-
Key Stage 3 Common Entrance 13+ Geography Exam Practice Questions and Answers
by Belinda Froud-Yannic
Help pupils feel fully prepared for their CE 13+ Geography exams with this extensive ISEB-endorsed exam practice book, aligned to the latest ISEB specification.
- Boost confidence with ISEB exam-style questions: practise with a wealth of questions arranged by topic covering all areas of the specification.
- Exam technique: famHoneiliarise pupils with the format and style of questions in the new exam.
- Easily mark practice questions: answer guidance has been designed to be clear and easy-to-follow for teachers, parents or tutors marking practice questions, in line with the ISEB mark scheme.
- Improve exam results: includes model answers with advice and guidance for achieving top marks.
ISBN: 9781398322103
-
-
Kielekezi cha Kiswahili Pupils Grade 5
by E.ANDATI, S.WASHIKA
KIELEKEZI CHA MARUDIO YA KISWAHILI GREDI YA 5 KIELEKEZI cha marudio ya Kiswahili Gredi ya 5 kimeandaliwa kwa ustadi ili kumrahisishia mwanafunzi kuelewa mfumo mpya wa elimu ya umilisi. Kitabu hiki:
– Kimeandikwa kumwezesha mwanafunzi kukuza na kujenga ujuzi na uwezo wa kutumia stadi za lugha (Kusikiliza na kuzungumza, Kusoma, kuandika na Sarufi).
– Kimeandikwa kwa lugha rahisi na kutoa mifano mwafaka.
– kimeshughulikia Masuala mtambuko kama vile: uraia, utangamano, elimu ya amani, stadi za maisha, mazingira na teknolojia. – Kina Mazoezi muhimu ili kumsaidia mwanafunzi kufanya marudio.
– Kina Zoezi la Tathmini mwishoni mwa kila sura.
– Kina karatasi sita za Majaribio ya mitihani.
– Kimeandikwa na waandishi wenye tajriba kubwa katika ufundishaji wa somo la Kiswahili katika shule bora nchini Kenya. Aidha, wanaelewa mfumo wa umilisi kwa jumla. -
Kielekezi cha Marudio ya Kiswahili 3
by A.litinyu, C.Kiini, M.Kemunto, N.Musyimi.
KIELEKEZI cha Marudio ya Kiswahili 3 kimeandikwa Hi kuwasaidia wanafunzi wa shule za msingi nchini Kenya kufanya marudio ya silabasi ya Kiswahili ya darasa la tatu.KIELEKEZI cha Marudio ya Kiswahili 3:Kimezingatia kikamilifu silabasi ya Kiswahili ya darasa la tatu kama ilivyoandikwa na Taasisi ya Ukuzaji Mitalaa ya Kenya.Kimewasilisha yaliyomo katika lugha nyepesi ambayo mwanafunzi anaweza kuelewa kwa urahisi. Kimetumia michoro mbalimbali ya kuvutia na inayofafanua yaliyomo.Kina zoezi moja au zaidi mwishoni mwa kila mada ili kumsaidia mwanafunzi kufanya marudio ya mada hiyo.Kina zoezi moja la jumla mwishoni mwa kila sura ili kumsaidia mwanafunzi kufanya marudio ya sura yote.Kina karatasi nne za marudio kumsaidia mwanafunzi kufanya marudio ya silabasi yote ya darasa la tatu na kujiandaa vilivyo kwa mtihani wake.Kimepangwa kwa utaratibu na ubunifu mkubwa ili kunasa akili za mwanafunzi.Kina majibu katika kijitabu tofauti ambacho kinajumuisha majibu ya maswali yote ya Somo la Kiingereza, Somo la Kiswahili, Somo la Hisabati, Somo la Sayansi, Somo la Jamii na Somo la Dini. Lengo la hatua hii ni kumsaidia mwanafunzi kufanya kazi yake bila ya au kabla ya kutazama majibu na wala sio kunakili majibu tu.
-
Kielekezi cha Shughuli za Kisw Mwalimu GD4 (Appr)
by OBUKI
KIMEIDHINISHWA NA KICD
Mwongozo huu wa mwalimu umetengenezwa kwa lengo la kumwelekeza mwalimu anapotekeleza na kuafikia malengo
‘maalum ya Mtaala Mpya unaozingatia umilisi na kukuza maadili bora. Mwongozo huu utamsaidia mwalimu katika kukuza stadi
zote za lugha ambazo ni; Kusikiliza na kuzungumza, Sarufi, Kusoma na kuandika. Mwongozo huu umerejelea kikamilifu Kitabu
cha mwanafunzi hivyo basi, kuufanya rahisi kwa mwalimu kuutumia. Mwalimu anashauriwa kujiandaa mapema na ipasavyo ili
kutekeleza shughuli za ujifunzaji. -
Kielekezi cha Shughuli za Kiswahili Gredi 3 Kitabu by Mentor
by Mentor
KIELEKEZI cha Shughuli za Kiswahili Gredi 3 kimewasilisha kikamilifu mahitaji ya mtaata mpya unaozingatia umilisi.
Kitabu hiki kimetumia mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi.
Kimetumia lugha nyepesi iliyokomaa na inayoweza kueteweka na mwanafunzi kwa urahisi. -
King Lear (Cambridge)”
by Rex Gibson, Elspeth Bain, Nic Amy, Vicki Wienan, Richard Andrews, William Shakespeare
An improved, larger-format edition of the Cambridge School Shakespeare plays, extensively rewritten, expanded, and produced in an attractive new design. The Rex Gibson active approach to classroom Shakespeare enables students to inhabit Shakespeare’s imaginative world in accessible and creative ways, sharing Shakespeare’s love of language, interest in character, and sense of theatre. Substantially revised and extended, classroom activities are thematically organised in distinctive stagecraft, writing, language, characters, and themes features. Expanded endnotes include extensive essay-writing guidance for ‘King Lear’ and Shakespeare, and extended glossaries are aligned with the play text for easy reference. Includes rich, exciting colour photos of global performances of ‘King Lear’.
-
Kiswahili Angaza Mwanafunzi Grade 6 (Approved)
Kiswahili Angaza, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 6 ni kitabu kilichotungwa na kusukwa kwa makini na kwa kina kirefu. Kitabu hiki kimetosheleza mahitaji yote ya mtaala waumilisi. Kinakuza umilisi uliopendekezwa kwenye mtaala, maadili na kufahamisha kuhusu masuala mtambuko. Kitabu hiki kimeandikwa kwa mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi na kumfanya mwalimu awe mwelekezi tu wala si mtoaji wa elimu. Kitabu hiki kitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia kwa stadi za Kusikiliza na Kuzungumza, Kusoma,Kuandika na Sarufi.
-
Kiswahili Dadisi Kitabu Cha Mwanafunzi
Kiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa upekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa mpya wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika, na vilevile sarufi. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza.
Pia vinakuzo umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka.
Shop By Categories
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books











