-
Mentor Agriculture Learners Grade 6
Mentor Agriculture Learner’s Book has been designed to meet the requirements of the Competency Based Curriculum and Grade Six Agriculture Curriculum Design. This is to adequately help the learner to achieve the specific learning outcomes for the Upper School Education. The book has a variety of activities that will help the learner acquire and develop skills, knowledge, values and attitude for everyday life. The activities are inquiry based and learner-centred to help the learner develop Core Competencies,Values and Pertinent and Contemporary issues (PCls). The language used is simple, clear and precise making learning interesting and fun.
-
Spotlight Kurunzi ya Kiswahili GD2 by Matei
by Matei
Kurunzi ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi yo Pili kimeandaliwa kwa ustadi ili kumwezesha. mwanafunzi kumudu mtaala mpya 2017 unaolenga umilisi kwa njia sahili, yenye mvuto na ya kumjumuisha moja kwa moja kwenye shughuli za ufunzaji.
Sifa za kitabu hiki:- Kimeshughulikia mada kwa namna ambayo inamwezesha mwanafunzi kushiriki kikamilifu katika ujifunzaji.
- Mada na shughuli za darasani zimeteuliwa kwa uangalifu kumjengea mwanafunzi umilisi wa aina mbalimbali.
- Kuna mazoezi na mijarabu anuwai (mazoezi, shughuli kwa mwanafunzi, miradi, mijarabu ya mwisho wa mada) kumwezesha mwalimu kupima umilisi wa mwanafunzi wa stadi mbalimbali za lugha.
- Picha halisi na michoro ya kuvutia zinazosaidia katika uelewa wa mada.
- Kinalenga kumsaidia mwanafunzi kutumia wifaa vya tekrrolojia kama vile video, redio, tabuleti katika kurahisisha ujifunzaji.
- Mbinu tofauti za ufunzaji zimejumuishwa kama vile miradi shambani, shughuli nje ya darasani katika jamii (shambani, dukani, sokoni, usafi), kumwalika mgeni (wa usalama, usafi, mtaalamu), kutumia nyimbo, mashairi, kumhusisha mzazi au mlezi, uchoraji na ujifunzaji katika vikundi. Mbinu hizi zinasaidia kujenga umilisi wa mwanafunzi.
- Masuala mtambuko na kuhusisha maadili kujenga mada tofauti imeshughulikiwa.
- Kitabu cha mwalimu kipo ili kumpa mapendekezo katika ufunzaji.
-
Mentor Science & Technology Learner’s Book
Mentor Science and Technology learner’s book is fully in line with the new Competency-Based Curriculum. The book is easy to use and contains a variety of learning activities. It makes learning fun for the learner.
This book has been authored by teachers with wide experience in Middle School Education in leading schools across Kenya. -
Atfaal IRE Learner’s book GD4
As the main shift in education now is moving from content-based to competency-based, this Atfaal IRE Learner’s Book
Grade 4 is carefully crafted to attain this outcome. A competency-based curriculum is mainly achieved through learner-centred approaches.
Therefore, all the activities in this book are learner-oriented where the learner takes the lead. Moreover,
stimulating and fun activities are also in plenty to arouse interest and curiosity in the learners.
The activities are also short and varied to sustain the limited attention span of our young learners.
Available also in the series are: Atfaal IRE Activity Pupil’s Book Grade One Atfaal IRE Activity Pupil’s Book Grade
Two Atfaal IRE Activity Pupil’s Book Grade Three
Each pupil’s book is accompanied by a teacher’s guide that is a must have for the teacher. -
Moran Roots Social Studies Learner’s Book Grade 5 (Approved)
by J. Mugendi and E. Ngeti
Key features in this book include:
• Full coverage of the required curriculum design strands and sub-strands.
• Comprehensive coverage of the required core competencies, core values, pertinent and contemporary issues (PCIs), concepts, and skills.
