-
Longhorn Kiswahili Mufti GD3 Mwalimu by Wallah
by Wallah
Longhorn Kiswahili Mufti, Gredi 3 (Mwongozo wa Mwalimu) ni kitabu ambacho kinampa mwalimu maelezo na maelekezo kamili kuhusiana na mbinu mwafaka za kutayarisha, kuendesha na kutathmini uwezo wa utendaji wa wanafunzi na umahiri wao katika somo la Kiswahili.
Mwongozo huu umeandikwa kwa kuzingatia mtaala mpya unaokusudiwa kujenga ujuzi wa mwanafunzi kupitia utendaji na uvumbuzi wa maarifa. Pia, mwongozo huu umetimiza kikamilifu mahitaji ya mada zote za silabasi mpya ya somo la Kiswahili kwa wanafunzi wa gredi ya tatu.
Vilevile, mwongozo huu una mifano mwafaka ya maazimio ya kazi, mpangilio wa funzo na ratiba ya vipindi itakayomwongoza mwalimu kuzingatia mbinu zinazofaa za kutekeleza malengo yote ya somo la Kiswahili kwa gredi ya tatu. Pia, mwongozo huu una majibu ya mazoezi na maswali ya marudio yote yaliyomo katika kitabu cha mwanafunzi. -
Longhorn Kusoma na Kuandika GD2 Mwalimu
Longhorn Kusoma na Kuandika katika Kiswahili, Mwongozo wa Mwalimu Gredi 2 ni kitabu ambacho kinampa mwalimu maelezo na maelekezo kamili kuhusiana na mbinu mwafaka za kutayarisha, kuendesha na kutathmini uwezo wa utendaji wa wanafunzi na umahiri wao katika somo la Kuandika na Kusoma katika Kiswahili.
Mwongozo huu umeandikwa kwa kuzingatia mtaala mpya unaokusudiwa kujenga ujuzi wa mwanafunzi kupitia utendaji na uvumbuzi wa maarifa. Pia, mwongozo huu umetimiza kikamilifu mahitaji ya mada zote za silabasi mpya ya somo la Kusoma na Kuandika katika Kiswahili kwa wanafunzi wa gredi ya pili. Vilevile, mwongozo huu una mifano mwafaka ya .maazimio ya kazi, mpangilio wa funzo na ratiba ya vipindi itakayomwongoza mwalimu kuzingatia mbinu zinazofaa za kutekeleza malengo yote ya somo la Kusoma na Kuandika katika Kiswahili kwa gredi ya pili. Pia, mwongozo huu una majibu ya mazoezi na maswali ya marudio yote yaliyomo katika kitabu cha mwanafunzi. -
Longhorn Kusoma Na Kuandika GD3 Mwalimu
Longhorn Kusoma na Kuandika katika Kiswahili, Mwongozo wa Mwalimu – Gredi 3 ni kitabu ambacho kinampa mwalimu maelezo na maelekezo kamili kuhusiana na mbinu mwafaka za kutayarisha, kuendesha na kutathmini uwezo wa utendaji wa wanafunzi na umahiri wao katika somo la Kuandika na Kusoma katika Kiswahili.
Mwongozo huu umeandikwa kwa kuzingatia mtaala mpya unaokusudiwa kujenga ujuzi wa mwanafunzi kupitia utendaji na uvumbuzi wa maarifa. Pia, mwongozo huu umetimiza kikamilifu mahitaji ya mada zote za silabasi mpya ya somo la Kusoma na Kuandika katika Kiswahili kwa wanafunzi wa gredi ya kwanza. Vilevile, mwongozo huu una mifano mwafaka ya miazimio ya kazi, mpangilio wa funzo na ratiba ya vipindi itakayomwongoza mwalimu kuzingatia mbinu zinazofaa za kutekeleza malengo yote ya somo la Kusoma na Kuandika katika Kiswahili kwa gredi ya kwanza. Pia, mwongozo huu una majibu ya mazoezi na maswali ya marudio yote yaliyomo katika kitabu cha mwanafunzi. -
Longhorn Kusoma na kuandika Katika Kiswahili Kitabu cha mwanafunzi Gredi 3
by LONGHORN
Kusoma na kuandika katika Kiswahili, Gredi ya 3 ni kimoja miongoni mwa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa kuzingatia mtaala mpya unaokuza ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa utendaji na uvumbuzi
wa maarifa.Kitabu hiki kinawawezesha wanafunzi kupata maarifa ya kimsingi, stadi zifaazo za kusoma na kuandika, mienendo mema na maadili ya kimaisha pamoja na utumizi kamili wa maarifa wanayoyapata darasani.
