-
Queenex Premier Kiswahili Grade 2 Mazoezi
by AMINA ZULEKA
Premier Kiswahili Kitabu cha Mazoezi Gredi ya 2 ni kitabu cha mazoezi kilichoambatanishwa na Mtaala Mpya wa Elimu.
Kitabu hiki kitamwezesha mwanafunzi kupata maarifa, ustadi, maadili, mitazamo na umilisi ambao utaunda msingi wa dhana
zinazopatikana katika viwango vya juu vya elimu.
Kitabu hiki kina picha zenye rangi kamili na shughuli zilizochunguzwa vizuri na za kirafiki kama vile mazoezi ya kidijitali, michezo,
mashairi na kuchora kati ya mengine.
Shughuli katika kitabu hiki zinamruhusu mwanafunzi kufanya kazi peke yake na pia katika vikundi ili kuhakikisha kuwa
anashiriki katika uzoefu wa kusoma. Kuna muhtasari mfupi wa yale waliyojifunza baada ya kila mada. Pia kuna maswali ya
majaribio mwishoni mwa kitabu.KShs390.00Queenex Premier Kiswahili Grade 2 Mazoezi
KShs390.00 -
Made Familiar: Siku Yenye Vituko Level 2
by VICTOR
Taji na Furaha wana furaha. Familia yao inaenda safarini pamoja. Je, watashuhudia mambo gani njiani? Jiunge na familia ya kina Taji na Furaha katika safari iliyojaa vituko.
KShs225.00Made Familiar: Siku Yenye Vituko Level 2
KShs225.00 -
KShs273.00
Moran Bible stories: Joseph and his brothers
KShs273.00 -
Kalulu na Mti Mkavu 4e
by TANGUKO
Kalulu anampeleka ng’ombe wake sokoni kumuuza. Njiani, anapata mnunuzi wa ajabu ambaye ni mti wa mbuyu uliokauka.
Itakuwaje mti uuziwe ng’ombe?
Kalulu na Mti Mkavu ni kitabu cha wanafunzi wa darasa la nne katika shule za msingi. Kitabu hiki kinalenga kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma.
Mradi wa kusoma ni vitabu vya ziada ambavyo vinaambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.KShs261.00Kalulu na Mti Mkavu 4e
KShs261.00 -
Maths Aid Std. 2-New edition 2014
by M.S.PATEL
KShs395.00Maths Aid Std. 2-New edition 2014
KShs395.00 -
JKF Foundation Music activities Teacher’s Guide GD2 (Approved)
by NDUNGU
This teacher’s guide has been written to be used by teachers of Music Activities for Grade 2. It is based on the new competence-based curriculum for primary schools.
The book offers helpful suggestions on the teaching and learning of music activities in Grade 2. Among its key features are:
- Suggestions on how to infuse the core competencies and values in the learning activities
- a systematic guide on the activities content
- An account of the preparations for the teacher prior to the lesson
- Sample scheme of work and lesson plan to assist the teacher achieve specified outcomes
- Suggested learning activities and sample exercises as a guide to the teacher in shaping the learners’ creativity
- Simple illustrations and diagrams
- Suggestions on use of digital devices for digital literacy.
The book is comprehensive, easy to use and emphasizes the use of affordable and locally available materials within the school environment.
KShs347.00 -
Twiga Books Mathematics Addition & Take Away Regrouping Book12 Grade 2
by Twiga Soma Africa
This series of Math Books is full of fun activities designed for early learners to develop pencil control and early writing skills. The books are an excellent foundation to help children confidently approach Math.
Children will learn to use addition and and subtract of 2-digit numbers where regrouping of Ones info tens is needed.
In addition, have fun learning Ordinal numbers and names of different positions in a group (first, second, tenth, etc.
KShs430.00 -
Twiga Books Mathematics Multiplication Phase1 Book10 Grade 2
by TWIGA SOMA AFRICA
KShs430.00 -
Twiga Books Mathematics Multiplication Phase 2 Book 11 Grade 2
by TWIGA SOMA AFRICA
This series of Math Books is full of fun activities designed for early learners to develop pencil control and early writing skills. The books are an excellent foundation to help children confidently approach Math.
Teach children multiplication tables the fun way. Start with the “easy” multiplication facts and graduaily complete all numbers up to 12. The children will have fun discovering how easy it is to learn and memorize the multiplication table from the multiplication chart.
KShs430.00