• Full colour, clear and appropriate illustrations.
• Engaging and relevant activities that promote creativity and inquiry-based learning.
• Clear instructions on parental engagement and community service learning. -
Spotlight Social Studies Workbook Grade 5
by SPOTLIGHT
Spotlight Workbook Social Studies Grade 5 has been uniquely designed to assist Grade 5 learners in understanding the Competency-based Curriculum in an easy and simplified way.
-
Kurunzi ya Kiswahili Grade 5 Mwanafunzi (Approved)
by A.Matei, F.Atulo, F.Wangome
Kurunzi ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 5 kimeandaliwa kwa ustadi ili kumwezesha mwanafunzi kumudu mtalaa huu unaolenga umilisi kwa njia sahili, yenye mvuto na ya kumjumuisha moja kwa moja kwenye shughuli za ufunzaji.
Kitabu hiki
• Kimeshughulikia mada kwa njia inayomwezesha mwanafunzi kushiriki kikamilifu katika ujifunzaji.
• Mada na shughuli za darasani zimeteuliwa kwa uangalifu kumjengea mwanafunzi umilisi wa aina mbalimbali. Mada hizi zinalenga kuimarisha umilisi wa kusikiliza kwa makini, kuzungumza kwa ujasiri, kusoma kwa ufasaha na kuandika vyema.
• Kuna mazoezi na mijarabu kama vile shughuli kwa mwanafunzi, shughuli ya vikundi, kazimradi, shughuli ya nyumbani na michezo ili kumwezesha mwalimu kupima umilisi wa mwanafunzi kwenye stadi mbalimbali za lugha.
• Picha halisi na michoro ya kuvutia inamsaidia mwanafunzi katika uelewa wa mada.
• Kinalenga kumsaidia mwanafunzi kutumia vifaa vya teknolojia kama vile video, redio, tabuleti katika kurahisisha ujifunzaji.
• Mbinu tofauti za ufunzaji zimejumuishwa kama vile miradi ya uwekezaji, shughuli nje ya darasa, kutumia nyimbo, mashairi, kumhusisha mzazi au mlezi na ujifunzaji katika vikundi. Mbinu hizi zinasaidia kujenga umilisi wa mwanafunzi.
• Masuala mtambuko na kuhusisha maadili kujenga mada tofauti imeshughulikiwa. -
Longhorn English Grade 6 (Approved)
Longhorn English Grade 6 Learner’s Book is a book that comprehensively and exhaustively covers the new competency-based English curriculum for primary schools. It promotes the acquisition of core competences, relevant language learning skills, positive attitudes and values. It also promotes practical application of knowledge gained in class.
-
Mentor Science and Technology Learner’s Grade 6
Mentor Science and Technology Learner’s Book has been designed to meet the requirements of the Competency BasedCurriculum and Grade Six Science and Technology Curriculum Design. This is to adequately help the learner to achieve thespecific learning outcomes for the Upper School Education. Thebook has a variety of activities that will help the learner acquire and develop skills, knowledge, values and attitude for everydaylife. The activities are inquiry based and learner-centred to help the learner develop Core Competencies, Values and Pertinent and Contemporary issues (PCls). The language used is simple,clear and precise making learning interesting and fun.The book is authored by experienced teachers with a wide range of experience in teaching Upper School Education.
-
Mentor Social Studies Learners Grade 6
Mentor Social Studies Learner’s Book has been designed to meet the requirements of the Competency Based Curriculum and Grade Six Social Studies Curriculum Design.This is to adequately help the learner to achieve the specific learning outcomes for the Upper School Education. The book has a variety of activities that will help the learner acquire and develop skills, knowledge, values and attitude for everyday life. The activities are inquiry based and learner-centred to help the learner develop Core Competencies, Values and Pertinent and Contemporary issues (PCls). The language used is simple, clear and precise making learning interesting and fun.
Shop By Categories
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books











