-
Tadubiri za Insha Darasa la 5:Mbinu na Mapambo
by Tsalwa Abubakar, John M.ngeera
Tadubiri za Insha: Mbinu na Mapambo, Darasa la 5 ni kitabu kilichoandikwa kwa ustadi na ubunifu wa hali ya juu kwa madhumuni ya kukidhi mahitaji ya wanafunzi na walimu katika shule za msingi – darasa la tano. Lugha iliyotumika ni rahisi kueleweka na wanafunzi wote kutoka mazingira mbalimbali.Waandishi wa kitabu hiki ni walimu stadi wenye tajriba pana ya kufundisha na kutahini Kiswahili – ngazi ya KCPE kwa miaka mingi. Wameangazia kwa undani na kwa mapana na marefu mikakati, mbinu, taratibu, dhana, kunga, miundo, mapambo na vipengele vinginevyo muhimu katika uandishi wa insha za kuvutia na za kuzoa alama za juu zaidi. Hii ni kwa kuhakikisha kwamba kitabu hiki kitamwezesha mwanafunzi kuandika insha kwa namna na mtindo faridi wenye mnato wa kipekee.Mifano kadha ya insha mbalimbali imetolewa katika kitabu hiki ili kurahisisha uelewaji wa maelezo yaliyomo na pia kushadidia hoja muhimu.
-
Tafakari ya Babu by Moran
by Moran
Tafakari ya Babu ni mkusanyo wa visa vifupivifupi ambavyo Bwana Mdoe ameshasimulia ama atasimulia wakati wa kusoma habari. Visa vilivyomo katika kitabu hiki vinasheheni mafunzo mengi mbali na ucheshi wa kuvunja mbavu. Watu wengi wametaka kujua, “Je, huyu babu yako Bwana Mdoe ni mtu halisi anayeishi ama ni mhusika wa kubuni?” Huenda msomaji akang’amua jibu la swali hili na mengineyo baada ya kusoma kitabu hiki… -
Tales From the Amazon by EAEP
by EAEP
The Junior Readers Series has been specifically designed to encourage reading for pleasure and to satisfy the supplementary reading needs of children in Upper Primary School. Wide and repeated reading of books in the Series will help improve both their written and spoken English. -
Taming Isoyo by Sasa Sema
by Sasa Sema
After a successful reunion with his separated parents, Paul is fortunate to join one of the best schools in the neighbourhood. Things, however, do not turn out as expected after he encounters the worst bully ever; the mighty Roba. After many bullying incidences some leading to serious injuries, it is time to deal with the bully. Does Roba get to pay for his sins? Taming Isoyo, a sequel to the novella, The Reunion, is the sum total of an adventure about overcoming phobias and fighting for one’s right and space. -
-
Targeter Combined 1 Encyclopedia
by Targeter
All learning areas are comprehensively covered.
-Ideal for use at home and at school.
-English and Kiswahili themes are as per the revised curriculum designs.
-Adequate interactive activity based questions.
-Clear full colour illustrations.
-Appealing design and layout.
-Digital literacy activities covered
Shop By Categories
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books