymoja Cheche za Insha Grade 5

    by Storymoja

    Kinaakisi Mtaala wa Kiumilisi.

    Mazoezi ya ujuzi wa kidyitali.

    Mwongozo wa uandishi hatua kwa hatua.

    Nafasi za kufanyia mazoezi katika kila sura.

    Vielelezo 25 vya insha zinazogusia Mtaala wa Kiumilisi.

    Ujuzi wa kuandika unaokuza ujifunzaji endelevu maishani.

    Mazoezi ya kukuza msamiati wa mada inayohusika.

    Vichocheo zaidi ya 100 vya mazoezi ya kuandika insha bora.

    Fursa ya kuchapishs insha yako na kampuni ya storymoja.

  • Storymoja Cheche za Insha Gredi 4

    by STORYMOJA

    Kinaakisi Mtaala wa Kiumilisi.

    Mwongozo wa uandishi hatua kwa hatua .

    Nafasi za kufanyia  mazoezi katika kila sura.

    Vielelezo 25 vya insha zinazogusia Mtaala wa Kiumilisi.

    Ujuzi wa kuandika unaokuza ujifunzaji endelevu maishani.

    Mazoezi ya kukuza msamiati wa mada inayohusika.

    Vichocheo zaidi ya 100 vya mazoezi ya kundika insha bora.

    Fursa ya kuchapishwa insha yako na kampuni ya storymoja.

  • Storymoja Ejaka in Trouble and Other Stories 2A

    by STORYMOJA

    Ejaka in Trouble and Other Stories is a collection of stories creatively written to promote the values of unity, love and respect among young readers.

    Join Ejaka, his sister Akiru and their friend Brian for unending series of adventures full of important life lessons. Whether at their grandparents’ home, at school or at home the choices that the trio make have consequences eventually make them more respectful, teaches them to work together and show kindness to one another.

  • Storymoja Fun with Science and Technology Grade 4

    by STORYMOJA

    Fun with Science and Technology Grade 4 is a unique product that is packed with exciting experiments and projects that help learners to create/experiment, discover, explore and learn.

    The books in this series, in a fun way guide the learner to:

    -Carry out competency-based curriculum projects and experiments in a more simplified way.

    -Use locally available materials to carry out experiments and to make useful innovative items.

    -Apply their knowledge in Science and Technology to solve day to day problems at home or in school.

    -Interact with various exciting Science and Technology experiments and projects.

    -Make use of materials at home or school while carrying out experiments and projects.

    -Enjoy learning.

  • Storymoja Fun with Science and Technology Grade 5

    by STORYMOJA

    Fun with Science and Technology Grade 5 is a unique book that is packed with exciting experiments and projects that help learners to create/experiment, discover, explore and learn.

    The books in this series, in a fun way, guide the learner to:

    -Carry out competency-based curriculum projects and experiments in a more simplified way.

    -Use locally available materials to carry out experiments and to make useful innovative items.

    – Apply their knowledge in Science and Technology to solve day to day problems at home or in school.

    -Interact with various exciting Science and Technology experiments and projects.

    -Make use of materials at home or school while carrying out experiments and projects.

    -Enjoy learning.

  • Storymoja Fun with Science and Technology Grade 6

    by STORYMOJA

    Fun with Science and Technology Grade 6 is a unique product that is packed with exciting experiments and projects that help learners to create or experiment, discover, explore and learn.

    The books in this series, in a fun way guide the learner to:

    -Carry out competency-based curriculum projects and experiments in a more simplified way.

    -Use locally available materials to carry out experiments and to make useful innovative items.

    -Apply their knowledge in Science and Technology to solve day to day problems at home or in school.

    -Interact with various exciting Science and Technology experiments and projects.

    -Enjoy Learning.

  • Storymoja Kitoweo cha Mama 5B

    by Storymoja

    Kitoweo cha Mama na Hadithi Nyingine ni mkusanyiko wa hadithi kadhaa za kusisimua na za kipekee.

Main Menu