-
Soma nasi: Kusoma na Kuandika Gredi 3 by Hellen Inyega, Evans Oso…
by Hellen Inyega, Evans Osoro, Jackline Ndege, Doris Kachipela, Anduvate Mwavali
Soma nasi, Kusoma na kuandika Kiswahili ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa upekee iii kutosheleza mahitaji ya mtalaa mpya wo Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza. kuzungumza, kusoma na kuandika. Aidha. vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuza umilisi utiopendekezwa. maaditi na kufahamisha kuhusu masuala ibuka. Katika Soma nasi, Kusoma na kuondika Kiswahili, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi 3. utapata: • mada zilizopangwa kwa kuzingatia mtalaa mpya • mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika • mazoezi nje ya darasa ili kuendeleza ujifunzaji na kuwashirikisha wanafunzi katika shughuli za kijamii zinazokuza ujifunzaji • mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja • jinsi ya kuwashirikisha wazazi na walezi ill kuimarisha uwajibikaji • sehemu ya ‘Tujifurahishe inayolenga kuwasisimua wanafunzi wanapotumia lugha. Soma nasi, Kusoma na kuandika Kiswahili. Kitabu cha Mwanafunzi kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwaltmu atahitaji ili kumwongoza mwanafunzi aweze kufaulu katika mtalaa huu mpya wa Umilisi. -
Kielekezi cha Shughuli za Kiswahili Gredi 3 Kitabu by Mentor
by Mentor
KIELEKEZI cha Shughuli za Kiswahili Gredi 3 kimewasilisha kikamilifu mahitaji ya mtaata mpya unaozingatia umilisi.
Kitabu hiki kimetumia mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi.
Kimetumia lugha nyepesi iliyokomaa na inayoweza kueteweka na mwanafunzi kwa urahisi. -
Mentor Environmental Activities Learner’s Grade 3 by Mentor
by Mentor
Mentor Environmental Activities Grade 3 workbook is fully in line with the New Competency-Based Curriculum. The book is easy to use and contains a variety of learning activities. It makes learning fun for the learner.
-
Mentor English Literacy Activities Learner’s Book Grade 3 by Mentor
by Mentor
English Literacy Activities Grade 3 Workbook is fully in line with the new Competency Based Curriculum.The book is easy to use and contains a variety of learning activities. It makes learning fun for the learner.
This book has been authored by teachers with wide experience in Early Years Education in leading schools across Kenya. -
Mentor Mathematical Activities Learner’s Book Grade 3 by Mentor
by Mentor
MENTOR Mathematical Activities Mentor Mathematical Activities Grade 3 workbook is fully in line with the new Competency Based Curriculum. The book is easy to use and contains a variety of learning activities. It makes learning fun for the learner.
This book has been authored by teachers with wide experience in Early years Education in leading schools across Kenya. -
Growing in Christ CRE Activities grade 3 by Oxford
by Oxford
The Growing in Christ competency-based series is specially written to provide practical experiences that will build the learners’ knowledge and understanding of the Christian faith, as well as equip them with values, skills and attitudes that will assist them live well with self and others. Books in this series provide a range of activities that learners will find exciting and motivating. The activities are aimed at acquisition of the core competences and values as well as an appreciation of pertinent and contemporary issues (PCIs). -
New Progressive Primary English Activities Grade 3
New Progressive Primary English Activities is a series specially written to provide practical experiences that support the acquisition of language skills for the new competency-based curriculum. Books in the series provide a range of activities that learners will find exciting and motivating. The activities are aimed at the acquisition of the core competences. values, and pertinent and contemporary issues (PCIs). The Learner’s Book ensures coverage of the new competency-based curriculum by providing:
Together, the Learner’s Book and the Teacher’s Guide provide learners and teachers with all they need to succeed in the new competency-based curriculum. -
Let’s do Mathematics Activities grade 3 by Oxford
by Oxford
Let’s Do Mathematics Activities is a new series specially written to provide practical experiences that support acquisition of numeracy skills for the new competency based curriculum. The books in the series provide a wide range of activities that the learners will find exciting and motivating. These activities are aimed at acquisition of the core competences, values, and pertinent and contemporary issues (PCIs) as outlined in the curriculum. -
Everyday Hygiene and Nutrition Activities grade 3 by Oxford
by Oxford
Everyday Hygiene and Nutrition Activities is a new series for the new competency based curriculum, specially written to provide practical experiences that equip learners with the basic knowledge, skills and attitudes that promote a happy and healthy lifestyle. Books in the series provide a range of activities that learners will find exciting and motivating. The activities are aimed at acquisition of the core competences, values and pertinent and contemporary issues (PCIs) -
Atfaal IRE Activity Pupil’s book Grade 2 by F. Shariff
by F. Shariff
As the main shift in Education now is moving from content based on competence based, this Atfaal IRE Activity Pupil’s Book Grade One is carefully crafted to attain this outcome. A competency-based curriculum is mainly achieved through learner-centered approaches. Therefore, all the activities in this book are learner-oriented where the learner takes the lead. Moreover, stimulating and fun activities are also in plenty to arouse interest and curiosity in the learners. The activities are also short and varied to sustain the limited attention span of our young learners. -
Herald Have Fun Mathematical Activities Grade 2
Have Fun Mathematical Activities Grade 2 is a new KICD approved course book from Herald Education Limited. This book is authored in line with the new competency-based curriculum of 2017. The authors have extensive experience and expertise in teaching mathematics. All the competencies and skills required by the syllabus have been implemented in this book. Have Fun Mathematical Activities Grade 2 is authored to let learners enjoy the wonderful world of numbers in the most educative, fun and non-intimidating way.
In addition, the book has the following features:- Well thought out learning experiences that guide the learner on an all-rounded journey in education.
- Adequate assessment that follows the new rubrics-based style of assessment.
- A variety of practical activities that engage the learner in active learning.
- Exciting puzzles and number challenges that keep the learner 100% engaged.
- An accompanying Teachers’ Guide that provides invaluable support to the teacher. Answers are also provided in the guide.
-
Longhon hadithi gari la maria by Sanja Leonard Leo
by Sanja Leonard Leo
Wakati wa somo kuhusu vyombo vya usafiri, Maria anaonesha kipawa cha kipekee. Anawashangaza wanafunzi wenzake anapowaonesha kinyago cha gari alichokitengeneza mwenyewe. Je, Maria aliwezaje kukitengeneza kinyago hiki kilichowavutia wanafunzi wenzake zaidi?
Hadithi Mufti za Lenghern ni mfululizo mpya wa hadithi ambazo zimeandikwa kulingana na mtaala mpya. Hizi hadithi zinalenga kukuza ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa uvumbuzi wa maarifa na zinaimarisha uelewa wao wa masuala ibuka katika jamii. Hadithi hizi sio tu za kuelimisha na kuburudisha, bali pia zimeambatanishwa na mazoezi ambayo yatawasaidia wanafunzi kuimarika kiubunifu, kimawazo na kifikra.
Shop By Categories
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books