Shughuli na mazoezi katika kitabu hiki zimejikita kwenye uzoefu wa wanafunzi wa kila siku pamoja na masuala na ibuka kama yalivyofafanuliwa kwenye mtaala mpya. Kitabu hiki kimeandikwa kwa lugha rahisi na inayoibua tafakari ili kukuza ujuzi wa mwanafunzi na kuimarisha stadi za kimaisha za kutatua matatizo ya wanafunzi katika jamii. -
Longhorn Kusoma na kuandika Katika Kiswahili Kitabu cha mwanafunzi… by Longhorn
by Longhorn
Kusoma na kuandika katika Kiswahili, Gredi ya 3 ni kimoja miongoni mwa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa kuzingatia mtaala mpya unaokuza ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa utendaji na uvumbuzi
wa maarifa.Kitabu hiki kinawawezesha wanafunzi kupata maarifa ya kimsingi, stadi zifaazo za kusoma na kuandika, mienendo mema na maadili ya kimaisha pamoja na utumizi kamili wa maarifa wanayoyapata darasani.
Shughuli na mazoezi katika kitabu hiki zimejikita kwenye uzoefu wa wanafunzi wa kila siku pamoja na masuala na ibuka kama yalivyofafanuliwa kwenye mtaala mpya. Kitabu hiki kimeandikwa kwa lugha rahisi na inayoibua tafakari ili kukuza ujuzi wa mwanafunzi na kuimarisha stadi za kimaisha za kutatua matatizo ya wanafunzi katika jamii. -
Longhorn Kusoma na Kuandika Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi … by Hezekiel Gikambi,Henry T…
by Hezekiel Gikambi, Henry T. Indindi, Danson Khasiani, Rachel Maina.
Kusoma na Kuandika katika Kiswahili, Gredi 2 ni kimoja miongoni mwa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa kuzingatia mtaala mpya unaokuza ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa utendaji na uvumbuzi wa maarifa. Kitabu hiki kinawawezesha wanafunzi kupata maarifa ya kimsingi, stadi zifaazo za kusoma na kuandika, mienendo miema na maadili ya kimaisha pamoja na utumizi kamili wa maarifa wanayoyapata darasani. Shughuli na mazoezi katika kitabu hiki zimejikita kwenye uzoefu wa wanafunzi wa kila siku pamoja na masuala ya kisasa na ibuka kama yalivyofafanuliwa kwenye mtaala mpya. Kitabu hiki kimeandikwa kwa lugha rahisi na inayoibua tafakari tanduizi iii kukuza ujuzi wa kutafakari na kuimarisha stadi za kimaisha za usuluhishaji wa matatizo iii kukidhi mahitaji ya wanafunzi katika jamii. -
Longhorn language Activities Learner’s Book Preprimary 1 by Longhorn
by Longhorn
Longhorn Language Activities for Pre-Primary I Learner’s Book is a new coursebook that has been developed in line with the new competency-based curriculum for pre-primary education. It aims at enabling learners to become active listeners and speakers in diverse situations as well as express their feelings, ideas, and opinions clearly and with confidence. It also enables Learners to acquire reading readiness and writing readiness skills, which help in laying a good foundation for formal reading and writing instruction.
The book:
– enhances learning by discovery through numerous activities based on everyday life experiences;
– incorporates pertinent and contemporary issues in an interactive and child-friendly manner;
– has simplified curriculum-based activities that help learners in the acquisition of core competencies.
– is beautifully illustrated to hold the child’s attention and make learning stimulating and enjoyable. -
Longhorn Marudio ya Kiswahili Grade 4
by LONGHORN
Longhorn Marudio ya Kiswahili – Gredi ya 4 ni kitabu chenye mazoezi ainati ya marudio yaliyokusudiwa kumsaidia mwanafunzi wa Gredi ya 4 kudurusu kwa urahisi. Kimezingatia kikamilifu maelekezo ya mtaala wa umilisi katika uandishi wake.Vilevile, kimejikita katika vipengele vinne vikuu vya ufunzaji wa lugha ya Kiswahili. Kuna:
-Majaribio ya kufungua, kati na mwisho wa mihula yenye muundo mpya wa mtihani wa kitaifa kwa kuzingatia mtaala wa umilisi,
-Mazoezi yanayohusu kusikiliza na kuzungumza, kusoma, sarufi na kuandika,
-Michoro inayovutia na vielelezo vya kuwasaidia wanafunzi kuelewa dhana mbalimbali kwa urahisi,
-Maelezo mafupi ya dhana mbalimbali muhimu.
