Uketo wa Ushairi Shule za Upili

KShs580.00

In stock

Uketo wa Ushairi kwa Shule za Upili ni kitabu cha kipekee ambacho kimesheheneza tasnifu na maudhui mbali mbali ambayo yanahusu maisha kama vile: mapenzi, unyumba. kunasibu. kuhimiza. kuadabisha, kuelimisha. na kadhalika. Kitabu hiki kina maswali kemkem hususa kwa wanafunzi wa kidato cha tatu na cha nne katika shule za upili. ambao wanajiandaa kufanya mtihani wa kitaifa. Aidha, kitabu hiki kitakuwa na manufaa makubwa kwa wanafunzi katika vyuo vya ualimu wa shule za msingi na hata wanafunzi katika vyuo vikuu.

Compare
Category:
Be the first to review “Uketo wa Ushairi Shule za Upili”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Reviews

There are no reviews yet.

See It Styled On Instagram

    No access token
Show Buttons
Hide Buttons

Main Menu

1
Scan the code
Thank you for visiting us,

Need any help?