OUP Kiswahili Fasaha Kitabu cha Mwalimu Grade 8 (Approved)

KShs740.00

In stock

Kiswahili Fasaha ni msururu ulioandikwa kwa njia ya kipekee na unaokidhi mahitaji yote ya Mtaala wa Kiumilisi. Vitabu katika msururu huu vina shughuli anuwai ambazo zinalenga kumsaidia mwanafunzi kupata umilisi, maadili na masuala mtambuko yanayokusudiwa katika mtaala.

Mwongozo huu wa mwalimu una:

-Utangulizi kuhusu Mtaala wa Kiumilisi

-Muhtasari wa umilisi, maadili na masuala mtambuko yaliyoratibiwa kukuzwa

-Mifano ya vifaa vya kutathmini na jinsi ya kuviandaa vifaa hivyo

-Mapendekezo kuhusu mbinu bora za ufunzaji na ujifunzaji

-Jinsi ya kuwahudumia wanafunzi wenye mahitaji maalumu

-Nyaraka za kitaaluma

-Maelekezo kuhusu jinsi ya kuwahusisha wanafunzi katika shughuli za kijamii.

Mwongozo huu pamoja na Kiswahili Fasaha Kitabu cha Mwanfunzi Gredi ya 8 ni nyenzo muhimu zitakazokuwezesha wewe na wanafunzi wako kufaulu katika Mtaala wa Kiumilisi.

Compare
Be the first to review “OUP Kiswahili Fasaha Kitabu cha Mwalimu Grade 8 (Approved)”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Reviews

There are no reviews yet.

See It Styled On Instagram

    No access token
Show Buttons
Hide Buttons

Main Menu

1
Scan the code
Thank you for visiting us,

Need any help?