Waandishi wa kitabu hiki wana tajriba pana ya ufundishaji na utahini wa somo la Kiswahili. Kwa mwalimu, mzazi au mlezi, kitabu hiki chenye mazoezi ya marudio na majaribio ya mitihani ni nyenzo muhimu ya kumboresha na kumwandaa mwanafunzi kwa mitihani ya somo la Kiswahili.
-
Longhorn Marudio ya Kiswahili Grade 5
by LONGHORN
Longhorn Marudio ya Kiswahili – Gredi ya 5 ni kitabu chenye mazoezi ainati ya marudio yaliyokusudiwa kumsaidia mwanafunzi wa Gredi ya 5 kudurusu kwa urahisi. Kimezingatia kikamilifu maelekezo ya mtaala wa umilisi katika uandishi wake. Vilevile, kimejikita katika vipengele vinne vikuu vya ufunzaji wa lugha ya Kiswahili. Kuna:
-Majaribio ya kufungua, kati na mwisho wa mihula yenye muundo mpya wa mtihani wa kitaifa kwa kuzingatia mtaala wa umilisi,
-Mazoezi yanayohusu kusikiliza na kuzungumza, kusoma, sarufi na kuandika,
-Michoro inayovutia na vielelezo vya kuwasaidia wanafunzi kuelewa dhana mbalimbali kwa urahisi,
-Maelezo mafupi ya dhana mbalimbali muhimu.
Waandishi wa kitabu hiki wana tajriba pana ya ufundishaji na utahini wa somo la Kiswahili. Kwa mwalimu, mzazi au mlezi, kitabu hiki chenye mazoezi ya marudio na majaribio ya mitihani ni nyenzo muhimu ya kumboresha na kumwandaa mwanafunzi kwa mitihani ya somo la Kiswahili.
-
Longhorn Mathematical Activities GD2 Trs (Appr) by Gikaru
by Gikaru
Longhorn Mathematical Activities for Grade 2 Teacher’s Guide is a unique book specifically designed to guide pre-primary level teachers to implement the new competency-based curriculum for pre-primary Environmental Activities education.
The book:
• provides clearly stated specific learning outcomes at the start of each sub-strand;
• presents the suggested learning experiences in six areas: introduction of the sub-strand, whole class activities, small group activities, learner’s book activities, conclusion and suggested assessment;
• provides hints on how to link the Mathematical Activities to other activity areas;
• guides the teacher on how to help learners to develop the core competences, build pertinent and contemporary issues and acquire values;
• provides useful guidelines in content interpretation and application to make learning of Mathematical activities interesting and enjoyable;
• enhances learning of Mathematical Activities through suggested teaching and learning activities and resources;
• provides the necessary hints on how to handle children with special needs;
• provides guidance in evaluation of learners through the suggested assessment rubrics. -
Longhorn Mathematical Activities PP2 Trs (Appr) by Okello
by Okello
Longhorn Mathematical Activities for Pre-Primary 2 Teacher’s Guide is a unique book specifically designed to guide pre-primary level teachers to implement the new competency-based curriculum for pre-primary Environmental Activities education.
The book:
• provides clearly stated specific learning outcomes at the start of each sub-strand;
• presents the suggested learning experiences in six areas: introduction of the sub-strand, whole class activities, small group activities, learner’s book activities, conclusion and suggested assessment;
• provides hints on how to link the Mathematical Activities to other activity areas;
• guides the teacher on how to help learners to develop the core competences, build pertinent and contemporary issues and acquire values;
• provides useful guidelines in content interpretation and application to make learning of Mathematical activities interesting and enjoyable;
• enhances learning of Mathematical Activities through suggested teaching and learning activities and resources;
• provides the necessary hints on how to handle children with special needs;
• provides guidance in evaluation of learners through the suggested assessment rubrics. -
Longhorn Mathematics Activities GD3 Trs by Mwaniki
by Mwaniki
Longhorn  Mathematics Activities is a new series of books based on the new competency-based curriculum. The books promote the acquisition of core competencies, relevant skills, positive attitudes and values for life and practical application of the knowledge gained in class.
Pertinent and Contemporary Issues (PCIs) are captured in the book as given in the curriculum. The content is organised in simple but thought-provoking activities that promote critical thinking and problem-solving skills as well as acquisition of important life skills among learners for a responsible response to t.heir needs in the society.
Shop By Categories
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books











